Mwanamke akikuambia jambo litafakari kwa umakini sana

Mwanamke akikuambia jambo litafakari kwa umakini sana

Usisikilize ramli chonganishi, mara nyingine mama zetu hawana vifua, unamshirikisha Jambo na yeye chap anashirikisha marafiki zake, wajomba, majirani huko ndio anaatract negative energy bila yeye kujua.

Mimi nikimshirikisha Jambo langu mama namwambia kabisa usiwaambie wengine, wasije kuleta husda tukafeli.

Halafu wakati mwingine na wewe Jikaze, usimwambie yoyote Jambo lako, hata mama, Kama Una pesa kidogo mpe huku ukitia nia Ile pesa unayompa ilete baraka kwako.

Umesema ukweli wamama hawana siri mpk unaogopa kumwambia yaani mimi siwezi kumueleza jambo langu la msingi ambalo sitaki wengine walifahamu mpk pale litakapo kamilika

Nimewahi kumdokeza tu kuna mtu nimempata ila sina uhakika nae akaenda kuwaambia ndugu zake ndugu zake Nao wakasambaza nikaanza kupigiwa simu za kuulizwa mpk nikaona aibu namuuliza kwanini ulisema ananikazia et kwani kuna ubaya gani

Na mchumba nikakosa
 
Baada ya kufahamu kuwa nikimshirisha nafeli, nilipowcha nimekuwa nafqnikiwa.

Alafu Ana tabia ya kunikatisha tamaa.
Utasikia:

"..unadhani utaweza?"
"..unadhani itawezekana?"
"..hapo unapoteza muda tu"
"..unajisumbua tu"

Hata Kuna siku alinikuta nikiotesha maua akasema "unadha yataota? Hayawezi kuota. Niliyamwagikia miezi 3 hayakuota"
Labda si Mama yako Mzazi halisi, Mama zetu Wana siri nyingi sana.
 
Baada ya kufahamu kuwa nikimshirisha nafeli, nilipowcha nimekuwa nafqnikiwa.

Alafu Ana tabia ya kunikatisha tamaa.
Utasikia:

"..unadhani utaweza?"
"..unadhani itawezekana?"
"..hapo unapoteza muda tu"
"..unajisumbua tu"

Hata Kuna siku alinikuta nikiotesha maua akasema "unadha yataota? Hayawezi kuota. Niliyamwagikia miezi 3 hayakuota"
Duh!Sina la kusema
 
Umesema ukweli wamama hawana siri mpk unaogopa kumwambia yaani mimi siwezi kumueleza jambo langu la msingi ambalo sitaki wengine walifahamu mpk pale litakapo kamilika

Nimewahi kumdokeza tu kuna mtu nimempata ila sina uhakika nae akaenda kuwaambia ndugu zake ndugu zake Nao wakasambaza nikaanza kupigiwa simu za kuulizwa mpk nikaona aibu namuuliza kwanini ulisema ananikazia et kwani kuna ubaya gani

Na mchumba nikakosa
Mama alikuwa excited tu!asamehewe
 
Mama alikuwa excited tu!asamehewe

Hahah ndivyo alivyo yaani yeye ni mweupe wa kusema mambo yake kwa wengine

Ni mengi tu…. Juzi hapa ndio kaniacha hoi nimemwambia jambo et kanijibu na watoto wangu msivyopenda mambo yenu niwashirikishe wengine sijui itakuwaje nitakufa nalo moyoni nimemcheka sana

Ni kamwambia tu hatukatai wewe kushare na wengine ila subiri jambo liwe na uhakika kwanza[emoji23] aliongea kinyonge sana mpk nikamuonea huruma umbea unakaba koho sisi wanawake
 
Hahah ndivyo alivyo yaani yeye ni mweupe wa kusema mambo yake kwa wengine

Ni mengi tu…. Juzi hapa ndio kaniacha hoi nimemwambia jambo et kanijibu na watoto wangu msivyopenda mambo yenu niwashirikishe wengine sijui itakuwaje nitakufa nalo moyoni nimemcheka sana

Ni kamwambia tu hatukatai wewe kushare na wengine ila subiri jambo liwe na uhakika kwanza[emoji23] aliongea kinyonge sana mpk nikamuonea huruma umbea unakaba koho sisi wanawake
🤣🤣🤣🤣Unampa bi mkubwa wakati mgumu bwana,uwe unasubiri jambo liwe matured ndio umwambie japo najua lazima atamind Kwa Nini muda wote wa mchakato hujamwambia!!!nakuelewa vizuri sana kuhusu Hawa kina mama yaani
 
Wanawake wapo na Intuition power kubwa Sana hivyo akikuambia jambo ebu nenda ulitafakari kwa umakini Sana.

Wanawake huwa wanazilewa Sana sauti za ndani kuliko hata sisi wanaume hivyo akikuambia Jambo litafakari kiundani .

Mfano Mama yako akikuambia Mwanangu fanya hivi naona utafika sehemu fulani basi amini hilo Jambo.

Nb: kutokana na changamoto za Maisha ya udangaji na Uzinzi hii Intuition power huwa inapotea so usitegemee kuipata kwa Mtu ambaye ameshachafuka Sana huko utapotea.
Unamwona mwenye mmbo mengi Kisha utafakari jambo lake hapa utalia😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unampa bi mkubwa wakati mgumu bwana,uwe unasubiri jambo liwe matured ndio umwambie japo najua lazima atamind Kwa Nini muda wote wa mchakato hujamwambia!!!nakuelewa vizuri sana kuhusu Hawa kina mama yaani

Ndio Kama la juzi kanichamba et kwanini nimemficha anasahau kwamba friji lake haligandishi [emoji23][emoji23]
 
Wanawake wapo na Intuition power kubwa Sana hivyo akikuambia jambo ebu nenda ulitafakari kwa umakini Sana.

Wanawake huwa wanazilewa Sana sauti za ndani kuliko hata sisi wanaume hivyo akikuambia Jambo litafakari kiundani .

Mfano Mama yako akikuambia Mwanangu fanya hivi naona utafika sehemu fulani basi amini hilo Jambo.

Nb: kutokana na changamoto za Maisha ya udangaji na Uzinzi hii Intuition power huwa inapotea so usitegemee kuipata kwa Mtu ambaye ameshachafuka Sana huko utapotea.
Sentensi ya mwisho ndo yenye uzito.... Nje na mama mzazi haya ya mitaani eti tunayo zini nayo ni Makhafiri ya kufa mtu hayawezi kua na kauli yenye maana haya
 
Hivi bado Tu mnaamini haya Mambo ya Baraka na Laana kutoka kwa Wazazi ??

Lazima tuwe Serious kidogo Wazazi nao ni Wanadamu tu kama sisi kinachowapa Cheo ni ile hali tu ya Kutumika kam chombo cha sisi kuletwa Duniani,

Ukitoa hiyo reason hakuna Nguvu nyngne yoyote ya Kiroho waliyonayo ili kubariki au kulaani mtu kitu pekee tunachohitaji kuwapa ni Heshima tu kwani wao Ni Damu moja na sisi au kwa Lugha nyngne Nishati moja na sisi,

Hayo mambo ya kusema Kwamba mzazi ni mungu wa pili ni maneno tu ya wapuuzi waliondika kupotosha watu,

maan walijua Wazazi ndo Hulea na kuongoza watoto hivyo kama wasingepewa mamlaka fulani Feki hawa wazazi katka hivi vitabu vyetu(Biblia na quran) basi inaweza kupelekea Watoto kutofata matakwa ya wazazi wao ikiwemo Kufata Dini za wazazi wao kilazima na bila kuhoji chochote kutoka kwa mzazi,

NB: Uchapakazi, Malengo na Kujua siri za utajiri ndo Kunaleta mafanikio ya Mtu na sio Baraka za mzazi wala mtu mwingine yoyote "You are The God of Your own World"
 
Baada ya kufahamu kuwa nikimshirisha nafeli, nilipowcha nimekuwa nafqnikiwa.

Alafu Ana tabia ya kunikatisha tamaa.
Utasikia:

"..unadhani utaweza?"
"..unadhani itawezekana?"
"..hapo unapoteza muda tu"
"..unajisumbua tu"

Hata Kuna siku alinikuta nikiotesha maua akasema "unadha yataota? Hayawezi kuota. Niliyamwagikia miezi 3 hayakuota"
muombee pia imeandikwa waheshimu baba yako na mama yako.
 
Mh,nakataa
Unakuta akiwa na utulivu unampanga kabisa na anakubali na anaona kabisa umempa points ila sasa ikifika utekelezaji anageuka alafu baadae anagundua alikosea anasema atafata ushauri ila hafati!
Anakua in a same cycle all day every day!
Mkalishe chini akiwa ametulia kiakili akiwa na furaha zake na akiwa hana tarajio la kukamilisha chochote , muoneshe pattern ya yaliyoharibika labda itampa wasaa wa kutafakari na kusahihisha, ushauri si mzuri kutolewa muda mtu akiwa desperate, most likely asiweze kuupokea na kuufanyia kazi.

Kila la heri mam.
 
Wanawake wapo na Intuition power kubwa Sana hivyo akikuambia jambo ebu nenda ulitafakari kwa umakini Sana.

Wanawake huwa wanazilewa Sana sauti za ndani kuliko hata sisi wanaume hivyo akikuambia Jambo litafakari kiundani .

Mfano Mama yako akikuambia Mwanangu fanya hivi naona utafika sehemu fulani basi amini hilo Jambo.

Nb: kutokana na changamoto za Maisha ya udangaji na Uzinzi hii Intuition power huwa inapotea so usitegemee kuipata kwa Mtu ambaye ameshachafuka Sana huko utapotea.
Uongo. Kinyume chake ndio ukweli. Wanaume tuna intuitive power kubwa kuliko wanawake for ur information. Wanawake wanawaza kwa hisia. Kama kuwaza kwa hisia ndio intuition power kwako basi ur right lakini kiuhalisia wanawake wapo na very low intuitive powers. Kwanza they are poor judge of characters. Wewe mkeo hajawahi kukuhisi unatembea na mfanyakazi au jirani wakati wewe unajua sio kweli? Wanawake wengi huwaga wanawahisi waume zao wanatembea na binti zao kwa sababu ya huo huo upuuzi wa kuwaza kwa hisia.

Wanawake wangekuwa na intuitive powers kubwa kama unavyo taka kuaminisha watu hata tatizo la single mothers lisingekuwepo coz wangemtambua yupi baba na yupi so baba kwa kutumia nguvu ya intuition.
 
Reader be aware: Wanawake kwa kujijua tuna hiyo power mara nyingi baadhi yetu wamekuwa wakiimisuse, au kuitumia kwa faida yao wenyewe.

Kwahiyo katika hili tembea na akili yako kila sehemu (kama unayo lakini) na upime nia ya mtu katika kila analosema.
 
Back
Top Bottom