Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Mwanamke hasikilizwi bali anapuuzwa kinamna bila yeye kujua . Sasa nyie jidanganyeni.Cheo Cha usaidizi hawakupewa bure na Mungu walipewa na uwezo ndani yao...
Wasikilizwe...
NB: Ila sio wote...
Pole sana, hawa mama zetu hawana Siri, na huwa wanafanya hivyo si Kwa nia mbaya, ni harakati za kujitapa aonekane mama Bora, watoto wana success....kumbe anavuta negative energy.Umesema ukweli wamama hawana siri mpk unaogopa kumwambia yaani mimi siwezi kumueleza jambo langu la msingi ambalo sitaki wengine walifahamu mpk pale litakapo kamilika
Nimewahi kumdokeza tu kuna mtu nimempata ila sina uhakika nae akaenda kuwaambia ndugu zake ndugu zake Nao wakasambaza nikaanza kupigiwa simu za kuulizwa mpk nikaona aibu namuuliza kwanini ulisema ananikazia et kwani kuna ubaya gani
Na mchumba nikakosa
Sio mbaya walau ukifika 27/28. Miaka 23 mtu aoe jamani, labda huko vijijini.Tatizo nyonyo zanizuzua sijui kama nitatoboa 30
Nakaa Vijijini mkuu. Nitafutie pisikali huko uliko nioe mjini namieSio mbaya walau ukifika 27/28. Miaka 23 mtu aoe jamani, labda huko vijijini.
Pole sana, hawa mama zetu hawana Siri, na huwa wanafanya hivyo si Kwa nia mbaya, ni harakati za kujitapa aonekane mama Bora, watoto wana success....kumbe anavuta negative energy.
Wanaosimuliwa wanakuwa na husda, vijicho, wengine wachawi wanaroga kabisa ndo unakuta mambo hayawi.
ACHANA NA MAZA,Huwa nikimshirikisha mama Jambo lazima lifeli[emoji35]