Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Kama kiumbe ni cha Gwajima ampelekee kwani kuna shida gani! La sivyo asepe kwani muda wote huo alikuwa wapi kusema.
Hilo ndio swali watu wasema alikuwa watu adi Leo anataka Cheti
 
Shilawadu wanatumika hapo kwa nguvu ya kumchafua mchungaji kwanza huyo dada anaonekana kutojiamini na anachozungumza na ukitaka kuamini kuwa ni kweli jamaa anamsaidia kutoa maelezo sahihi na hata hivyo Alikuwa wapi sku zote hizo
 
MIMI NA MANGE
tutamtea.
aliibakwa au...
alitumwa kaka yake gwajima aikuwalipa mmemtuma huyu
 
Huyu dada muongo aende Ustawi wa jamii kama nikweli,pili hawezi msokogelea gwajima jinsi alivyo na walinzi wengi.
 
Shilawadu wanatumika hapo kwa nguvu ya kumchafua mchungaji kwanza huyo dada anaonekana kutojiamini na anachozungumza na ukitaka kuamini kuwa ni kweli jamaa anamsaidia kutoa maelezo sahihi na hata hivyo Alikuwa wapi sku zote hizo
DNA Ndiyo kiboko yenu
 
Magufuli kuwasifia SHILAWADU

Uhusiano wa Magufuli na Bashite

Uhasama wa Bashite na Gwajima

SHILAWADU kuleta habari za Kumchafua Gwajima

Unganisha Dots wala hutaipa akili yako shida katika kufikiri.

Sasa Soudy Brown ataonywesha mpaka macho yake ya Kurembua. Atamjua Gwajima ni nani.
 
from investigative point of view, her actions, eyes and what she say its complete different. may be she afraid camera, its her first time.

may be why she decided to report now?

bashite we got you dearly hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

by the way adorable child
 
Kwani huyu mama alibakwa au? Nyege zake ndio zimetoa hayo mujibu...daudi bashite mwizi wa vyeti bado anadunda mtaani..
 
KUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
Umeamini ni kweli kwa kumsikia mtu kwa dakika chache tu bila kusikia majibu ya upande wa pili?
Why hutaki kuamini ya bashite?? Chuki kiasi gani uliyonayo kwa mtumishi wa Mungu?
Epukeni laana kwa kuwasakama watumishi wa Bwana! Unadhani yanayomtokea RC ni bahati mbaya?
 
Kesho kanisan hakuna mahali pakukaa movie kama vile ndo inaanzaa. Gwajima hana mambo ya kitototo.
 
Kwa hiyo shida ni nini hapo? Gwajima kakataa mtoto au? Kuzaa na MTU sio criminal offence ila kufoji vyeti ndio ni kosa tena unafungwa miaka saba
 
Kumbe walikua location ndo maana rais aliwasifia sana jamaa wana vituko kweli mbinu nyingine za kichafuana ni za miaka ya 50 hivi...... shilawadu, clouds hawana tofauti na TBC siku hizi
 
Wanazidi kumuharibia Paul Makonda.na kwa nini watumie nguvu kubwa hivyo badala aoneshe tu vyeti
 
Back
Top Bottom