Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unaona uko sahihi mimi sina tatizo na muono wako huo mkuu maadamu haubadilishi uhalisia wowote ule.Naona Tone ya uandishi wenu unafanana. And hopefully I'm not wrong
Trust me kila mwanamke husema hivyo karibia %yote ya wanawake hua hawavai nguo ajili yao. Either kuwatambia mashosti au ili kuwapagawisha wanawake.Aiseee kwa hiyo mi najiremba ili kupata attention toka kwa wanaume!!!!![emoji16]
Binafsi napenda kujiremba sijawahi waza nijirembe ili nipate attention lkn i know i have to keep smart myself yani jipende ww mwenyewe kwanza,
Trust me mate all women are attention seeker ndio maana mara nyingi humjali yule mwanaume anayewapa muda wake.Kuhusu kutokuitwa au kupigiwa miluzi mi sizingatii ata wamepiga au hawajapiga yan hio mm hainihusu wala kunipa maswali labda km hawajapiga it's not my concern, All in all kupata attention toka kwa mtu unayempenda ni muhimu sana nadhani tumeumbwa hivyo .
si ndio hapoUko sahihi mzee ila hili linaendaga na level of confidence ya wanawake tofauti. Kuna ambao wako so confident hawa hawaitaji approval yeye akivaa vizuri akapendeza anaji feel freshi tu the only attention she needs ni toka kwa mwanaume anaevutiwa nae
Its simple when u r not conplicating thingsNiambie plan b yako hafu nami nikwambie jinsi ya kuiBlock😉
Well, life is not that simple, we try yo make it simple by living it
Ninajiharibia eeh... na inaniumiza kweli kweli basi to I can't swallow my pride and Egosi ndio hapo
naona thread ina mada mbili
ila hii care then don’t care ataumia siku moja 😅😅😅😅😅
Ukisema Kwamba usicomplicate mambo ili uone dunia ni simple kuiishi means that kuna mambo magumu umepretend Kwamba hayapo but they're still out there -Existingits simple when u r not conplicating things …..
Uliyoyaandika hayana uhalisia kwangu!
Nyie ndio wale wanawake wa " nakuja ghetto lkn hatutafanya chochote" maneno yenu hayaendani na matendo mliyokusudia.Aiseee kwa hiyo mi najiremba ili kupata attention toka kwa wanaume!!!!![emoji16]
Binafsi napenda kujiremba sijawahi waza nijirembe ili nipate attention lkn i know i have to keep smart myself yani jipende ww mwenyewe kwanza,
Kuhusu kutokuitwa au kupigiwa miluzi mi sizingatii ata wamepiga au hawajapiga yan hio mm hainihusu wala kunipa maswali labda km hawajapiga it's not my concern, All in all kupata attention toka kwa mtu unayempenda ni muhimu sana nadhani tumeumbwa hivyo .
Tumchukulie kama vile nini malizia mkuu?mchukulie kama vile ..
Usikariri maisha!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sie tunaojielewa hatuvai kupendeza ili tushindane na wanawake wenzetu , pia kuvutia wanaume is not the main issue,ukijua kuwa unatakiwa kujipenda basi utahakikisha unavaa vizuri unapendeza you look smart and clean that's all,siwezi mm kukaa rough eti kisa nikipendeza ntaonekana nataka kuwa impress wanaume No never!Aiseee ktk umri huu hapana hizo sababu zako zipo lkn we are not the same(women).Nyie ndio wale wanawake wa " nakuja ghetto lkn hatutafanya chochote" maneno yenu hayaendani na matendo mliyokusudia.
Hakuna mwanamke asiyependa attention, hasa ya wanaume. Mwanamke anajiremba kwa sababu kubwa mbili;
1. Kushindana na wanawake wenzie, na
2. Kupata attention ya wanaume, wengine wana force kwa kutafuta sababu ya kuinama au kunyoosha mikono juu wakizuga wanaseti nywele kumbe wanataka kuonesha matiti.
Sa hivi ndio nimemuelewa yule aliyesema umeanzisha mada ndani ya mada hapa,naona kabisaaaaaa kuna mada zaidi ya moja ktk hii thread yako sasa sijui km tutaelewana,Trust me kila mwanamke husema hivyo karibia %yote ya wanawake hua hawavai nguo ajili yao. Either kuwatambia mashosti au ili kuwapagawisha wanawake.
Hebu nikuulize, unadhani ni kwanini wadada wanapiga picha wamebinua makalio, naaimini nawe unazo picha za hivyo. Unadhani wanaume hatujui kua mna makalio?? Kwanini wadada hufanya hivyo hasa?? Kwanini hupenda kuweka viungo vyao sensitive wazi unadhani wanafanya ajili yao??
Trust me mate all women are attention seeker ndio maana mara nyingi humjali yule mwanaume anayewapa muda wake.
Kuna wengine wanawake wakivaa nguo nzuri watu fulani wasipowaona basi wanajisikia vibaya. Ipo hivyo bibie
Kaangalie documentary za sex life of lions au soma article kama hzHahah mkuu ebu weka dondoo kadhaa hapa kuhusu how ulielewa saikolojia zao hawa watu.
Well, moja ya indicator Kwamba Wanawake wanatamani authority aliyonayo Mwanaume hua wanasema"Ningekua mwanaume ningefanya hivi na hivi" but Sijawahi kusikia Mwanaume akisema anatamani kua mwanamkeKama unaona uko sahihi mimi sina tatizo na muono wako huo mkuu maadamu haubadilishi uhalisia wowote ule.