Mwanamke akikuambia jambo litafakari kwa umakini sana

Mwanamke akikuambia jambo litafakari kwa umakini sana

Hii ni kweli, nilishawahi kusikia sauti ikiniambia kuwa boyfriend wako ana mwanamke zaidi ya mara tatu ila nikawa na ignore baadae ndio nikaja kufahamu na kuthibitisha baada ya kwenda kwake bila taarifa. Kumbe alikuwa akiishi na mwanamke for almost 5 years na mimi alikuwa ananipeleka hapo hapo kwake aisee.
 
Mh,nakataa
Unakuta akiwa na utulivu unampanga kabisa na anakubali na anaona kabisa umempa points ila sasa ikifika utekelezaji anageuka alafu baadae anagundua alikosea anasema atafata ushauri ila hafati!
Anakua in a same cycle all day every day!
Sio kila kitu mwanaume anachokubaliana nawe na kuitikia basi amekiafiki au atakitekeleza, kuna wakati mwingine tunawaitikia hili tu kuepusha maneno,
 
Hii ni kweli, nilishawahi kusikia sauti ikiniambia kuwa boyfriend wako ana mwanamke zaidi ya mara tatu ila nikawa na ignore baadae ndio nikaja kufahamu na kuthibitisha baada ya kwenda kwake bila taarifa. Kumbe alikuwa akiishi na mwanamke for almost 5 years na mimi alikuwa ananipeleka hapo hapo kwake aisee.
Mmmh alikuwa anakutombea palepale? jamaa ni tatizo sana
 
Sio kila kitu mwanaume anachokubaliana nawe na kuitikia basi amekiafiki au atakitekeleza, kuna wakati mwingine tunawaitikia hili tu kuepusha maneno,
Sijakataa ila sasa basi unachoamua kilete matunda chanya
Ila sasa kama unachoamua wewe kinaleta maumivu je?
Shida yenu wanaume sometimes mnatumia nguvu kubwa kuprove uanaume wenu adi mnaharibu
 
Wanawake wapo na Intuition power kubwa Sana hivyo akikuambia jambo ebu nenda ulitafakari kwa umakini Sana.

Wanawake huwa wanazilewa Sana sauti za ndani kuliko hata sisi wanaume hivyo akikuambia Jambo litafakari kiundani .

Mfano Mama yako akikuambia Mwanangu fanya hivi naona utafika sehemu fulani basi amini hilo Jambo.

Nb: kutokana na changamoto za Maisha ya udangaji na Uzinzi hii Intuition power huwa inapotea so usitegemee kuipata kwa Mtu ambaye ameshachafuka Sana huko utapotea.
Hii kitu hata Kwa hao wazinzi na wadangaji sio km haipo
Ila ni ubishi tu ....

Mungu ndo ametuwekea hii kitu
 
Huyu wako yupo tofauti mkuu, tunaambiwaga mafanikio ya mwanaume nyuma yake kuna mwanamke kwako imekuaje boss

Kama ni ndoa mvumilie ila usimshirikishe tena mambo yako, kama ni mchumba tu achana nae.. Maana unawezajefanikiwa ukiwa na mtu ana mitazamo hasi
Manaake huyo wake hajakaa kwenye nafasi yake
Mwanamke akijitambua na kukaa kwenye nafasi yake ndo utaelewa hiki anachosema mtoa mada,and vice versa is true
 
Baada ya kufahamu kuwa nikimshirisha nafeli, nilipowcha nimekuwa nafqnikiwa.

Alafu Ana tabia ya kunikatisha tamaa.
Utasikia:

"..unadhani utaweza?"
"..unadhani itawezekana?"
"..hapo unapoteza muda tu"
"..unajisumbua tu"

Hata Kuna siku alinikuta nikiotesha maua akasema "unadha yataota? Hayawezi kuota. Niliyamwagikia miezi 3 hayakuota"
Makubwa
Ana roho ya kuua vitu ndani yake
Duh,pole
Ila ss we unatakiwa akisema jambo likanushe hapohapo
 
Baada ya kufahamu kuwa nikimshirisha nafeli, nilipowcha nimekuwa nafqnikiwa.

Alafu Ana tabia ya kunikatisha tamaa.
Utasikia:

"..unadhani utaweza?"
"..unadhani itawezekana?"
"..hapo unapoteza muda tu"
"..unajisumbua tu"

Hata Kuna siku alinikuta nikiotesha maua akasema "unadha yataota? Hayawezi kuota. Niliyamwagikia miezi 3 hayakuota"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wamama mladi tu akukosoee
 
Aikoooh!
Huyu ni mama yako mzazi? hizi ni dalili kuu za ushirikina ndani yake

Wala sio mshirikina ni namna tu alivyo havihusiani sema yeye amelinganisha tu

Wamama wengi wapo hivo wana kadharau fulani hivi hasa kama wewe ni lastborn yaani ana kudogodeshaa
 
Hii ni kweli, nilishawahi kusikia sauti ikiniambia kuwa boyfriend wako ana mwanamke zaidi ya mara tatu ila nikawa na ignore baadae ndio nikaja kufahamu na kuthibitisha baada ya kwenda kwake bila taarifa. Kumbe alikuwa akiishi na mwanamke for almost 5 years na mimi alikuwa ananipeleka hapo hapo kwake aisee.
Wanaume kweli ni mbwa.
 
Mi nilitafuta adu zangu niwajue, nikawa naomba Mungu anipe macho nione..

Nilipokuja kuwaona ni wa karibu sana, Tena mzazi wangu na mama yangu ndio adui yangu...

Aisee... Inauma hii kitu jamani...

Naona Kila kitu jamani naonaaa ..

YESU Asante...umenionyesha makubwa na magumu nisiyojua...

Mmmh mzazi wako anakufanyaje sasa mpk anakuwa adui wako au munapishana tu
 
Hii dhamira ya ndani wote me na ke wanayo, inatengenezwa na jinsi mtu anavyolelewa na mapokeo yake kulingana na mapito tofauti tofauti....

Dhamira inaweza kupatia au kukosea iwe kwa me au ke, haitabiriki....

Hii dhana ya kwamba dhamira za ke ziko sahihi zaidi sio kweli, imefanywa kisingizio tu kwasababu wanawake wanapenda kusikilizwa.
 
Usisikilize ramli chonganishi, mara nyingine mama zetu hawana vifua, unamshirikisha Jambo na yeye chap anashirikisha marafiki zake, wajomba, majirani huko ndio anaatract negative energy bila yeye kujua.

Mimi nikimshirikisha Jambo langu mama namwambia kabisa usiwaambie wengine, wasije kuleta husda tukafeli.

Halafu wakati mwingine na wewe Jikaze, usimwambie yoyote Jambo lako, hata mama, Kama Una pesa kidogo mpe huku ukitia nia Ile pesa unayompa ilete baraka kwako.

Umesema ukweli wamama hawana siri mpk unaogopa kumwambia yaani mimi siwezi kumueleza jambo langu la msingi ambalo sitaki wengine walifahamu mpk pale litakapo kamilika

Nimewahi kumdokeza tu kuna mtu nimempata ila sina uhakika nae akaenda kuwaambia ndugu zake ndugu zake Nao wakasambaza nikaanza kupigiwa simu za kuulizwa mpk nikaona aibu namuuliza kwanini ulisema ananikazia et kwani kuna ubaya gani

Na mchumba nikakosa
 
Back
Top Bottom