Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Yeah ndio inavyokuwaga, mzinguaji huwa anaishia kulia lia na kupagawa kama faiza wa jongwe
 
Wiki 2!!!!!!!!
 
Nimeona Leonardo Di Caprio amemuowa Angelina Jolie, Will Smith na Jada Pinket, nadhani hawa watu wanatakiwa kuowana wenyewe.

Flaviana alitakiwa kuolewa na mtu kama Hasanali yani mambo yao ni yaleyale, huku Luiza Mbutu wa Twanga yupo na Farijala Mbutu mpiga gitaa, wote kazi zao kukesha kurudi nyumbani usiku mkubwa.

Ukijichanganya kujiingiza kwa hawa watu wakati wewe upo nje ya mfumo wao umeumia.
 
Ndoa za mastaa wanawake na mashabiki wao wanaowafuatilia kila wakati huwa hazidumu..!! SABABU KUBWA NI UBEIJING... Kudai usawa ndo hupelekea kuumia sana kwa ndoa zao.. Na hii hutokana na kwamba wanajiona wanaweza bila wanaume... Kuna msemo..
MWANAUME ANAVYOZIDI KUPATA HELA, NDIVYO ANAVYOHISI KUONGEZA IDADI YA WANAWAKE... na MWANAMKE ANAVYOZIDI KUPATA HELA NINGI, NDIVYO ANAVYOZIDI KUHISI HAHITAJI MWANAUME
 
huyu demu anakoboana hivyo ni ngumu kukaa kwenye ndoa na mwanaume, siku hizi wana genge lao wanafanyaga house party weekend humo ndani wanakoboana hatari pia wananafndisha mabinti wadogo kukoboana kwa gia ya kujifanya mafeminist
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo wachaga wengi wa huko mambele huwa machoko! Unakuta jamaa ana hela ila anapumuliwa kisogoni na wajuba au anakuwa mende[emoji28]!

Mke akijua lazma mtemane tu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa cheki wanavyo haha na kulizwa na hizo ndoa?
Mbna mie nipo kwenye ndoa halali kabisa, japo ya upinde upinde,
Ila ndoa tamu bhana, weuweeeeeeeh
[emoji15]
 
Ndoa hufungwa kuanzisha familia kwa sisi waafrika,
 
Tatizo wachaga wengi wa huko mambele huwa machoko! Unakuta jamaa ana hela ila anapumuliwa kisogoni na wajuba au anakuwa mende[emoji28]!

Mke akijua lazma mtemane tu..
Wewe jamaa huwa unageneralize sana inapokuja ishu mbaya inayohusu kabila la wachaga..

Wachaga walikufanya nini wewe mpare wa milimani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ