Mwanamke akiingia peponi, wanaume wote hatuna dhambi

Mwanamke akiingia peponi, wanaume wote hatuna dhambi

Deja vu27

Member
Joined
Dec 16, 2021
Posts
77
Reaction score
77
Nimejaribu kuwaza sana mpaka nimefikia kusema hivyo bhasi nina uthibitisho kuhusiana nahili Mwanamke vs mwaume
Tuanze na


MAUMBILE
Mwanamke
Kaumbwa na viungo vyote lakini hajaridhika, kapewa kope anaona hazitoshi kaamua kuongeza za kwake za bandia aonekane mzuri, kapewa nywele asilia na za kuvutia ila kaona ni mbaya kaamua kusuka rasta awe kama mzungu, kapewa kucha kaamua kuweka za kwake ziwe ndefu zaidi kama nsyuka matokeo yake anashindwa kula kwa mkono na kushika vitu baadhi, kapewa umbile zuri kaamua kuongeza kwa kufanya plastic surgery, kapewa rangi nzuri kaamua kwenda kununua uweupe na make up juu avutie kama mzungu, kapewa hips nzuri kaamua aongeze za kwake anazozipenda, kapewa cha kukalia kizuri kaamua aongeze kalio awe anakaa juu juu

Mwanaume
Kapewa maumbile ya siri na muumba wake kaamua kwenda kuongeza anavotaka yeye, kapewa kifua na misuli mizuri kaamua kupaka poda aonekane kama John Cena

UAMINIFU
Mwanamke
Ni mtu ambae anaongozwa na hisia saa yoyote anabadilika ni kama mfano wa upepo haeleweki anavumia upande upi kiufupi sio mwaminifu
Mwanaume
Asilimia kubwa ya wanaume ni waaminifu

MAVAZI
Mwanamke
Asilimia kubwa kwa sasa wanawake ndio wanaongoza kwa kuvaa mavazi ambayo ni ya aibu na hayana mfano wadada wacheza chura, wanapiga picha wakiwa nusu uchi wengine uchi kabisaa

Mwanaume
Asilimia kubwa wanaume wanavaa vuzuri na kiheshima hawapigi picha wakiwa uchi ni mara chache sana kukuta mwanaume kapiga picha akiwa uchi

MTINDO WA MAISHA
Wanawake
Wengi wanafake maisha hawaishi kwenye uhalisia wenyewe anataka amiliki Iphone 13pro na hana hela ya vocha, atataka aonekane anakula vyakula vya bei ghali wakati kwao kipato hakiruhusu

Mwanaume
Wengi wana ishi katika uhalisia

Nimalizie hapo kama utakuwa na wazo lolote la kumtetea mwanamke shusha fact yako na sio kujibu kwa mihemko
Ahsante🙏
 
Kwa hio ukimuonaga mama yako,dada zako, Bibi yako unawaona wao Ni wa motoni tu mkuu?
Kama na wao ni wanawake au wasichana jibu ni ndio hapo.

Unataka awe mnafiki kwakua umeongelea damu yake, ikija swala la kusema ukweli tuweke undugu pembeni.
Haijalishi ni Mama au ni Bibi kama ni nyoka ni nyoka tu.

Msema kweli hapewi laana.
 
Kama na wao ni wanawake au wasichana jibu ni ndio hapo.

Unataka awe mnafiki kwakua umeongelea damu yake, ikija swala la kusema ukweli tuweke undugu pembeni.
Haijalishi ni Mama au ni Bibi kama ni nyoka ni nyoka tu.

Msema kweli hapewi laana.
Hii dini ya mnyazi hakika Ni tabu Sana.
 
Nimejaribu kuwaza sana mpaka nimefikia kusema hivyo bhasi nina uthibitisho kuhusiana nahili
Mwanamke vs mwaume
Tuanze na,
MAUMBILE
Mwanamke
Kaumbwa na viungo vyote lakini hajaridhika, kapewa kope anaona hazitoshi kaamua kuongeza za kwake za bandia aonekane mzuri, kapewa nywele asilia na za kuvutia ila kaona ni mbaya kaamua kusuka rasta awe kama mzungu, kapewa kucha kaamua kuweka za kwake ziwe ndefu zaidi kama nsyuka matokeo yake anashindwa kula kwa mkono na kushika vitu baadhi, kapewa umbile zuri kaamua kuongeza kwa kufanya plastic surgery, kapewa rangi nzuri kaamua kwenda kununua uweupe na make up juu avutie kama mzungu, kapewa hips nzuri kaamua aongeze za kwake anazozipenda, kapewa cha kukalia kizuri kaamua aongeze kalio awe anakaa juu juu

Mwanaume
Kapewa maumbile ya siri na muumba wake kaamua kwenda kuongeza anavotaka yeye, kapewa kifua na misuli mizuri kaamua kupaka poda aonekane kama John Cena

UAMINIFU
Mwanamke
Ni mtu ambae anaongozwa na hisia saa yoyote anabadilika ni kama mfano wa upepo haeleweki anavumia upande upi kiufupi sio mwaminifu
Mwanaume
Asilimia kubwa ya wanaume ni waaminifu

MAVAZI
Mwanamke
Asilimia kubwa kwa sasa wanawake ndio wanaongoza kwa kuvaa mavazi ambayo ni ya aibu na hayana mfano wadada wacheza chura, wanapiga picha wakiwa nusu uchi wengine uchi kabisaa

Mwanaume
Asilimia kubwa wanaume wanavaa vuzuri na kiheshima hawapigi picha wakiwa uchi ni mara chache sana kukuta mwanaume kapiga picha akiwa uchi

MTINDO WA MAISHA
Wanawake
Wengi wanafake maisha hawaishi kwenye uhalisia wenyewe anataka amiliki Iphone 13pro na hana hela ya vocha, atataka aonekane anakula vyakula vya bei ghali wakati kwao kipato hakiruhusu

Mwanaume
Wengi wana ishi katika uhalisia

Nimalizie hapo kama utakuwa na wazo lolote la kumtetea mwanamke shusha fact yako na sio kujibu kwa mihemko
Ahsante[emoji120]
Screenshot_20211221-055001.jpg
 
Kwa hio ukimuonaga mama yako,dada zako, Bibi yako unawaona wao Ni wa motoni tu mkuu?
Ndio akili ilipo ishia hapo kuwaza sindio haiko hivo ila hapa nimehukumu wanawqke wote ningemtoa hao unaosema ww ningeonekana mbaguzi ndiyo maana nikasema ivo we amini unavoamini sijakulazimisha kuamini
 
Back
Top Bottom