Mwanamke akiweza kumiliki vitu hivi ni ngumu ndoa Kudumu

Mwanamke akiweza kumiliki vitu hivi ni ngumu ndoa Kudumu

Kwa uliyo yaandika basi nachelea kusema kwamba mkeo anaishi kwa hofu kuu na hana amani na pengine amapitia manyanyaso makubwa zaidi
Una maisha ya kukalili,unatumia nafasi ipi ya kusema Hayo
 
Natumia uhuru wa kutoa maoni kutikana na kile ilicho kiandika wewe kwa utashi wako na pasipo kushikiwa upanga.
Sawa wakongwe wa jf ,mna ujuaji mwingi sana.

Naona umeanza hadi kuifahamu familia yangu si ndivyo
 
Loo umegonga penyewe kabisa jamaaa.Hapa nilipo wanawake wengi walioajiliwa ni ma single mothers.
Hawa viumbe wakipata pesa huwa na kiburi na dharau sana kwa waume zao.
Kwa maoni yangu ni bora kuoa mwanamke aliyeishia darasa la saba kuliko Hawa wasomi utajuta ukiwakimbilia hawa watu.
Hapa nilipo Kuna mmoja kaolewa juzi yupo 27 Tena ni mtu wa dini sana na mpole..ila have wengine Kuna aliyeolewa 35 akiwa ni single mother tayar ..ila Kuna kundi kama 6 wanazunguka tu hapa kwanza wana sura za makasiriko na hasira za haraka wako harsh sana
 
Pesa ya mwanamke isipokusaidia kwenye kujenga nyumba ya kuishi, pesa hiyo haitakaa ikusaidie kwenye 'jambo lolote lile'.
In other words, kama umekwisha jenga nyumba ya kuishi ukiwa bachela, huna haja ya kuoa mwanamke msomi/ mwenye pesa. Oa tu mtoto wa std 7 au form four failure au mwalimu... uta enjoy maisha!
 
Ni ngumu sn now days kumficha au kumzuia mwanamke hasa wa mjini kwa sababu zifuatazo
1.technology...sasa hivi wanashinda insta,tik tok,telegram,wanamakundi yao ya whatsap in short unampatia bando kwa hela unayomuachia na anasoma nakujua kilakitu
2. Vikundi vya ujasiriamali hapa ndio janga. ..kunakipindi wanahama kabisa home km mkutano wa beijini
3.wale wanaoshinda makazini ndio janga zaidi. ..wakinamama wengi wavivu. .siwote hivyo kazi yao kupiga story at the end of a day wale wanalwafanyia kazi wanawageuza vimada wao.
4 ...saluni. ..haaaa janga jingine hill.
In short mwanamke akupende mwenyewe ndio mtaishi au kupendana nasikwa hela or chochote ulichonacho which very slim. .
Wanaume kazi ipo
 
Habari za jioni, tunashukuru Mungu kwa uzima aliotupa.

Katika ulimwengu huu tunaoishi katika dunia ya utandawazi ambayo imeonekana imejitosheleza katika kila sekta, ila kuna taasisi moja kubwa sana ambayo ni Nndoa, taasisi hii inaundwa na mwanamke na mwanaume matokeo ya muda mrefu hadi mfupi uzalisha kiumbe (mtoto).

Ila Tukirudi katika jamii ya sasa imeonekana ndoa nyingi sana zinazofungwa hazidumu kwa muda mrefu sana na hakuna sababu za msingi kwa kuwa kila mtu anajaribu kutoa sababu kwa mitazamo wake anaona ni sahihi maana hadi muda huu hakuna utafiti wa moja kwa moja uliofanyika na ukaleta majibu ya moja kwa moja sababu ya ndoa kuvunjika.

Katika hhapisho hili nitaweka mambo matatu ambayo kama mwanamke akipata ni ngumu sana ndoa yake kudumu kwa muda mrefu.

Jambo la kwanza Elimu
Hili jambo la kwanza inapotokea mwanamke akapata elimu na akashindwa kuitumia basi ni ngumu sana kudumu katika ndoa yake. Elimu ni jambo la msingi sana katika dunia ya sasa pasipo kuzingatia misingi ya kijinsia kama ilivyokuwa inafanyika awali ambapo mwanaume ndio alikuwa anapewa kipaumbele katika hili.

Ila kwa sasa tuna wasomi wengi sana ambayo ni jinsia ya kike lakini inapotokea mahusiano ya ndoa yanahusishwa katika msingi ya Elimu ni ngumu sana kwa jinsia ya kike kuweza kuisimamia, hali ya Kufahamu kila kitu, hali ya kujiona kipekee, hali ya kutaka kuthaminiwa, imewafanya wanawake waweke hali hii katika ndoa zao na kupelekea ndoa nyingi kuvunjika kwa ndoa.

Jambo la pili Cheo/Wadhifa
Mara nyingi inapotokea mwanamke anapopata nafasi katika eneo la kazi au cheo chochote katika masuala ya kisiasa inatokea ugumu sana kuweza kutofautisha majukumu yanayotokea kati ya anapokuwa katika eneo la kutekeleza majukumu ya cheo chake na anapokuwa katika majukumu ya ndoa yake.

Na inapotokea inabainika na kichwa cha familia ambaye ni mwanaume, basi unatokea mtafaruku na hali ya kujiona anajitosheleza katika kila kitu ndipo uonekana hapo. Hivyo husababisha mtafaruku na ndoa kushindwa kudumu.

Jambo la tatu Pesa
Kwa maisha ya sasa kuna umuhimu mkubwa sana wa wanandoa kumiliki pesa na kuwa na uchumi wa uhakika, ila kwa mwanamke hali inakuwa tofauti sana inapotokea ana kipato kikubwa kuliko mumewe.

Ni wanawake wachache wanaweza kuendeleza heshima pindi wanapokuwa vizuri kiuchumi. Mwanamke analomiliki pesa ya kutosha katika kila kitu hali ya kujihisi anajitosheleza inajitokeza na anadhani anaweza kuishi katika hali yoyote ile pasipo na mwanaume yeyote yule, hivyo upelekea kushindwa kumuheshimu mume wake.

Hitimisho

Siyo muafaka ya kuwa wanawake wakiwa na hivi vitu hawadumu kwa ndoa, ila kwa asilimia kubwa inakuwa hivi.

Niwatakie majukumu mema ya kazi kesho.
Kwa kifupi Mwanamke akiwa na power kumzidi mwanaume chances are hiyo ndoa itaparaganyika
 
Pesa ya mwanamke isipokusaidia kwenye kujenga nyumba ya kuishi, pesa hiyo haitakaa ikusaidie kwenye 'jambo lolote lile'.
In other words, kama umekwisha jenga nyumba ya kuishi ukiwa bachela, huna haja ya kuoa mwanamke msomi/ mwenye pesa. Oa tu mtoto wa std 7 au form four failure au mwalimu... uta enjoy maisha!
Mbona “mwalimu “😂
 
Tafuta pesa!!! Sio unamuachia mkeo afu tatu kisha unataka akuheshimu kwa lipi?.
 
Write your reply... Mwanamke akianza kumiliki pesa ndefu kumliko mumewe Kuna uwezekano mkubwa Sana hiyo ndoa ikayumba.

Hawa viumbe wakishapata pesa huwa wanavimba Sana Hadi kwenye masuala ya msingi Kama tendo la ndoa.
 
. Mwanamke akianza kumiliki pesa ndefu kumliko mumewe Kuna uwezekano mkubwa Sana hiyo ndoa ikayumba.

Hawa viumbe wakishapata pesa huwa wanavimba Sana Hadi kwenye masuala ya msingi Kama tendo la ndoa.
 
Habari za jioni, tunashukuru Mungu kwa uzima aliotupa.

Katika ulimwengu huu tunaoishi katika dunia ya utandawazi ambayo imeonekana imejitosheleza katika kila sekta, ila kuna taasisi moja kubwa sana ambayo ni Nndoa, taasisi hii inaundwa na mwanamke na mwanaume matokeo ya muda mrefu hadi mfupi uzalisha kiumbe (mtoto).

Ila Tukirudi katika jamii ya sasa imeonekana ndoa nyingi sana zinazofungwa hazidumu kwa muda mrefu sana na hakuna sababu za msingi kwa kuwa kila mtu anajaribu kutoa sababu kwa mitazamo wake anaona ni sahihi maana hadi muda huu hakuna utafiti wa moja kwa moja uliofanyika na ukaleta majibu ya moja kwa moja sababu ya ndoa kuvunjika.

Katika hhapisho hili nitaweka mambo matatu ambayo kama mwanamke akipata ni ngumu sana ndoa yake kudumu kwa muda mrefu.

Jambo la kwanza Elimu
Hili jambo la kwanza inapotokea mwanamke akapata elimu na akashindwa kuitumia basi ni ngumu sana kudumu katika ndoa yake. Elimu ni jambo la msingi sana katika dunia ya sasa pasipo kuzingatia misingi ya kijinsia kama ilivyokuwa inafanyika awali ambapo mwanaume ndio alikuwa anapewa kipaumbele katika hili.

Ila kwa sasa tuna wasomi wengi sana ambayo ni jinsia ya kike lakini inapotokea mahusiano ya ndoa yanahusishwa katika msingi ya Elimu ni ngumu sana kwa jinsia ya kike kuweza kuisimamia, hali ya Kufahamu kila kitu, hali ya kujiona kipekee, hali ya kutaka kuthaminiwa, imewafanya wanawake waweke hali hii katika ndoa zao na kupelekea ndoa nyingi kuvunjika kwa ndoa.

Jambo la pili Cheo/Wadhifa
Mara nyingi inapotokea mwanamke anapopata nafasi katika eneo la kazi au cheo chochote katika masuala ya kisiasa inatokea ugumu sana kuweza kutofautisha majukumu yanayotokea kati ya anapokuwa katika eneo la kutekeleza majukumu ya cheo chake na anapokuwa katika majukumu ya ndoa yake.

Na inapotokea inabainika na kichwa cha familia ambaye ni mwanaume, basi unatokea mtafaruku na hali ya kujiona anajitosheleza katika kila kitu ndipo uonekana hapo. Hivyo husababisha mtafaruku na ndoa kushindwa kudumu.

Jambo la tatu Pesa
Kwa maisha ya sasa kuna umuhimu mkubwa sana wa wanandoa kumiliki pesa na kuwa na uchumi wa uhakika, ila kwa mwanamke hali inakuwa tofauti sana inapotokea ana kipato kikubwa kuliko mumewe.

Ni wanawake wachache wanaweza kuendeleza heshima pindi wanapokuwa vizuri kiuchumi. Mwanamke analomiliki pesa ya kutosha katika kila kitu hali ya kujihisi anajitosheleza inajitokeza na anadhani anaweza kuishi katika hali yoyote ile pasipo na mwanaume yeyote yule, hivyo upelekea kushindwa kumuheshimu mume wake.

Hitimisho

Siyo muafaka ya kuwa wanawake wakiwa na hivi vitu hawadumu kwa ndoa, ila kwa asilimia kubwa inakuwa hivi.

Niwatakie majukumu mema ya kazi kesho.
Utaoaje mwanamke anaekuzid akili.
 
Either mnafikiria kitoto au mmetanguliza ubinafsi mbele, ikiwa baba au mama anaweza tangulia mbele za haki kuna haja ya kila mmoja kujiandaa kusimama kwa miguu yake mwenyewe pindi mwenzie akiwa hayupo.

Mnawaza mapenzi tu muda wote wakati kuna mambo ya msingi kwenye familia ya kufikiria.

Au wenzetu mna life insurance?
 
Back
Top Bottom