Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

angeulizwa, wakati wanafanya ngono, grace mkewe alikuwa pembeni anaangalia? hivi kwa sura ya huyo dada na ni mfagiaji, pale kuna wanawake wengiiiii wazuri balaa wanaojipendekeza kwa wachungaji, gwajima angewaacha wale wazuri akarukia kwa huyo mfagiaji? sisi wote wanaume tuseme ukweli...demu kama huyo umekutana naye kweli utamtongoza? wakati kuna wanawake wazuri balaa wa kuokota tu?
 
MHH MUNGU HAYA MAMBO NAOMBA UMITIE ROHO YA UJASIRI ASKOFU KESHO AELEZE MAMBO YA CHRISTINA NA HUYU DADA ANAYETULETEA MADA MPYA YA MTOTO WA ZINAA.KESHO KUCHE VIZURI TUJUE MBIVU NA MBICHI.BASHITE SUALA LA CHETI LIPO PALE PALE
 
gwajima ni kama mange ukimchokoza usilie lie baadae
 
yap, ila kiukweli, anatakiwa kulitolea maamuzi. ila asikubali DNA kirahisi, wanaweza kuiingilia kati, mkemia mkuu ni mserikali, labda kama watapata DNA ya private au huko ulaya hivi waende kupimia huko. akipimia hapa bongo, majibu yatakuwa positive hata kama ilitakiwa kuwa negative.
 
Sina tatizo na Gwajima kudharirisha Huyo mama, nina, tatizo na source ya hiyo habari kama waliweza kumzushia raisi wa Dunia nzima sembuse Mchungaji wa Mungu. Sidhani...!
 
hakuna sehemu gwajima anapata nafasi ya kuwa peke yake. kuanzia nyumbani hadi kanisani. akitoka home kuja kanisani, haiwezekani wakawa wawili tu na huyo binti, kuna msururu wa walinzi na wachungaji wasaidizi plus his wife. sielewi atakuwa alizini naye wapi?
 
ni tamaa za mwili zimemponza dada asitafute mchawi alaf ile ni starehe wote wali enjoy sana tuu atuondokee hapa!
 
Uhuru si ya Ccm punguan kabisa !!vitu vingine nashaur ukae chooon burudan kabisa we nyumbuuu!!
 
Frikwensi gani tumsikilizw huyo kada

Kiufupi mimi siwezi kumtetea gwajima katika hili,
Inawezekana alikula tunda... Namshauri tu gwajima amlee huyo mtoto basi.

Ila bashite alete vyeti.
Acha ushamba wew mpumbavu alee mamako?????
 
Uhuru FM? Hii ya Lumumba? Hii inaitwaje cleansing strategy? Au just another counter attack? Hata Frola Mbasha naye ilikuwa hivi! Vyeti kwanza halafu tuifuatilie hii
 
hakuna sehemu gwajima anapata nafasi ya kuwa peke yake. kuanzia nyumbani hadi kanisani. akitoka home kuja kanisani, haiwezekani wakawa wawili tu na huyo binti, kuna msururu wa walinzi na wachungaji wasaidizi plus his wife. sielewi atakuwa alizini naye wapi?
La Mdogo wake wameshindwa Ccm bwana kwel skreper
 
Kuna video inazunguka mtaani ikimuonyesha binti aliyebeba mtoto akihojiwa na mtu aliyefunika uso wake,

Nimefanya uchunguzi binafsi nakujiridhisha video hii niyakughushi kama vilivyo vyeti vya Daudi Bashite.

Bila kuangalia maudhui yaliyokwenye video, mimi naangalia uhalali wa video na Kadi iliyowekwa hadharani kwamba ni kadi ya kliniki ya mtoto aliyebebwa na mama huyu.

Kuna mambo makuu mawili ambayo kitaalamu kwamjibu wa Sheria ya uchunguzi hasa Forensic Psychology,

Jambo la kwanza ili ugundue kuwa mtu unayezunguma naye au mtu anayezungumza mbele yako ni muongo, utayaona macho yake,

Kuna uongo wakulishwa yani unasisitizwa useme hivi:, na uongo wakutengeza mwenyewe, yani kipaji cha uongo mtu anachozaliwa nacho, hapa kwenye macho hutoa majibu mawili.

Uongo wa kulishwa: Mtu wa aona hiyo utamtambua wakati akiongea mboni za macho yake zile nyeupe zitakuwa zikionekana zote kanakwamba anatumia nguvu hii husababishwa na misuri ya macho kuuvutika...

Uongo wa Kutengeneza mwenyewe: Mtu huyu macho yake huwa hayatazami mbele, huangalia pembeni, Hurusha mikono mara kwa mara aongeapo, hupenda sana kujiapiza.

Kwadhana hiyo sasa nawapeni tafakuri kwa video hiyo muamue huyo binti na kijana anayemhoji aliyeamua kujifunika uso.

Lakini kadi iliyowekwa mitandaoni ikiambatana na video hii kwa lugha rahisi imeivuruga video na kudhihirisha kuwa video hiyo ni feki.

Kuna mapungufu mengi ndani ya kadi hii yanayofuta uhalali wake. Hii kadi mmeshindwa hata kuijaza?

1. Jina la hospital aliyozaliwa,

2. Jina la daktari au mkunga aliyemzalisha.

3. Mhahali anapoishi.

4. Jina la mjumbe/mwenyekiti wa mtaa...

5. Hata muhuri wa kuchonga kariakoo tu au sahihi yakughushi imewashinda?

Mkitaka kuwa waongo msisahau vitu vidogovidogo hivi::::::::::::::::::
 
Back
Top Bottom