Mwanamke Akianza kudai haki zake, huonekana ana kiburi.

Mwanamke Akianza kudai haki zake, huonekana ana kiburi.

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Hususan Maeneo ya Vijijini na hata baadhi ya Familia Mjini Mwanamke akianza kutambua na kudai haki zake huonekana ana kiburi sana.

Halafu cha kushangaza sasa unakuta wanawake ndio wa kwanza kuanza kukandamiza haki ya Mwanamke mwenzao ili mradi tu na wao wasionekane wabaya.

Mwanamke huyu atakapoanza kudai haki yake basi Jamii itamtenga kwa kumuona hafai na anaikosea heshima familia yake.

Kuna tabia ambazo mwanaume anaweza kuwa nazo na ni zile zisizofaa ndani ya Jamii.

Tabia hizo ni kama kumpiga mkewe mara kwa mara, kulewa sana na kurudi nyumbani asubuhi au usiku wa manane, kufanyia watoto ukatili na tabia nyingine kama hizo.

Sasa Mwanamke atakapoinuka na kuanza kuzikemea na hata kuzifikisha kwenye mikono ya Sheria ili haki ipatikane basi Jamii huanza kumtenga.

Kumtenga kwenyewe ni kama kutokumsaidia kushinda kesi, kumlaumu na kumsema vibaya.

Ni muhimu Jamii ibadilike katika hili.
 
Kushinda kesi ili uchukue Mali zote na Kila kitu ukale na boyfriend wako wa kitambo au sio!?
Maana kwa maskini hakuna kesi ni unaondoka unarejea kwenu hata bila shida hapa kwenye kushinda kesi ni unataka kushinda kesi gani!?
 
Hususan Maeneo ya Vijijini na hata baadhi ya Familia Mjini Mwanamke akianza kutambua na kudai haki zake huonekana ana kiburi sana.

Halafu cha kushangaza sasa unakuta wanawake ndio wa kwanza kuanza kukandamiza haki ya Mwanamke mwenzao ili mradi tu na wao wasionekane wabaya.

Mwanamke huyu atakapoanza kudai haki yake basi Jamii itamtenga kwa kumuona hafai na anaikosea heshima familia yake.

Kuna tabia ambazo mwanaume anaweza kuwa nazo na ni zile zisizofaa ndani ya Jamii.

Tabia hizo ni kama kumpiga mkewe mara kwa mara, kulewa sana na kurudi nyumbani asubuhi au usiku wa manane, kufanyia watoto ukatili na tabia nyingine kama hizo.

Sasa Mwanamke atakapoinuka na kuanza kuzikemea na hata kuzifikisha kwenye mikono ya Sheria ili haki ipatikane basi Jamii huanza kumtenga.

Kumtenga kwenyewe ni kama kutokumsaidia kushinda kesi, kumlaumu na kumsema vibaya.

Ni muhimu Jamii ibadilike katika hili.
Tuelezee ni namna gani mkono wa sheria utaweza kumpatia mwanamke haki yake kwa kudeal na sisi wanaume walevi na wanao rudi nyumbani asubuhi au usiku wa mananea kama ulivyo ainisha hapa "kulewa sana na kurudi nyumbani asubuhi au usiku wa manane" ?

Nb : Ndiyo tujue tunaamzia wapi kukusaidia.
 
Mwanamke humpatii mwanaune haki yake alafu akianza kufanya mambo yake unalalamika tulia wewe bibi kizee
 
Hususan Maeneo ya Vijijini na hata baadhi ya Familia Mjini Mwanamke akianza kutambua na kudai haki zake huonekana ana kiburi sana.

Halafu cha kushangaza sasa unakuta wanawake ndio wa kwanza kuanza kukandamiza haki ya Mwanamke mwenzao ili mradi tu na wao wasionekane wabaya.

Mwanamke huyu atakapoanza kudai haki yake basi Jamii itamtenga kwa kumuona hafai na anaikosea heshima familia yake.

Kuna tabia ambazo mwanaume anaweza kuwa nazo na ni zile zisizofaa ndani ya Jamii.

Tabia hizo ni kama kumpiga mkewe mara kwa mara, kulewa sana na kurudi nyumbani asubuhi au usiku wa manane, kufanyia watoto ukatili na tabia nyingine kama hizo.

Sasa Mwanamke atakapoinuka na kuanza kuzikemea na hata kuzifikisha kwenye mikono ya Sheria ili haki ipatikane basi Jamii huanza kumtenga.

Kumtenga kwenyewe ni kama kutokumsaidia kushinda kesi, kumlaumu na kumsema vibaya.

Ni muhimu Jamii ibadilike katika hili.



Mwanamke ana nguvu kubwa Sana na ndo maana katika universe mwanamke huwa anatambulika Kama ardhi

Ardhi inaweza kubeba kila aina ya kitu pasipo kutetereka.

Sasa kosa kubwa ni pale wwanawake wanapoanza kudai haki zao pasipo kujua aina ya haki zao.

Mfano mwanmke anabidi kutambua yeye anabeba na ni ardhi na mwanume anambeba yeye na sio mwanaume ndo anambeba.

Mwanamke akianza kudai haki amabzo hazipo ujue anaanza jipoteza mwenyewe katika nafasi yake.

ukiwatazama wanawake ambao wanalea watoto bila wanaume jinsi wanavyojipigia promo na kutaka kusikika hii Ina maanisha hana uwezo Ila analazimisha.


So ni vizuri utambue haki zako Kama binadamu kamili Ila usitumie kigezo cha haki kisa wewe ni mwanamke.
 
Haki anazidai kwa nani? Kwa nini adai haki kwa watu wengine? Ina maana mwanzo alikuwa nazo halafu akanyang'anywa? Mimi haki zangu hawezi mtu kuchukua mpaka eti nianze kumdai. Haki zangu ninazo, nimezihifadhi, na natamba nazo,ni zangu. Sina haja ya kudaiana na mtu.
 
tatizo si kudai haki bali baadhi ya wanawake wamekuwa na viburi/jeuri zisizomithilika na wengine wamefika mbali zaidi kuigeuza ndoa kama ajira/kitega uchumi.
 
Ujuaji utawaponza sana na masingo mama wanazidi kutaradadi zaidi.

Mtu kulewa na kurudi usiku ni suala la kusema unaenda kudai haki mahakamani?

Mwanaume akiwa hana kipato na akawa na hayo mambo mnaondoka na kurudi makwenu kimya kimya.

Cha ajabu akiwa na uchumi mzuri ndio mnawahi mahakamani na kutafuta msaada eti wa kudai haki (tamaa za kutaka mali)

NINYI NI WEZI KAMA WEZI WENGINE.
 
Back
Top Bottom