Mwanamke akiniacha ni kama tu nimetupa chupa ya maji ambayo tayari nimeyanywa

Mwanamke akiniacha ni kama tu nimetupa chupa ya maji ambayo tayari nimeyanywa

Iko hivyo.

Mimi sina kabisa muda wa kulia lia eti kisa demu ameniacha. Mimi sina hizo habari za kulazimisha eti demu anipende,sina huo muda kabisa.
Mimi demu nikishamla hapo ni yeye ndo ataamua kama tuendelee au tumwagane.

Demu tuliyejuana ukubwani akiwa ametunguliwa mishale kibao kwangu namuona kama chuma chakavu tu kwahiyo hata akiniacha huwa sijali wala,sina muda naye tena,japo akijirudisha kwangu namfyatua tena.
Eti mimi nikae kutwa nasikiliza nyimbo za huzuni kisa demu huo ufala sifanyi kabisa mi naangalia mwingine najiweka tena natafuta mkali zaidi yake.

Nawashangaa wanaume wenzangu mnaohangaika kulia lia humu kisa mmetendwa na wanawake huwa nawaona kama wavulana premature wa shule ambao wanajifunza kuhusu wanawake.

Usioneshe kutekwa kihisia na mwanamke kwani utakuwa umeruhusu mkuki wa sumu moyoni mwako mwenyewe.
Mwanamke akikuacha we shukuru tu kwani amekupa chance ya kumove on na atakuwa amewapisha wanawake wenzie waendelee kula ndizi.

Mwanamke unaweza kuwa naye leo unampa kila hitaji lake na bado siku mapepe yake yakimpanda anakuacha so kwanini uumie wakati wapo wengi,be a man onesha uanaume na ili maumivu yamrudie wewe tafuta hata shoga yake tembezea rungu.be a man.
Wanawake wapo wengi Sana wazuri hivi wenzangu hamuwaoni?Ni mimi tu ninayedindia kila sketi?

Haisaidii kulia lia, ni udhaifu mkubwa sana kupigapiga kelele baada ya kuachwa na mwanamke.
"Tuishi nao kwa akili" mnadhani ni akili ipi? Akili ya kununua mboga na mahitaji mengine tu?

Wanawake wa sikuhizi ni mapepe sana hivyo Lazima uwe na akili ya ku overcome situation kama hizo.
Mimi ni kidume ukiniacha kama hujaniacha tu kwahiyo kupoteza demu kwangu ni kama nimepoteza screpa tu.
Duh tupo tofauti aisee, mm huwa najaribu kila mbinu za kunusuru ila ikishindikana basi niki move on huwa sirudi nyuma, labda akijileta atakula mkia kama nimekutana na wa kununua then simhudumii wala kumpigia simu wala kumpa hela yangu iwe ya usafiri chakula ama yyt akija atakula mkia kwa gharama zake. Inshort namgeuza chombo cha sterehe
 
Duh tupo tofauti aisee, mm huwa najaribu kila mbinu za kunusuru ila ikishindikana basi niki move on huwa sirudi nyuma, labda akijileta atakula mkia kama nimekutana na wa kununua then simhudumii wala kumpigia simu wala kumpa hela yangu iwe ya usafiri chakula ama yyt akija atakula mkia kwa gharama zake. Inshort namgeuza chombo cha sterehe
Kujaribu kunusuru niliwahi fanya kipindi hicho najaribu kuwasoma hawa watu baadae nikagundua ni wastage of time and resources ambazo naweza tumia kunasa pisi nyingine kali kushinda yeye.
Maana kuwasujudia sana hawa wanakuona kama kiazi flani mwisho wa siku utapigwa na chupi usoni
 
Iko hivyo.

Mimi sina kabisa muda wa kulia lia eti kisa demu ameniacha. Mimi sina hizo habari za kulazimisha eti demu anipende,sina huo muda kabisa.
Mimi demu nikishamla hapo ni yeye ndo ataamua kama tuendelee au tumwagane.

Demu tuliyejuana ukubwani akiwa ametunguliwa mishale kibao kwangu namuona kama chuma chakavu tu kwahiyo hata akiniacha huwa sijali wala,sina muda naye tena,japo akijirudisha kwangu namfyatua tena.
Eti mimi nikae kutwa nasikiliza nyimbo za huzuni kisa demu huo ufala sifanyi kabisa mi naangalia mwingine najiweka tena natafuta mkali zaidi yake.

Nawashangaa wanaume wenzangu mnaohangaika kulia lia humu kisa mmetendwa na wanawake huwa nawaona kama wavulana premature wa shule ambao wanajifunza kuhusu wanawake.

Usioneshe kutekwa kihisia na mwanamke kwani utakuwa umeruhusu mkuki wa sumu moyoni mwako mwenyewe.
Mwanamke akikuacha we shukuru tu kwani amekupa chance ya kumove on na atakuwa amewapisha wanawake wenzie waendelee kula ndizi.

Mwanamke unaweza kuwa naye leo unampa kila hitaji lake na bado siku mapepe yake yakimpanda anakuacha so kwanini uumie wakati wapo wengi,be a man onesha uanaume na ili maumivu yamrudie wewe tafuta hata shoga yake tembezea rungu.be a man.
Wanawake wapo wengi Sana wazuri hivi wenzangu hamuwaoni?Ni mimi tu ninayedindia kila sketi?

Haisaidii kulia lia, ni udhaifu mkubwa sana kupigapiga kelele baada ya kuachwa na mwanamke.
"Tuishi nao kwa akili" mnadhani ni akili ipi? Akili ya kununua mboga na mahitaji mengine tu?

Wanawake wa sikuhizi ni mapepe sana hivyo Lazima uwe na akili ya ku overcome situation kama hizo.
Mimi ni kidume ukiniacha kama hujaniacha tu kwahiyo kupoteza demu kwangu ni kama nimepoteza screpa tu.
Mkuu ulishawahi kumpata anaekupenda na wewe ukampenda ani ukahis kama mapacha vilee yaan mungu kawaleta hiv au huwa unapenda kwa matamanio??
 
Mkuu ulishawahi kumpata anaekupenda na wewe ukampenda ani ukahis kama mapacha vilee yaan mungu kawaleta hiv au huwa unapenda kwa matamanio??
Ya kazi gani yote haya?🤣🤣
Bado sijampata mkuu 🤣🤣
Kwa sasa acha tu niseme vile anavyonitreat ndivyo ninavyomtreat ,show show
 
Iko hivyo.

Mimi sina kabisa muda wa kulia lia eti kisa demu ameniacha. Mimi sina hizo habari za kulazimisha eti demu anipende,sina huo muda kabisa.
Mimi demu nikishamla hapo ni yeye ndo ataamua kama tuendelee au tumwagane.

Demu tuliyejuana ukubwani akiwa ametunguliwa mishale kibao kwangu namuona kama chuma chakavu tu kwahiyo hata akiniacha huwa sijali wala,sina muda naye tena,japo akijirudisha kwangu namfyatua tena.
Eti mimi nikae kutwa nasikiliza nyimbo za huzuni kisa demu huo ufala sifanyi kabisa mi naangalia mwingine najiweka tena natafuta mkali zaidi yake.

Nawashangaa wanaume wenzangu mnaohangaika kulia lia humu kisa mmetendwa na wanawake huwa nawaona kama wavulana premature wa shule ambao wanajifunza kuhusu wanawake.

Usioneshe kutekwa kihisia na mwanamke kwani utakuwa umeruhusu mkuki wa sumu moyoni mwako mwenyewe.
Mwanamke akikuacha we shukuru tu kwani amekupa chance ya kumove on na atakuwa amewapisha wanawake wenzie waendelee kula ndizi.

Mwanamke unaweza kuwa naye leo unampa kila hitaji lake na bado siku mapepe yake yakimpanda anakuacha so kwanini uumie wakati wapo wengi,be a man onesha uanaume na ili maumivu yamrudie wewe tafuta hata shoga yake tembezea rungu.be a man.
Wanawake wapo wengi Sana wazuri hivi wenzangu hamuwaoni?Ni mimi tu ninayedindia kila sketi?

Haisaidii kulia lia, ni udhaifu mkubwa sana kupigapiga kelele baada ya kuachwa na mwanamke.
"Tuishi nao kwa akili" mnadhani ni akili ipi? Akili ya kununua mboga na mahitaji mengine tu?

Wanawake wa sikuhizi ni mapepe sana hivyo Lazima uwe na akili ya ku overcome situation kama hizo.
Mimi ni kidume ukiniacha kama hujaniacha tu kwahiyo kupoteza demu kwangu ni kama nimepoteza screpa tu.
Napenda tu hitimisho la nyuzi za jf 'tunachokijua'

We jamaa mleta mada nadhani hauja wahi kupenda, na kama umewahi kupenda utakua umeumizwa sana .
 
Back
Top Bottom