nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
- Thread starter
- #21
Mfumo jike mbaya sana unawafanya mjione wajuaji wa kila kitu.Mtaishia hayo hayo
Tunawaona hata Huku Jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfumo jike mbaya sana unawafanya mjione wajuaji wa kila kitu.Mtaishia hayo hayo
😷 sawaMfumo jike mbaya sana unawafanya mjione wajuaji wa kila kitu.
Tunawaona hata Huku Jf
Kweli kabisaaOngezea haya[emoji116]
Mwanamke akifanikiwa kumiliki Matako makubwa na sura ya mvuto kwa mujibu wa wanaomtongoza basi hapo suala la ndoa hua gumu sana kwake kudumu, maana anaamini kwa uzuri wake hawezi kubabaishwa na mwanaume mmoja ktk ndoa.
Hivyo basi ndoa ya namna hii ya mwanamke slayqn tegemea ugomvi usioisha, masimango, kufananishwa kwa mume wake na wanaume nje ya ndoa huko mitaani, kutolewa mifano ya kiuchumi na wanaume wengine, majigambo, uvivu&uzembe wa kazi, tamaa mbaya, mwisho wa yote tegemea uaminifu ktk ndoa kuwa mdogo sana, la mwisho ni kusalitiwa.
Mwanaume[emoji117] Kataa ndoa za michongo, pesa ni bora kulko ndoa za mchongo, tumia muda wako kujijenga ktk ujana wako kutafuta pesa sana ili hapo baadae uache urithi mzuri kama utafanikiwa kupata watoto.
Ni aibu kwa kijana kukimbilia ndoa na kuacha mambo ya msingi.
Kataa ndoa za michongo, kataa kunyanyasika, kataa kupelekeshwa, kataa umasikini, kataa magonjwa ya akili, afya yako ni bora kuliko hiyo ndoa ya kipuuzi.
Ingia kwenye ndoa ukiwa umetimiza ndoto zako na ndoa iwe last wish na isiwe sehemu ya ndoto zako, muoe mwanamke ambaye ametimiza ndoto zake angalau 50% na %zilizobaki msaidie kuzitimiza kwa kumdunga mimba akuzalie majembe ya kuja kuurithi ufalme wako ulioujenga kwa muda mrefu.
Ukweli mchungu.
Wala usisikitike mwali, hapa tunaweza tukawa tumeletea waraka wa ndoa na mtu ambae hayumo katika ndoa..🤣🤣
Ukiona hivyo basi ujue huyo hana utii na hafai kua mke wako.Sio kama hasisome hapana ila now days wasomi ni wengi kuliko hata walioelimika.
inafikia wakati wanamke anataka kuplay part ya mwanaume na hapo ndo ugumu wa maisha unapoanzia.
We mzee soma ujumbe usikimbjlie KucomentUkiona hivyo basi ujue huyo hana utii na hafai kua mke wako.
Kimsingi ndoa haitaki siasa na ujuaji
Nina mke na watoto wawiliWala usisikitike mwali, hapa tunaweza tukawa tumeletea waraka wa ndoa na mtu ambae hayumo katika ndoa..[emoji1787][emoji1787]
HongeraHayo yote uliyo yataja mke wangu anayo, lakini kwasababu ana utii inabaki kua mimi ndio mwanaume na mtoa maamuzi mkuu ndani ya nyumba
Kwa uliyo yaandika basi nachelea kusema kwamba mkeo anaishi kwa hofu kuu na hana amani na pengine amapitia manyanyaso makubwa zaidiNina mke na watoto wawili
Imekwisha tayari.Kama ni cheo, aliyemuwezesha ni mchepuko wake. Utaambiwa tu nimechelewa kazini kumbe sivyo.
Jamii imelibadilisha hili jukumuJukumu la mwanamke kwenye ndoa ni kuzaa na kutunza familia yake basi.