Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

[emoji848][emoji848][emoji28] true saying
 
Umeshaambiwa mwanamke Yuko complexity, Mwanamke Hawezi kumpenda mwanaume ambaye anampa authority ya kumtawala never, mahusiano yenu lazima yataishia njiani tu otherwise as a man ukubali kuishi ktk mateso ya kuonekana mwanaume bwege
 
Sijui alikujibu Nini !? Ila Wanawake the way walivyo ktk maisha Yao ni viumbe ambavyo vinapenda kuishi Kwa wasi wasi , Yaani hupaswi kumfanya aweze kukutabiria kesho Yako kuanzia mahusiano mpaka maisha Yako yote yalivyo
 
[emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wanawake wote wapo hivyo , usimsikilize ana bisha tu Kwa kuwa ana ego ya kuto onekana dhaifu .. but hakuna mwanamke asiye penda tension
 
Asilimia 90 Wana dress to impress hata kama pia sio mkali katk hiyo sekta lakini lazima awe na hiyo Hali ya kutaka tension, Amini kwamba
 
Eti Kuna wanao kataa ajabu sana [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mada ni Pana sana haijalenga kwenye mavazi tu pekee , kama ume muelewa muandishi vyema na huo ndio ukweli

Kuna wengine wanatumia sauti , and the likes
 
Ndivyo walivyo; wachache wanaweza kubadilika, waliobaki watakuwa hivyo siku zote.
Hawajawahi kubadilika wako hivyo always trust me. Nime shakutana na mpaka wa mama watu wazima wakiwa Wana lalamika kuwa watu wao (wanaume ) Wana watesa

Mwanamke usimpe tension sana Alisha kuwa wako , kama utampa tension mpe pale unapo hitaji kumla na hilo liendane na respond positive utakayo kuwa unaiona toka kwake akionyesha 0 respond kausha , Huwa Ina mtesa sana
 
Wanawake wote wapo hivyo , usimsikilize ana bisha tu Kwa kuwa ana ego ya kuto onekana dhaifu .. but hakuna mwanamke asiye penda tension
Wanaume wa Jf ninwatu wa ajabu sana asee, wanaukataa ukweli pengine wapo radhi kusaliti jinsia zao ili tu wapendwe na Wanawake 😅
They're so Blunt and stupid
 
Ahsante kwa kunikumbusha. Nilisahau wapi nilimuona huyu kumbe ilikua kwenye muvi hiii. Thanks pal kwa hili
 
🤣 🤣 what? Why do u like being sad? Kuna ile thread yako unapost sad quotes. Can u pls smile more for no reason 🤣
I love pain coz pain does remind me that the Joy you gave me was real
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…