Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Yap nimekuelewa si ulisema unapenda kuwa karibu na wanaume. Me hii tabia sihipendi kabisa mwanamke wangu kuwa karibu na wanaume Mana wanakuraga kimasihara.Sio ninathubutu Bali nimesema Nina tabia mojawapo ya mtoa mada aliyosema, aliyesema mkae mbali Ni mtoa mada, Kama umeuelewa huu Uzi utakuwa umeniekewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap nimekuelewa si ulisema unapenda kuwa karibu na wanaume. Me hii tabia sihipendi kabisa mwanamke wangu kuwa karibu na wanaume Mana wanakuraga kimasihara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke mwenye kadi ya ccm anaingia kwenye kundi gani ?
Ogopa sana mwanamke anaesema yeye wanaume hataki tena, yeye anatafuta pesa tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Itafika hatua hakuna mwanamke atayetufaa.
Hao ndo wanawake sasaNa wenye makalio makubwa ogopa sana wanajiamini kuliko hata mwanamke mwenye degree
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umenichekesha kwakweliMi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Na wenye makalio makubwa ogopa sana wanajiamini kuliko hata mwanamke mwenye degree
Sent from my iPhone using JamiiForums
😂😂😂😂😂Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Anakukaa inge munu mu JF
Halaf mbaya zaid unakuta anachangia kabisa like "kata kichwa huyoo" halaf linamalizia na kucheka "hahahahah, safi sana"Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana