Mwanamke akikupenda raha, pamoja na kumcheat kaninunulia perfume ya 170,000/=

Ila kuna wanawake na wanawake na nusu aisee[emoji1487]yan mim tukio moja tu nakupiga matukio kama mia na nakuacha dadeki staki utani...nitreat vizur i give yu heaven ukimessup mazee nakupatia hell sipunguzi siongezi [emoji28]unapata unachostahili
Issue za picha na treatment zinahusiana vipi hapo, isitoshe ni kiherehere cha demu kukagua text za jamaa.
 
Mkuu sio kila Zawadi ni ya kufurahia,
Jitafakari kwann perfume?
Kwann isiwe shati au suruali?
Zipo sababu kuu 2.

1--Pengine harufu hiyo kaikuta kwa mchepuko wake na kaipenda harufu kaamua nawewe unukie kama huyo mchepuko.

2-- harufu yako ya mwili/majasho ya kwapa haimpendezi..


So jambo la.kufurahia MKUU,, ni msiba mkubwa huo
 
Wanaume wa dar kwa mikono milaini hamjambo,,kimkono kilaiiinii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…