Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
🤣🤣🤣Ameondoa chogo umekua na chogo la kipemba linapaa juu😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Ameondoa chogo umekua na chogo la kipemba linapaa juu😄
Kwa mwanamke ni kawaida sana.Me nikiachika bado nalia
Nalia nikinyamaza nampa block kila kona
Nikipoa
Naanza muona kama trash 💃
Unataka nilie lie hovyo?ndo ukuaji gani huo? Wewe endelea kuwapa ushujaa wanawake siku uumie moyoMkikua wewe na mleta uzi mtaacha😅😅
Kiasi flani umeonyesha unajali ndio maana unaliaga...hapa✅
Mwanamke anapaswa kulia na kusaga meno pindi anapoachikaUnalia ya nini kwani anakua kaondoka na password yako ya bank?
Nitakuchapa ujue
😂😂😂 unanijua vizuri kabisa,, hapa wacha tuchangamshe strangersUnalia ya nini kwani anakua kaondoka na password yako ya bank?
Nitakuchapa ujue
Unasoma ukiwa kwenye chumba chenye joto kali?soma vizuri utanielewaBila shaka hata wewe inaonekana unateseka na mapenzi, umeandika uzi mrefu mpaka nimeshindwa kumalizia kusoma
We are here long before you,long after you😂😂😂 unanijua vizuri kabisa,, hapa wacha tuchangamshe strangers
Kulia ni kwa Depal mkuu sisi huwa hatulii.Unataka nilie lie hovyo?ndo ukuaji gani huo? Wewe endelea kuwapa ushujaa wanawake siku uumie moyo
Kumbe hili suala unalielewa vyema.ok labda ni Mimi hukunielewa mkuuKulia ni kwa Depal mkuu sisi huwa hatulii.
Kwa umri wangu nimeumizwa mkuu lkn kuna wanawake wa maana mnoo kuliko unavyofikiri.
Pia kuna wanawake mabarangure kweli kweli.
Haya lazima uyajue mapema.
Cc Sugu na Faiza Ally
Hakuna hiyo kitu.Sijawahi kupoteza faraja eti kisa nimeachwa 🤣Mbona aka ni kama kastayle ka kujipa faraja. 😀
So what??We are here long before you,long after you
Kuwa muwazi bana. 🤣🤣🤣Hakuna hiyo kitu.Sijawahi kupoteza faraja eti kisa nimeachwa 🤣
Nahisi nilikuelewa vizuri kuwa ukiachwa huwa hujali.Kumbe hili suala unalielewa vyema.ok labda ni Mimi hukunielewa mkuu
Kumbe huwa uko na mishankupe hujakutana na mwanamke anayejitambua.Hakuna hiyo kitu.Sijawahi kupoteza faraja eti kisa nimeachwa 🤣
Very dry😅So what??