Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Kama kawaida Elton John mwanamuziki alie na rich history na Diana pamoja na Royal family yote kwa ujumla ataperform live as usual.

Ikumbukwe ngoma yake ya "Candle in the wind" alilazimika kuinda upya na kuiwekea maneno yaliyomhusu princess Diana baada ya kifo chake but awali kwenye version ya 1 yalimhusu Marlin Monroe maarufu kama Norman Jean. Huu wimbo haiwezi kusahulika ndani ya Royal family hii kamwe.

Mara zote alikuwa akitumbuiza anawaliza Royal family wote endlessly but kesho atawakosha kwa ngoma zake kali zisizochuja...ikiwemo ngoma yake ya "can you feel the love tonight" then "sacrifice " na zingine Kali kibao zisizochuja zitazizimisha mioyo ya wahudhuriaji.

Picha ya pili mafans wa Royal family wakiwa wamepiga kambi kwa siku kadhaa Ku secure sehemu ya mbele kabisa ya barricade ili wawaone wapenzi hawa live.

Show inaanza sasa!

View attachment 780935View attachment 780936
Duuh!watu wamekesha
 
Same applies kwa destiny child...Beyonce alivyoona kundi limefubaa akajiweka kwa Jay Z pale anaemiliki studio za Def jam na msanii bilionea hadi Leo anarindima uzuri tu wenzake hata hawajulikani wanaishi kitongoji gani US. Kosa wameshindwa kuchanga karata zao vizuri.

Life is a game of chance!
Sure Beyonce aliwahi haswa!sasa hivi anakula gudtime!
 
Habari za asubuhi kwa wale wlojidamka mapema leo.

Malkia Elizabeth II leo ametoa cheo au title kwa Harry na Meghan.

Kuanzia leo wataitwa Royal Highness Prince Henry and Duke of Sussex and Meghan Royal Highness Duchess of Sussex.

Sussex ni wilaya iliyopo kusini mashariki mwa Uingereza na ina uwanja wa ndege wa Gatwick ambao ni wa pili kwa ukubwa nchini Uingereza.

Pia yapo makao makuu ya American Express yaliyopo kwenye mji wa Brighton, kiwanda cha magari aina ya Rolls Royce na makao makuu ya shirika la ndege la Virgin Atlantic kwenye kamji kadogo kaitwacho Crawley..
 
Habari za asubuhi kwa wale wlojidamka mapema leo.

Malkia Elizabeth II leo ametoa cheo au title kwa Harry na Meghan.

Kuanzia leo wataitwa Royal Highness Prince Henry and Duke of Sussex and Meghan Royal Highness Duchess of Sussex.

Sussex ni wilaya iliyopo kusini mashariki mwa Uingereza na ina uwanja wa ndege wa Gatwick ambao ni wa pili kwa ukubwa nchini Uingereza.

Pia yapo makao makuu ya American Express yaliyopo kwenye mji wa Brighton, kiwanda cha magari aina ya Rolls Royce na makao makuu ya shirika la ndege la Virgin Atlantic kwenye kamji kadogo kaitwacho Crawley..
Haya bwanaa!!!
 
Sky Eclat witnessj

Mpya kutoka Kensington Palace.

Prince Charles will walk his future daughter-in-law Meghan Markle down the Aisle..
Chalz anayawezaga aseee!

Mareject wote huwaga anajifanyaga baba kwenye harusi zao![emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nampendaga sana Charles seems disminder flani hivi amazing!
 
Hii sijawahi kusikia, baba mkwe mtarajiwa kum walk mkwe wake mtarajiwa down the Isles?!!

Mitandaoni naona Wamarekani wamecharuka, tons of comments suggests Mama yake Meghan ndio angem walk binti yake kanisani. Naona kwao sio issue and they'd rather iwe hivyo kuliko baba mkwe. Au sijui kwa sababu ni Charles..
Charles ndo zake kuokota rejected na kuwa baba kwenye harusi...hebu fatiliaga!
 
Kama unafikiri wewe unapenda sifa, attention, cameras... tafakari mara mbili...David Beckham na Posh wanapenda sifa sana when it comes to fashion and stealing the show.

Hapa mapema Leo ndio wanafika maeneo ya Windsor shughuli itakapofanyika lakini bling walizotandika wanawafanya bwana na bibi harusi waonekane kama vile wasindikizaji tu.

Cool down the pace The Beckhams, you Rocking too fast.View attachment 780946
Mmmmh...hapa Posh ana mimba tena itakuwa ya Harper Seven nadhani ilikuwa harusi ya William na Kate hapa!
 
Hahahahahh!, lakini wewe! [emoji23] [emoji23] [emoji23]

This was just too good, it deserved it's own space, eti kigodoro cha kibabe! [emoji1] [emoji28]

Hahah!, Wamarekani unaona wanajaribu kumsindikiza Mmarekani mwenzao. Naona hii weekend ni mwendo wa zile kofia na English tea mpaka kwa t.v presenters...lol

Halafu Rihanna tried to play it down when she was asked if she was invited for the wedding. Naona huko ni mwendo wa Royals tu..
Lakini Riri alijibu vizuri nliipenda...js bcz she met Harry dsnt mean she is invited...ndo akamuuliza mtangazaji ...well u have met me .,u think u coming to my wedding?.,very logical
 
Uzuri ni kimavi watu hatujui tuu...huyo Meghan na vigimbi vyake unaambiwa mwanaume akionja pale anatangaza ndoa fasta halafu matajiri tupu!

Huyo mganga wake alimtoa Nyakanang'ung'u nahisi, si kwa mibahati hii
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani jamani looohh!!
 
Back
Top Bottom