"Mwanamke afanyiwe nini ili awe na utulivu, utii na upendo wa dhati kwa mwanaume wake?" Jibu limepatikana

Huo muda nani anao wakufanya upuuzi wote huo. Wanawake japo ni mama zetu, mabinti zetu na dada zetu ila kwa aailimia nyiiiingi mna ushetani ndani yenu.

Ref kisa cha Adam, Ayub, Samson, na hata Lutu....ushetani mtupu.


Wakati wewe unapoendelea kuuita upuuzi na kuumia wenzio wanafanya hivyo na kufurahia mahusiano
Jikaze kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…