DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mama yako ananguvu za upande wa pili...Huwa nikimshirijisha mama Jambo lazima lifeli[emoji35]
Imo nguvu katika kauli, mawazo ya haki ya mwanamkeCheo Cha usaidizi hawakupewa bure na Mungu walipewa na uwezo ndani yao...
Wasikilizwe...
NB: Ila sio wote...
Hakuna ulazima huoMama yako ananguvu za upande wa pili...
Tunaita za giza...
ongeza ongeza vimaelezo kidogo mkuu..Huwa nikimshirijisha mama Jambo lazima lifeli😡
😎😎😎🤐Huwa nikimshirijisha mama Jambo lazima lifeli😡
Baada ya kufahamu kuwa nikimshirisha nafeli, nilipowcha nimekuwa nafqnikiwa.Mama yako ananguvu za upande wa pili...
Tunaita za giza...
Rejea Post namba 9ongeza ongeza vimaelezo kidogo mkuu..
💯Wanawake wapo na Intuition power kubwa Sana hivyo akikuambia jambo ebu nenda ulitafakari kwa umakini Sana.
Wanawake huwa wanazilewa Sana sauti za ndani kuliko hata sisi wanaume hivyo akikuambia Jambo litafakari kiundani .
Mfano Mama yako akikuambia Mwanangu fanya hivi naona utafika sehemu fulani basi amini hilo Jambo.
Nb: kutokana na changamoto za Maisha ya udangaji na Uzinzi hii Intuition power huwa inapotea so usitegemee kuipata kwa Mtu ambaye ameshachafuka Sana huko utapotea.
Hii kitu nilishaiskia mahaliHuwa nikimshirijisha mama Jambo lazima lifeli[emoji35]
😆😆😆 Unaambiwa huyu hamna kitu hatoboiHuwa nikimshirijisha mama Jambo lazima lifeli😡
Huwa nikimshirijisha mama Jambo lazima lifeli[emoji35]
Aikoooh!Baada ya kufahamu kuwa nikimshirisha nafeli, nilipowcha nimekuwa nafqnikiwa.
Alafu Ana tabia ya kunikatisha tamaa.
Utasikia:
"..unadhani utaweza?"
"..unadhani itawezekana?"
"..hapo unapoteza muda tu"
"..unajisumbua tu"
Adui wa mtu ni wa nyumbani mwake...Baada ya kufahamu kuwa nikimshirisha nafeli, nilipowcha nimekuwa nafqnikiwa.
Alafu Ana tabia ya kunikatisha tamaa.
Utasikia:
"..unadhani utaweza?"
"..unadhani itawezekana?"
"..hapo unapoteza muda tu"
"..unajisumbua tu"
Inaumiza sana hii hali wanawakeShida ya wanaume wengine ni wajuaji mno adi wanaharibu mambo na hawashauriki
Ukute sasa mwanamke una hiyo nguvu ndani yako ya kuona mambo basi unabaki kumcheki tu!
Baada ya kufahamu kuwa nikimshirisha nafeli, nilipowcha nimekuwa nafqnikiwa.
Alafu Ana tabia ya kunikatisha tamaa.
Utasikia:
"..unadhani utaweza?"
"..unadhani itawezekana?"
"..hapo unapoteza muda tu"
"..unajisumbua tu"