Mwanamke Akishaamua Kukuacha, Yamekwisha

Noma sana!
 
Noma sana!
 
Hakuna mwanamke aliteyeniacha ambaye hakunitafuta baadae kwa hiyo hii stori ni uongo tu
kwa namna nyingine inaweza ikawa kweli. Kuna wanawake huwa wanakua na sababu geniune kabisaa za kukuacha na hawa ni wale ambao walishafanya jitihada sana katika kupambania penzi likae sawa ila mwanaume akawa anazingua , hawa huwa hawarudi kwakua wamefanya maamuzi sio kwa kukurupuka na kutumia hisia zaid bali akili.

Ila wale wanaopata darasa la hovyo huko nje na wakakurupuka hawa ndio huwa wanarudi.
 
Wangu aliniacha kisa,

Alisema OOH akasema anataka kuconcetrate na masomo Tuliachana kipindi anaenda field
 
Wangu aliniacha kisa,

Alisema OOH akasema anataka kuconcetrate na masomo Tuliachana kipindi anaenda field
Ahahahahahahah..
Sasa field kweli, 😂 au kale ka boom ka field kalimchanganya!?
Dahh huyo alikupa sababu nyepes sana.
Angepata ajira je? Angekuambia "nataka ni concerntrate na ujenzi wa taifa" 🤣🤣🤣
 
Ahahahahahahah..
Sasa field kweli, 😂 au kale ka boom ka field kalimchanganya!?
Dahh huyo alikupa sababu nyepes sana.
Angepata ajira je? Angekuambia "nataka ni concerntrate na ujenzi wa taifa" 🤣🤣🤣
Dah mzee! Nikambembeleza kisenge wapi chief baadae akaniambia eti kumuoa mpaka nipate GPA ya 4 mzee
 
Ni udhaifu wa kiwango cha juu mno mwanaume kulialia kuhusu mahusiano.

Tangu niwe na akili zangu timamu nimepita na manzi kibao na hakuna aliyewahi kuniumiza hata baada ya kumwagana.

Haitatokea kwasababu huyo mwanamke sijazaliwa naye tumbo moja tumekutana tu ukubwani.

Hii principle huwa naishi nayo na ndiyo inanifanya mapenzi yasiniendeshe.

Yaani mnada wote wa wanawake ulivyojaa bado nihangaike na mwanamke mmoja? Haitatokea kamwe.
 
Upo sahihi kabisa mkuu.

Mwanaume unaliliaje liability wakati ndiyo nafuu akiondoka?

Tatizo kuna baadhi ya wanaume wanatumia hisia kupenda wakati hilo ni jukumu la mwanamke.
 

Kwani ana thamani gani? That's the problem? Mnatafsiri upumbavu wa online kuwapa hawa watu mailage zisizo na maana, akienda naoungukiwa Nini????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…