TANZIA MwanaJF Saint Anne, amefiwa na baba yake mzazi leo

TANZIA MwanaJF Saint Anne, amefiwa na baba yake mzazi leo

Wapendwa wana JF, mwenzetu Saint Anne, amefiwa na baba yake leo. Ninaomba tu kila mmoja wetu kwa Imani yake; amuweke Anne na familia nzima kwenye maombi. Mungu akawafariji, akawatie nguvu na kuwavusha salama katika kipindi hiki kigumu sana na chenye majonzi kwao. BWANA Alitoa, na BWANA Ametwaa, Jina la BWANA na libarikiwe.

Baba marehemu alikwenda Mbozi kusalimia, akiwa huko aliugua ghafla na kulazwa, bahati mbaya umauti ukamkuta. So bado taratibu nyingine za kifamilia zinaendelea, ila msiba na kila kitu kitamalizikia huko Undali.

NB: kama kutakuwa na taarifa yoyote zaidi tutajulishana hapa

Updates kwa yeyote atakayejisikia kwa namna yoyote ile kumshika mwenzetu mkono number ni 0756 865 385 Abel Kahava hapa
giphy.gif
RIP
 
Nashindwa nianzie wapi kuongea[emoji24][emoji24][emoji119]..
Bado naendelea na ratiba za maombolezo.

Niwieni radhi nimecheelewa kuwajibu.
Ratiba bado imenibana, nikitulia vizuri nitarudi hapa.

Mungu awabariki wana jamiiforum,
Upendo mliouonyesha kwangu nashangaa kabisa,sijawahi kuupata katika mitandao mingine.
Mwenyezi Mungu akujaza moyo wa subira wewe na familia nzima kwenye siku hizi chungu[emoji120][emoji120]
 
Sina lugha laini zaidi ya kukufariji, isipokuwa mshukuru tu Mungu kwa walau kuwa na umri ambao si tegemezi sana na hata shule naamini utakuwa umemaliza au upo kiwango cha elimu ya juu (almost there)...

Binafsi i lost my father in my early teen/ early adolescence hapo hata sijui elimu ya sekondari ina rangi gani...

But look at me now, hivyo ni Mungu tu anajua
Yaani stress nilizonazo acha tu.
 
Pole sana Saint Anne na familia nzima kwa kuondokewa na Mzee wetu.
Sio jambo rahisi, ila jipe moyo dada Anne. Kila kitu kina sababu yake, na Mungu anajua.
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Pole yake awe na subira katika kipindi hichi kigumu.
Pole sana, miye ni miezi 4 karibia lkn hata namba zake naogopa kuzifuta nahisi km nampoteza kabisa.
Poleni sana wafiwa
Pole madam Saint Anne ....
"Father rest in heavenly peace ,we will meet you in heaven"
Pole sana kwa msiba
Aliemchukua amekwisha watengenezeeni njia Wala hamtakwama japo ya hapa na pale mtapita lakini mtafika salama, sisi wengine tuliachwa wazazi tukiwa na umri wa siku tu lakini tulivuka.

Pole mno.
My prayers are with you and the family dear Saint Anne
My condolence to Saint Anne and the family
May God give you strength during this period
Pole
Pole mama watoto[emoji17][emoji56]
Pole St. Anne
Kazi ya Mungu, usiwaze sana ndugu Mungu aendelee kuwatunza
Hakika sisi sote ni wa mwenyezimungu na kwake tutarejea.
Pole kwa Saint Anne, ndugu, jamaa na marafiki katika kipindi hiki cha majonzi, mungu awape nguvu zaidi.
Mungu wa Mbinguni na awe faraja yako kwenye kipindi hiki kigumu unachopitia[emoji24][emoji120][emoji120]
Pole mwaya, Mungu azidi kukupa nguvu
Kua na amani madam
pole kwake.
Wka picha.
Pole sana
Jaribu ujikaze
Kifo mwanadamu tumeumbiwa
Najua inauma lkn hatuna jinsi
Mungu akutie nguvu uweze kuvuka
Hatua hii uliyopitia

Ova
Mungu akutie nguvu SA. I pray for You
Pole MUNGU atakupa nguvu utashinda
Hawezi kukupitisha kwenye hayo mapito alafu akakuacha
Poleni sana Anne
Poleni sana familia Mungu ndiye mfaridi wetu daima tumtegemee yeye.
Mungu ampe nguvu mwanajamii yetu.
Pole sana Saint Anne kwa msiba
Pole sana mtakatifu Anne kwa kuondokewa na mzee wako.

Mwenyezi Mungu akutie nguvu.
Pole sna SaintAnne.
Amen[emoji24][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom