Mwanamke akiweza kumiliki vitu hivi ni ngumu ndoa Kudumu

Mwanamke akiweza kumiliki vitu hivi ni ngumu ndoa Kudumu

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Ongezea haya[emoji116]
Mwanamke akifanikiwa kumiliki Matako makubwa na sura ya mvuto kwa mujibu wa wanaomtongoza basi hapo suala la ndoa hua gumu sana kwake kudumu, maana anaamini kwa uzuri wake hawezi kubabaishwa na mwanaume mmoja ktk ndoa.

Hivyo basi ndoa ya namna hii ya mwanamke slayqn tegemea ugomvi usioisha, masimango, kufananishwa kwa mume wake na wanaume nje ya ndoa huko mitaani, kutolewa mifano ya kiuchumi na wanaume wengine, majigambo, uvivu&uzembe wa kazi, tamaa mbaya, mwisho wa yote tegemea uaminifu ktk ndoa kuwa mdogo sana, la mwisho ni kusalitiwa.

Mwanaume[emoji117] Kataa ndoa za michongo, pesa ni bora kulko ndoa za mchongo, tumia muda wako kujijenga ktk ujana wako kutafuta pesa sana ili hapo baadae uache urithi mzuri kama utafanikiwa kupata watoto.

Ni aibu kwa kijana kukimbilia ndoa na kuacha mambo ya msingi.

Kataa ndoa za michongo, kataa kunyanyasika, kataa kupelekeshwa, kataa umasikini, kataa magonjwa ya akili, afya yako ni bora kuliko hiyo ndoa ya kipuuzi.

Ingia kwenye ndoa ukiwa umetimiza ndoto zako na ndoa iwe last wish na isiwe sehemu ya ndoto zako, muoe mwanamke ambaye ametimiza ndoto zake angalau 50% na %zilizobaki msaidie kuzitimiza kwa kumdunga mimba akuzalie majembe ya kuja kuurithi ufalme wako ulioujenga kwa muda mrefu.

Ukweli mchungu.
Kweli kabisaa
 
Lakini binti yako kila siku unamkomalia asome kwa bidii ili awe na hela asimtegemee mwanaume in her life ili asiteseke.
Hapo hapo akifika 30+ hajaolewa unaanza kupata stress na kumlaumu kwanin haolewi.
Hizi kweli ni double standards.
Na ni kweli mkuki kwa noah lakn kwa binadam n mchungu.
 
Sio kama hasisome hapana ila now days wasomi ni wengi kuliko hata walioelimika.

inafikia wakati wanamke anataka kuplay part ya mwanaume na hapo ndo ugumu wa maisha unapoanzia.
Ukiona hivyo basi ujue huyo hana  utii na hafai kua mke wako.
Kimsingi ndoa haitaki siasa na ujuaji
 
Loo umegonga penyewe kabisa jamaaa.Hapa nilipo wanawake wengi walioajiliwa ni ma single mothers.
Hawa viumbe wakipata pesa huwa na kiburi na dharau sana kwa waume zao.
Kwa maoni yangu ni bora kuoa mwanamke aliyeishia darasa la saba kuliko Hawa wasomi utajuta ukiwakimbilia hawa watu.
 
Back
Top Bottom