Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Wewe jamaa huwa unageneralize sana inapokuja ishu mbaya inayohusu kabila la wachaga..

Wachaga walikufanya nini wewe mpare wa milimani??
Asee mtani usimaindi bana mambo madogo haya
 

Trayvess Daniel umeupata ujumbe huo?
Maisha ni kuishi na kuchagua na pia ni makubaliano... ndo maana kuna mama wa nyumbani, walimu, manesi, wafanyabiashara n.k.... sasa wewe kama unataka huduma zote hizo chagua wa kufanana nawe. Kwa mfano huwezi kwenda kuoa mwanamke mpishi wa maharusi au mshereheshaji ukategemea upate huduma zote na hamkua na makubaliano mkianza maisha pamoja ataacha kazi zake.
Fanya mambo kiutu uzima oa mke ambaye saa by saa 11 jioni katoka ofisini yupo nyumbani kuhudumia familia bila bughudha.
OENI WA KUFANANA NANYI MSITAKE KUBADILISHA WATOTO WA WENZENU KKWA LAZIMA AMA MLIWAZAA NYIE NA KUWAKUZA MAISHA YENYEWE HAYATABARIKI UNAACHA KUFANYA YAKO KWA KUMTEGEMEA MWANADAMU AMBAYE ANAWEZA PATA TATIZO MUDA WOWOTE AU HATA MKAACHANA.
 
Ndoa zina kanuni constant milele, hakuna namna inaweza kubadilisha hiyo asili.

Watu maarufu na wenye kipato huwa wanajichanganya na kuja na kanuni nyingine kwenye ndoa zao,wanapoteza kimoja wapo.

Umeolewa usiku uko kwenye event za kibiashara na watu wengine.

Umeolewa jamaa anakula peke yake mgahawani au home peke yake.

Umeolewa watoto na mume wanahudumiwa na wasaidizi wa kazi.

Kuwa mke wa mtu ni fani nyingine ambayo inahitaji muda maalum kwenye maisha ya mwanamke sio sehem tu ya muda wake.
Kwa wanawake wetu hawa wa kisasa hili hawawezi kukuelewa.....
 
Wewe jamaa huwa unageneralize sana inapokuja ishu mbaya inayohusu kabila la wachaga..

Wachaga walikufanya nini wewe mpare wa milimani??
Nyie ni majambazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Halafu sijaona aliposema wachaga wote,
Amesema wengi.
 
Haya mambo haya....sijui hata walishindwana nini, mbona flavy anaonekanaga tu ni malkia wa nguvu au ni mwamba? [emoji16]
[emoji23][emoji23]Russell Simon yule promota wake yule alikua anamgonga sidhani kama waliachana..then maisha ya umodo kuolewa ki mtihani saana wanatumika mnoo na wale maboss zao labda waoane wenyewe kwa wenyewe mamodo kwa mamodo ila mume akiwa sio modo ni mtihani mtupu!angalia akina tyra banks,Naomi, Gigy Hadid,Bella Hadid,na wengineo...Flavy alitaka kuolewa ili awakomeshe wabongo kumbe ndo kwanza carrier yake inaanza ni ngumu sana kuishi na mme haswa wa kibongo kama wazungu wenyewe wanashindwana daily!
 
Nimeona Leonardo Di Caprio amemuowa Angelina Jolie, Will Smith na Jada Pinket, nadhani hawa watu wanatakiwa kuowana wenyewe.

Flaviana alitakiwa kuolewa na mtu kama Hasanali yani mambo yao ni yaleyale, huku Luiza Mbutu wa Twanga yupo na Farijala Mbutu mpiga gitaa, wote kazi zao kukesha kurudi nyumbani usiku mkubwa.

Ukijichanganya kujiingiza kwa hawa watu wakati wewe upo nje ya mfumo wao umeumia.
Exactly yaani uko sahihi sana kaka!
 
[emoji23][emoji23]Russell Simon yule promota wake yule alikua anamgonga sidhani kama waliachana..then maisha ya umodo kuolewa ki mtihani saana wanatumika mnoo na wale maboss zao labda waoane wenyewe kwa wenyewe mamodo kwa mamodo ila mume akiwa sio modo ni mtihani mtupu!angalia akina tyra banks,Naomi, Gigy Hadid,Bella Hadid,na wengineo...Flavy alitaka kuolewa ili awakomeshe wabongo kumbe ndo kwanza carrier yake inaanza ni ngumu sana kuishi na mme haswa wa kibongo kama wazungu wenyewe wanashindwana daily!
Sasa hiyo carrier haina kikomo? Ataendelea kuwa modo hata akiwa bibi kizee? Anyway huenda ndoa nayo sio kipaumbele vile vile
 
Sasa hiyo carrier haina kikomo? Ataendelea kuwa modo hata akiwa bibi kizee? Anyway huenda ndoa nayo sio kipaumbele vile vile
Watazaa au kufikiria kuolewa at late 40's to 50 hukoo kama kina Naomi,we huoni kina Tyra mpk Leo I think hawana watoto...wako na mahusiano tu!
Then Flavy alitaka kuolewa ili kukomesha wabongo nafikiri au kutoa gundu tu!Bora Magese mwenzie kazaa mtoto hana time ya ndoa!Tausi Likokola nae nafikiri hana Mme pia!
Ila ukiwa modo ni ngumu kuanzisha familia!
 
Watazaa au kufikiria kuolewa at late 40's to 50 hukoo kama kina Naomi,we huoni kina Tyra mpk Leo I think hawana watoto...wako na mahusiano tu!
Then Flavy alitaka kuolewa ili kukomesha wabongo nafikiri au kutoa gundu tu!Bora Magese mwenzie kazaa mtoto hana time ya ndoa!Tausi Likokola nae nafikiri hana Mme pia!
Ila ukiwa modo ni ngumu kuanzisha familia!
Umesema Happy nimekumbuka, hivi yule alizaa na nani? Ana mtoto mzuri sana....baby Cairo
 
Umesema Happy nimekumbuka, hivi yule alizaa na nani? Ana mtoto mzuri sana....baby Cairo
Wale watoto wa IVF nafikiri maana yule pale alikua na endometriosis akaambiwa hatoweza pata mtoto kwa njia ya kawaida...!!!kuna sperm donors ulaya hukoo kanunua mbegu kapandikiza!
 
Sasa hiyo carrier haina kikomo? Ataendelea kuwa modo hata akiwa bibi kizee? Anyway huenda ndoa nayo sio kipaumbele vile vile
Miaka mingi iliyopita nilikuwaga na mmoja huyo alinipenda kiukweli na alitaka nimuowe kabisa.....

Lakini imagine kwanza hapandi daladala na kipindi hicho hakuna bodaboda.

Yale makucha yake ya kutekenyea dushe hawezi kufuwa anataka ninunuwe laundry mashine,

Mbaya zaidi nilimpora mzungu na yule mzungu kwa yule mtoto alikuwa kakolea, basi ili nisije kupata strock mbeleni nilipiga bonge la Uturn roho iliniuma lakini nikazoea na kusahau, ndio maana leo nikiona issue kama hizi najuwa wazi wahusika waliujuwa ukweli from the beginning lakini ubishi tu.
 
Miaka mingi iliyopita nilikuwaga na mmoja huyo alinipenda kiukweli na alitaka nimuowe kabisa.....

Lakini imagine kwanza hapandi daladala na kipindi hicho hakuna bodaboda.

Yale makucha yake ya kutekenyea dushe hawezi kufuwa anataka ninunuwe laundry mashine,

Mbaya zaidi nilimpora mzungu na yule mzungu kwa yule mtoto alikuwa kakolea, basi ili nisije kupata strock mbeleni nilipiga bonge la Uturn roho iliniuma lakini nikazoea na kusahau, ndio maana leo nikiona issue kama hizi najuwa wazi wahusika waliujuwa ukweli from the beginning lakini ubishi tu.
😂😂😂 Mtoto ana kucha za kukuondolea stress....

Huyo ili muende sawa ujitoe ufahamu na pesa iwepo.
 
"Watu wanachukulia career ya Flavy kama ndio sababu bila hata kujua sababu husika"

Mkuu huku ni kutaka Watz wasiwe watz which is against your values 🤣...

Ni jadi yetu kutaka kudadavua mambo kwa uhakika wote bila kutaka kujua sabb husika ya jambo.

I guess it's not fair either kuonesha concern ya sisi kutotaka kujua sabb husika.
wabongo tunapewa title tu, story tunamalizia wenyewe brother 😁😁
 
Una kumbuka ni mwaka gani ameanza ametoka shinyanya na kuanza mambo ya models maana naona watu wansmwita binti wakati ka umri kametia nanga tangu nianze kumsikia sio leo
around 2007 kabla maria sarungi hajamuingiza kwenye hizo fani za mjini

Kingine flaviana ana muonekano wa udogo tu ila sio mtoto
 
Back
Top Bottom