Mwanamke akiniacha ni kama tu nimetupa chupa ya maji ambayo tayari nimeyanywa

Mwanamke akiniacha ni kama tu nimetupa chupa ya maji ambayo tayari nimeyanywa

Nahisi nilikuelewa vizuri kuwa ukiachwa huwa hujali.
Lakini mkuu huwezi kuachwa bure lazima kuna haya;
1. Umechit
2. Hujui kumhandle na labda amekueleza sana na huna dalili za kubadilika.
3. Mwanamke ni money monger na anaona huna tena.

Ikiwa sababu ni namba 1. Tatizo ni lako na huwezi kujivuna kuwa umemtupa kama chupa ya maji.

Kuna wakati tuna achwa kwa haki na hilo ni jambo la kujilaumu.

Mwisho wa yote;
Mapenzi bora hupiganiwa, ni kimaanisha kuwa tayari wote kujishusha na kuondoa tofauti zenu.

Naruhusu unikosoe
Mwanamke unaweza usimchit,unamhandle na pesa ipo bado akaliwa na lijamaa lisilompa vyote hivyo na akakuacha bila sababu ulizotaja.je unakubali hilo?
 
Kumbe huwa uko na mishankupe hujakutana na mwanamke anayejitambua.
Akikuacha utahisi huna thamani tena.
Kuna wanawake wanajitambua kwanini walikuja duniani mkuu.

Achana na hawa mislay queen
Mimi nishakuwa na kila aina ya mwanamke mkuu ila tu naipenda tabia yangu.
 
Mwanamke unaweza usimchit,unamhandle na pesa ipo bado akaliwa na lijamaa lisilompa vyote hivyo na akakuacha bila sababu ulizotaja.je unakubali hilo?
Wapo lakini nawe utambue kuwa ;
1. Kumlisha
2. Kumvalisha
3. Kumnunulia simu kali na ghali
4. Kumpa kila kitu haitoshi.

Hakikisha kauli yako ni njema laini na ya kumvutia mpenzi wako...
Wazee wanaita nyama ya ulimi.

Mwanamke anaweza kukonda na kukuchukia kwa kauli za maudhi tu ilhal umempa vyote vya thamani.

Kauli
Kauli
Maneno laini mkuu
 
Wapo lakini nawe utambue kuwa ;
1. Kumlisha
2. Kumvalisha
3. Kumnunulia simu kali na ghali
4. Kumpa kila kitu haitoshi.

Hakikisha kauli yako ni njema laini na ya kumvutia mpenzi wako...
Wazee wanaita nyama ya ulimi.

Mwanamke anaweza kukonda na kukuchukia kwa kauli za maudhi tu ilhal umempa vyote vya thamani.

Kauli
Kauli
Maneno laini mkuu
Hivi unazungumzia wanawake gani?
Hawa hawa au kuna wengine wameshushwa?
 
Hivi unazungumzia wanawake gani?
Hawa hawa au kuna wengine wameshushwa?
Mkuu dunia hii ina wanawake wote na wote wamo humu.
Ukiumizwa utawachukia wote lkn niamini
Kuna wanawake ni malaiki...
Hawa chit
Wanasamehe
Wanavumilia
Wana upendo wa dhati na sio vitu
Wapo nina ushahidi.

Kijana wangu kinachokutesa wewe ni aina flani ya wanawake unaowapenda lakini wao hawakupendi wewe bali vitu vyako.

Unateswa na tamaa yako mwenyewe mkuu.
Ukikubali kuwa type flani sio yako ndipo utakutana na wenye upendo wa kweli.
Hamtanielewa wanaume wa humu.

##WANAWAKE WEMA WAPO WAKUU WANG#
 
Nijuavyo mimi kuwa na mpenzi ni kuwa na sukari wako wa moyo, tulizo na furaha yako.
Mtu ambaye uwepo wake tu ni afya ya roho yako.

Je afya na furaha ya moyo wako unaweza kukubali ikuache kizembe tu?
Hii mpya asee, kama unategemea furaha yako ama uzima wako wa afya kutoka kwa kiumbe hai mwingine inabidi ujitafakari sana
 
Mkuu dunia hii ina wanawake wote na wote wamo humu.
Ukiumizwa utawachukia wote lkn niamini
Kuna wanawake ni malaiki...
Hawa chit
Wanasamehe
Wanavumilia
Wana upendo wa dhati na sio vitu
Wapo nina ushahidi.

Kijana wangu kinachokutesa wewe ni aina flani ya wanawake unaowapenda lakini wao hawakupendi wewe bali vitu vyako.

Unateswa na tamaa yako mwenyewe mkuu.
Ukikubali kuwa type flani sio yako ndipo utakutana na wenye upendo wa kweli.
Hamtanielewa wanaume wa humu.

##WANAWAKE WEMA WAPO WAKUU WANG#
Hahah kuna wanawake ni malaika?
Mimi nimechagua aina ya wanawake hao unaowakandia kwa sababu sitaki matatizo,sitaki depression mie,familia yangu inanitosha 😀
 
Hahah kuna wanawake ni malaika?
Mimi nimechagua aina ya wanawake hao unaowakandia kwa sababu sitaki matatizo,sitaki depression mie,familia yangu inanitosha 😀
Utakufa na presha mkuu.
Kuna wanawake watoa roho aah acha kabisa.
Lakini malaika wamo hata humu jf
 
Utakufa na presha mkuu.
Kuna wanawake watoa roho aah acha kabisa.
Lakini malaika wamo hata humu jf
Wewe mkuu utakuja kunikumbuka sikumoja kwamba nilikuambia lakini hukutaka kusikia, wanawake unaowazungumzia hawapo ukiona mwanamke anajifanya ati yeye malaika sijui mariam Magdalena shtuka ni mtego au anakuibia
 
Swadaktaaaa...hayo ndiyo mambo yangu mimi.
Hahaha kwa age yangu nimeona mengi.
Pia nimeyashiriki sio tu nchini bali hadi kuvuka bahari na ngozi tofauti na yetu.

Kwa sehemu kubwa nawafahamu sana hawa viumbe...usiwachukulie poa.

Wewe unawaza sex yeye anaingia kwa gia ya kukupura.
Huyo anytime mnazinguana.

Lakini kuna mwanamke anakuja kwako amejitoa mwili na riho....chagua
 
Back
Top Bottom