TANZIA MwanaJF Saint Anne, amefiwa na baba yake mzazi leo

TANZIA MwanaJF Saint Anne, amefiwa na baba yake mzazi leo

Sijui maisha yatakuwaje.
Mungu mwenyewe anatengeneza njia.

Namshukuru Mungu kwa maisha ya baba japo naona amemchukua mapema mno.
At my early 20's kuondokewa na mzazi ni pigo kubwa mno.

Sina lugha laini zaidi ya kukufariji, isipokuwa mshukuru tu Mungu kwa walau kuwa na umri ambao si tegemezi sana na hata shule naamini utakuwa umemaliza au upo kiwango cha elimu ya juu (almost there)...

Binafsi i lost my father in my early teen/ early adolescence hapo hata sijui elimu ya sekondari ina rangi gani...

But look at me now, hivyo ni Mungu tu anajua
 
Sijui maisha yatakuwaje.
Mungu mwenyewe anatengeneza njia.

Namshukuru Mungu kwa maisha ya baba japo naona amemchukua mapema mno.
At my early 20's kuondokewa na mzazi ni pigo kubwa mno.
Mungu akutie nguvu maana najua tusio na baba yapi tumepitia mpka hapa tulipo ila tunaishia kusema MUNGU ndio mpangaji wa yote
 
Sijui maisha yatakuwaje.
Mungu mwenyewe anatengeneza njia.

Namshukuru Mungu kwa maisha ya baba japo naona amemchukua mapema mno.
At my early 20's kuondokewa na mzazi ni pigo kubwa mno.
Aliemchukua amekwisha watengenezeeni njia Wala hamtakwama japo ya hapa na pale mtapita lakini mtafika salama, sisi wengine tuliachwa wazazi tukiwa na umri wa siku tu lakini tulivuka.

Pole mno.
 
Yaani anne niliogopa as na mm nauguliwa na baba ..nilipiga picha.mpk leo haijaja! ..sitak kujua hizo experience...! Nikimkumbuka najipooza na wine kwanza...!
Nakuomba ujipe moyo😭😭😭😭!

Nb..ile namba haikua yako .nilipga akapokea men😒! Pole mdogo wangu!
Pole dada, everything will be ok, endelea kumuombea.
 
Back
Top Bottom