Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu tena kwenye asili yako tujumuike kumfariji ndugu yetuMungu ampe nguvu kipindi hiki kigumu yeye na familia nzima, undali huko wengine ndio asili yetu.R.ip father
Songo Mungu akijaria mwezi wa 7 au 8 ndio ntaenda mbozi kama ratiba zikikaa vizuri naweza fika huko ileje.Tuko pamojaKaribu tena kwenye asili yako tujumuike kumfariji ndugu yetu
Sawa karibu sana maana mbozi na ileje ni pua na mdomoSongo Mungu akijaria mwezi wa 7 au 8 ndio ntaenda mbozi kama ratiba zikikaa vizuri naweza fika huko ileje.Tuko pamoja
AsanteSawa karibu sana maana mbozi na ileje ni pua na mdomo
R.I.P baba yake saint anne.Wapendwa wana JF, mwenzetu Saint Anne, amefiwa na baba yake leo. Ninaomba tu kila mmoja wetu kwa Imani yake; amuweke Anne na familia nzima kwenye maombi. Mungu akawafariji, akawatie nguvu na kuwavusha salama katika kipindi hiki kigumu sana na chenye majonzi kwao. BWANA Alitoa, na BWANA Ametwaa, Jina la BWANA na libarikiwe.
Baba marehemu alikwenda Mbozi kusalimia, akiwa huko aliugua ghafla na kulazwa, bahati mbaya umauti ukamkuta. So bado taratibu nyingine za kifamilia zinaendelea, ila msiba na kila kitu kitamalizikia huko Undali.
NB: kama kutakuwa na taarifa yoyote zaidi tutajulishana hapa hapa![]()