myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Movie imeingia sokoni...Hii movie sio ya kutengenezwa kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Movie imeingia sokoni...Hii movie sio ya kutengenezwa kweli?
Hilo ndio swali watu wasema alikuwa watu adi Leo anataka ChetiKama kiumbe ni cha Gwajima ampelekee kwani kuna shida gani! La sivyo asepe kwani muda wote huo alikuwa wapi kusema.
DNA Ndiyo kiboko yenuShilawadu wanatumika hapo kwa nguvu ya kumchafua mchungaji kwanza huyo dada anaonekana kutojiamini na anachozungumza na ukitaka kuamini kuwa ni kweli jamaa anamsaidia kutoa maelezo sahihi na hata hivyo Alikuwa wapi sku zote hizo
Umeamini ni kweli kwa kumsikia mtu kwa dakika chache tu bila kusikia majibu ya upande wa pili?KUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
Si alimpanulia mwenyewe! Sasa analalamika nini?