TANZIA MwanaJF Saint Anne, amefiwa na baba yake mzazi leo

TANZIA MwanaJF Saint Anne, amefiwa na baba yake mzazi leo

Pole mpendwa! dah[emoji24]
Poleni sana wafiwa, marehemu apumzike kwa Amani!
Apumzike kwa Amani
Pole sana Saint Anne Mungu akutie nguvu wewe na familia yako katika kipindi hiki kigumu.
Pole sana mdogo wangu Saint Anne Mungu wa mbinguni akawe faraja kwako, kwa familia, ndugu na jamaa..!!
Pole SANA, MUNGU AKUPE NGUVU KIPINDI HIKI KIGUMU KWAKO

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu kwa kufiwa.. Mungu awe mfariji wako ailinde familia ya wafiwa. Usiogope!
Maana tulitoka kwakwe nasi tutarejea kwake kumlaki Bwana wa Sabato

Warumi 14:8-9
[8]Kwa maana kama tukiishi, twaishi kwa Bwana, au kama tukifa, twafa kwa Bwana. Basi kama tukiishi au kama tukifa, tu mali ya Bwana.
[9]Maana Kristo alikufa akawa hai tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa na walio hai pia.
View attachment 1801353
Aisee pole sana Anna Saint Anne Mungu akutie nguvu kipindi kigumu hiki
Pole sana kwa msiba dada
Pole sana Saint Anne.
Pole sana Saint Anne Mungu akutie nguvu tupo pamoja
Poleni wafiwa.
Pole kwake na familia yake nzima. RIP baba Anne.
Pole sana madam Saint Anne
Pole saint
Pole sana mkuu kwa kuondokewa na mzazi
Nahisi naota ila siyo ndoto.
Kweli baba hayupo[emoji24]

Akhsanteni,
Mungu awabariki.
 
Nahisi naota ila siyo ndoto.
Kweli baba hayupo[emoji24]

Akhsanteni,
Mungu awabariki.
Yaani anne niliogopa as na mm nauguliwa na baba ..nilipiga picha.mpk leo haijaja! ..sitak kujua hizo experience...! Nikimkumbuka najipooza na wine kwanza...!
Nakuomba ujipe moyo😭😭😭😭!

Nb..ile namba haikua yako .nilipga akapokea men😒! Pole mdogo wangu!
 
Pole mpendwa! dah[emoji24]
Poleni sana wafiwa, marehemu apumzike kwa Amani!
Apumzike kwa Amani
Pole sana Saint Anne Mungu akutie nguvu wewe na familia yako katika kipindi hiki kigumu.
Pole sana mdogo wangu Saint Anne Mungu wa mbinguni akawe faraja kwako, kwa familia, ndugu na jamaa..!!
Pole SANA, MUNGU AKUPE NGUVU KIPINDI HIKI KIGUMU KWAKO

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu kwa kufiwa.. Mungu awe mfariji wako ailinde familia ya wafiwa. Usiogope!
Maana tulitoka kwakwe nasi tutarejea kwake kumlaki Bwana wa Sabato

Warumi 14:8-9
[8]Kwa maana kama tukiishi, twaishi kwa Bwana, au kama tukifa, twafa kwa Bwana. Basi kama tukiishi au kama tukifa, tu mali ya Bwana.
[9]Maana Kristo alikufa akawa hai tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa na walio hai pia.
View attachment 1801353
Aisee pole sana Anna Saint Anne Mungu akutie nguvu kipindi kigumu hiki
Pole sana kwa msiba dada
Pole sana Saint Anne.
Pole sana Saint Anne Mungu akutie nguvu tupo pamoja
Poleni wafiwa.
Pole kwake na familia yake nzima. RIP baba Anne.
Pole sana madam Saint Anne
Pole saint
Pole sana mkuu kwa kuondokewa na mzazi
Nahisi naota ila siyo ndoto.
Kweli baba hayupo[emoji24]

Akhsanteni,
Mungu awabariki.
 
Pole sana Saint Anne kwa msiba wa baba, Mungu awatie nguvu, awape faraja katika kipindi hiki kigumu kwenu! Poleni sana kwa wanafamilia.
Mzee apumzike kwa amani.
Saa hizi itakuwa vilio tu yaani. Dunia hii we acha tu. Mungu Amtie nguvu mtumishi wake; na mzee apate pumziko jema [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
pole sana mkuu
Poleni wafiwa.
Pole sana mkuu.
Pole kwako na pole kwa familia Saint Anne
Mungu amtie nguvu yeye, familia na ndugu katika kipindi hiki kigumu.
Pole sana Saint Anne Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu kwako na familia kwa ujumla.
Pole sana kwake, Mungu ampe uvumilivu kwenye hiki kipindi kigumu kwake.
Poleni

Ova
Pole sana mwanajamii mwenzetu ,Mungu ampe pumziko la amani mzee wetu.
Pole sana Saint Anne kwa kumpoteza baba, yote hayo ni mapenzi yake Mwenyezi Mungu.

Pole na familia yako na wote wanaokuhusu, ndugu jamaa na marafiki.

RIP mzee wetu.
Amina [emoji120][emoji120]
Ni mtoto wa kupendwa.
Duniani tunapita kwa kasi sana
Until we take our final breath he will live in our heart, his love will light our way and his memories will forever be with us.

Every step we take, every move we make, every single day and every time we'll be missing him!

R.I.P Dady[emoji120]
[emoji120][emoji120][emoji24]
Amen.

Mzigo ni mzito mno,unanielemea.
 
Pole sana mpendwa,Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Sisi ni wa Allah na kwake tutarejea. Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi wafiwa
Pole sana
Pole sana kwake na familia yake.M.mungu awape nguvu wapite kipindi hichi.
Pole sana Saint Anne, Mungu mwema akawe mfariji wenu katika kipindi hiki kigumu mnachopitia.Sisi sote tu wasafiri.
Pole sana Saint Anne kwa kumpoteza baba.
Pole dada
Pole sana Saint Anne

Mungu aitie nguvu familia kwa kipindi hiki kigumu mnachopitia.
Mungu Mwenyezi aipokee roho ya marehemu aiweke mahali pema peponi.
Pole sana Saint Anne Mungu awape nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu.
Duhhhh....[emoji44]
Pole yake mwali
May his Soul Rest in Peace. Pole nyingi kwa Anne.
Pole nyingi kwa familia yake,Mungu awape ujasiri Katika kipindi hiki kigumu kwao
Pole nyingi kwako Saint Anne na kwa familia...R.I.P Father.
Poleni familia
May His Soul RIP
**Tuendelee kuchukua tahadhari
**Tuepuke mikusanyiko
Pole Saint Anne, Mungu awatie nguvu Wanafamilia wote
Mungu awatie nguvu
Rest in peace baba yetu!
Pole kwa wote walioguswa na msiba
Mungu awatie nguvu wafiwa katika kipindi hiki KIGUMU.
Pole yake nitaelekea mbeya soon naweza kufika kuwakilisha Jf
Pole Kwafamilia yake, yeye alieruhusu hili litokee anajua njia za kuwavusha katika hali hii
R.I.P our dad.
Amen[emoji24][emoji120]

Maumivu ni makali mno [emoji174]
 
Pole Sana kwa Saint Anne Na wote, Mwenyezi Mungu awape utulive wa roho na nafsi Amen!
Poleni sana wafiwa kwa msiba huu mzito
pole sana Saint Anne Mungu wetu awe faraja kwako na familia
Pole yao sana wafiwa...
Inna Lillah wa Inna iLayhi Rajioun
Poleni wafiwa..
Mungu awatie nguvu
Inna lillah wainna ilaihyi rajiun.

Pole sana Saint Anne.
Mwenyezi Mungu awape moyo wa subira wewe na familia nzima kwenye kipindi hiki kigumu [emoji120][emoji120][emoji120]
R.I.P baba yake saint anne.
Saint Anne Mungu awe nawe.
Mtakatifu Anne, pole sana lovely sisy kwa kupoteza mzazi!

Apumzike kwa Amani Mzee wetu.

-Kaveli-
Pola sana Wafiwa Mungu awape wepesi kipindi kigumu.
Apumzike kwa amani
Pole sana Saint Anne Mungu na akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Pole sana
Ooh pole sana dear Saint Anne , R.I.P Dady[emoji120]
pole sana Saint Anne mungu akupe hekima na utulivu kipindi hiki kigumu na nguvu zaidi kubeba hili
Pole mtu wa Mungu
RIP Baba wekeni ka namba walau ka kutuma rambirambi jamani mnakwama wapi?
Pole saint Anne mungu akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu
Yaani kumbe humu watu mnafahamiana kiasi hiki .. Labda ni Mimi nisiye na yeyote ninae mfahamu
Pole mkristo mwenzangu Anne, Mwenyenzi Mungu awape faraja wewe na familia yako.

Familia yako ya JF tunaweza kutamani kuchangia walau kidogo gharama za msiba, Dada HS na Mkuu mshana tunaomba utaratibu.
Pole sana kufiwa na mzazi inauma nyie acheni tuu miye bado nalia mpk kesho.
Pole sana saint. Anne
Dooh!

Pole sana na msiba Saint Anne
Pole sana Saint Anne
Pole sana my lovely sister Saint Anne.

May our Almighty God of heaven strengthen you.
Pole sana Anne, Mungu awe faraja kubwa wakati huu wa majonzi.
Tunawaombea uvumilivu familia ya ndugu yetu huyu Saint Anne wajaliwe kumpumzisha mzee wao salama.
Hapa duniani Ni njia ya kupita tu kuelekea kule tuliko kusudiwa hivyo mzee ajaliwe kufika salama kwa Mungu.
Pole sana kwa familia,ndugu pamoja na marafiki kwa ujumla. Ni njia tutakayopitia kila mmoja kwa nyakati tofauti.Tuishi kwa umoja,upendo na kwa kushirikiana.
Pole sana Saint Anne kwa pigo hili kubwa. Nakuombea wewe na familia nzima faraja na uwezo wa kustahimili msiba huu.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe.
I'm sorry for your loss Saint Anne
Pole sana kwake, tupo pamoja nae katika hili
Pole nyingi kwa Saint Anne pamoja na familia yake kwa kumpoteza mpendwa wao,neno la Mungu likawe faraja kwao katika kipindi hiki.

Wale wote tulioguswa nawapa pole pia,neno la mungu likawe faraja kwetu,tujikumbushie tumaini la uzima wa milele.
Amen.
Pole sana Saint Anne Tupo pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu chakuondokewa na Baba
Pole sana sant
Pole Sana
Poleni jamani
Pole kubwa kwa Anne pamoja na ndugu, jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huo.
Pole sana Saint Anne Mungu akutie nguvu na wepesi katika kipindi hiki kigumu.
Pole sana kwa msiba mama mchungaji,mwendo ameumaliza apumzike kwa amani.
Mwenyezi Mungu amtie nguvu katika kipindi hiki anachopitia.
pumziko la amani ,ampe ee bwana.
Saint Anne pole saana.

Mungu akutie nguvu katika hiki kipindi kigumu
Pole Sana wafiwa
Kumbe ni homegirl? Pole sn mkuu.Tujitoe tumchangie kwa moyo apate usaidizi wa kifedha
Amen[emoji24][emoji120]

Mungu huwa hakosei.
Ila ameniumiza mno,,hakutaka japo kunisikiliza maombi yangu[emoji24]
 
Mwenyezi Mungu awape ujasiri family yote kwa msiba huo mzito,

Innalillah wainna illah raji'un.
pole sana dadaangu...Allah mpe kauli thaabit baba yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana S.Anne.maumivu yake nayajua

Mimi nimezika wote baba na mama..ni vile tu hatuna la kufanya... Mshukuru Mungu kwa yote...
Pole Mungu akutie nguvu Ndugu.
Saint Anne our hearts go out to you and to everyone who loved him...such a huge loss... Psalm147:3[emoji1431]
Amen Amen[emoji24].

Kwangu ni pigo kubwa mno.
 
Wana chit-chit, kwa masikitiko nimejulishwa na mwana jukwaa mwenzetu Saint Anne kuwa amefiwa na baba yake mzazi usiku wa kuamkia tar 29/5 na mazishi yamefanyika siku ya leo yar 30/5.

Najua anapitia wakati mgumu mno hivyo anahitaji faraja ya ndugu, jamaa na marafiki.
Hivyo sisi tukiwa kama memba wenzake wa jf na jukwaa pendwa la chit-chat ni vyema tukampa faraja za hali na mali, zaidi tuiombee familia yake kuwa Mungu wa Mbinguni awafariji kwa faraja yake ya kweli.

Pole sana Saint Anne
Jipe moyo mkuu, simama na usonge mbele, haya ni mapito tu dada yetu.

Usiache kumtegemea Mungu kama ulivyo mcha Mungu kila wakati.

Amina.

Heaven Sent
BAK
Mshana Jr
@shedeya
Amen[emoji24][emoji120][emoji120]

Mungu mwenyewe anajua namna gani atanitoa kwenye haya mateso aliyoniingiza.
 
Back
Top Bottom