Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu wewe ni mkongwe sana ya haya mambo yote uliyoyaandika nimekutana nayo.
Hasa hasa hapo kuanzia namba 5 hadi 8 nikikutana nao wa hivyo huwa nakaa naye kwa machale sana.
Unakuta demu anaanza kulaumu hii bar haina huduma nzuri,wahudumu wavivu hata meza hawajafuta,vinywaji vyao bei kubwa,sehemu fulani bei iko chini kuliko hapa,siku nyingine ni bora twende sehemu fulani wana huduma nyingi sana,hii baa ya kishamba.
 
Dah!!!!,we jamaa umeyajuaje haya?,Anyway hongera kwa thread nzuri.
 
Huyo kukuua ni km kuchinja sungura wa kitoweo
 
Sasa mbona tulio wengi tunawaza chini tu.
 
Hivi mabaharia huwa mnakosea wapi?? Mnaonyana lakini threads za malalamishi yenu haziiishi... baadhi yenu somo haliwaingii [emoji23][emoji23][emoji4]
Tatizo wanaume wengi wanajifanya wajuaji wanaona kama wenzao yaliyo wakuta ni wazembe [emoji1][emoji1]
 
Such a lame reason!
 

Nyie madogo mna maneno daaaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], nimecheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
upo km mm ila inanicost some how
 

Tafuta pesa wewe
 
Mimi pia mwamaume hana haki ya kunipiga kwann unifanyie ambacho siwez kukufanyia yaan ukinipiga usitegemee kusema samahan cjui sorry..io itakua ni kesi ya kimataifa..
Nitakupiga na mboo maana hakuna kipigo kingine zaidi ya hicho kwa mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…