Mwanamke Akianza kudai haki zake, huonekana ana kiburi.

πŸ˜…πŸ˜…
 
Wanawake na waheshimiwe na watu wote
 
Hapa ndipo matatizo ya wanawake yalipo,
Hapa ulicho andika ni HISA tu, hakuna logic/mantic.
Maisha ni Mantic na sio hisia, hisia ziko kwa mitume na manabii.

Ebi twende kwenye logic;
Mfano: Tabia hizo ni kama kumpiga mkewe mara kwa mara
Logic: kwa nini una pigwa mara kwa mara?
unafanya kosa gani mpaka upigwe?
na ukipigwa unachukua hatua gani?
je uliwahi fika kituo cha polisi/ dawati la jinsia?
Huyo mume Ulichaguliwa na watetezi wa haki za wanawake?
Je ulifungishwa ndoa kwa nguvu?
Je njia ya kurudi kwenu huijui?
je umefungwa pingu na minyororo?

KAMA WEWE HUWEZI KUJITETEA, NANI WA KUKUTETEA? JAMII?
 
Sasa mbna mada na maelezo ni tofaut
Mwanaume kuacha pombe ni haki ya mwanamke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…