Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiondoa sex nyie mna offer nn kwenye mahusiano🌚Tunataka VYOTEEE
Mtandao pendwaHivi mwanamke akipewa yote hayo hadi kukatwa kucha yeye kwa upande wake anatoa nini na nini na nini na nini?
Manake ukipokea na wewe unatakiwa kutoa ili iwe perfect combo
Tofauti ya hao wote ni kuwa Ayubu yeye alikataa upuuzi wa mkeweHuo muda nani anao wakufanya upuuzi wote huo. Wanawake japo ni mama zetu, mabinti zetu na dada zetu ila kwa aailimia nyiiiingi mna ushetani ndani yenu.
Ref kisa cha Adam, Ayub, Samson, na hata Lutu....ushetani mtupu.
Kama ule unaotoaga wewe ee?Mtandao pendwa
Eti yeye anatoa mbususu tuu??Hivi mwanamke akipewa yote hayo hadi kukatwa kucha yeye kwa upande wake anatoa nini na nini na nini na nini?
Manake ukipokea na wewe unatakiwa kutoa ili iwe perfect combo
Ni kitu gani hichi??Kama ule unaotoaga wewe ee?
Sanamu lako unataka lijengwe wapi mkuu, nitagharamia kila kitu. Wewe sema "Su!", na sanamu yako itajengwa.Hivi mwanamke akipewa yote hayo hadi kukatwa kucha yeye kwa upande wake anatoa nini na nini na nini na nini?
Manake ukipokea na wewe unatakiwa kutoa ili iwe perfect combo
Hawezi kumkaribia kidume Seleman aliyendua wanawake 30 kwa siku, huyu Mwaka hajatupa aendelee kugongewa na wake zake na wajuba wa Buza hana jeuri kama ya SelemanKama hayo aliyoyaongea anaweka kwenye utekelezaji ana nafasi ya kumkaribia mfalme Selemani
Mwanamke tangu anaumbwa mpaka siku ya mwisho anahitaji vitu vitatu tu. Sivitaji.Huu ni ukweli bila chenga kwamba mwanamke anataka VYOOOOTE
MAPENZI, CARE, ATTENTION, SIM NZURI, GARI ZURI, MUDA WAKO, KUBEMBELEZWA......
View attachment 2094496
Mwaka anayaweza kwelikweli
Vitaje mkuu, unawezakuta ukawasaidia watu apa.Mwanamke tangu anaumbwa mpaka siku ya mwisho anahitaji vitu vitatu tu. Sivitaji.
Hujawahi kuona mwanamke anaishi katika kasri na hana furaha na anaweza kuondoka katika kasri hilo na wala asijute ?
Sasa msiwafanye watu wajinga wakawaongoza,hizi zama ndiyo zile zama ambazo wajinga huaminiwa na kufatwa.
Ni rahisi na viko wazi mno kama unawajua wanawake vizuri.Vitaje mkuu, unawezakuta ukawasaidia watu apa.
Kwani siku hizi umeshastaafu eeh?Kama ule unaotoaga wewe ee?
Mwanamke ili atulie unatakiwa ujali
1.Tumbo lake (uhakikishe anashiba).
2.Mwili wake (sehemu yake ya siri iridhike na wewe aka umfikishe kileleni).
3.Umsitiri ( mavazi + sehemu ya kukaa)
Mengine yooooote ni ziada ila nasisitiza sana hapo kwenye point namba moja na mbili...mwanamke hajui kuvumilia njaa ,ukicheza na tumbo lake tu ni lazima akusaliti, na ikiwa utamshibisha ila humfikishi kileleni ni wazi kuwa lazima atakusaliti...maana kumfikisha kileleni ndio kutamfanya ajenge mapenzi na wewe.
Wasalaam