Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Nawafanyaga hvo hvo wakinipigiaga....
Wanawake wengne wajnga sana...
 
acheni uoga ukihonga kama mwanasiasa. ndio unapata heshima
 
Nawafanyaga hvo hvo wakinipigiaga....
Wanawake wengne wajnga sana...

Hata usipomhudumia kutokana na sababu mbalimbali, anakupaka kabisa, anakwambia your not worth man, stupid man una akili fupi!
 

Binamu upo?
 


Kaz kwenu!!!!!!!
 

Proffesor anasema ... sio ATM
 
Wanawake bwana..!
..mtu ana kipato kizuri lakini kila kukicha ni kama ombaomba..!
 
wanakimbia majukumu yao hao wamwambie Mungu aweke mabadiliko, sie tuwe kama wao
ili waone tutakayotoa hela na wala hatunaga ubahili kama wao



cc Asprin , Excel KakaKiiza

Mke mwema anatambulika mapema sana...

Hawa wanaoanza kwa mizinga ya kumi kumi mpaka laki kila siku ndo wanaokuja kuwa wezi wakubwa sana wa pesa za waume zao kwenye ndoa.....

Kuna situation inafika, mwanamke akikuomba pesa, unaitoa mwenyewe kwa moyo mmoja, hapo ujue kuna critic reason..

Sio kila time unaomba pesa kwa sababu zisizo na ubongo!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…