nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
- Thread starter
-
- #41
Una maisha ya kukalili,unatumia nafasi ipi ya kusema HayoKwa uliyo yaandika basi nachelea kusema kwamba mkeo anaishi kwa hofu kuu na hana amani na pengine amapitia manyanyaso makubwa zaidi
Wazae wawe mama wa nyumbani fullstop.Maana nyepesi kulinda ndoa basi mwanamke asisome, wala asijishughulishe na cheo chochote.
Haki yao ipo wapi?
Natumia uhuru wa kutoa maoni kutikana na kile ilicho kiandika wewe kwa utashi wako na pasipo kushikiwa upanga.Una maisha ya kukalili,unatumia nafasi ipi ya kusema Hayo
🤣🤣🤐Natumia uhuru wa kutoa maoni kutikana na kile ilicho kiandika wewe kwa utashi wako na pasipo kushikiwa upanga.
Sawa wakongwe wa jf ,mna ujuaji mwingi sana.Natumia uhuru wa kutoa maoni kutikana na kile ilicho kiandika wewe kwa utashi wako na pasipo kushikiwa upanga.
Lazima uwe na hitimisho hatuko kwenye hiyo jamii mkuu.Wazae wawe mama wa nyumbani fullstop.
Sawa.mawazo yako yaliyoyeyukaMawazo mgando
Hapa nilipo Kuna mmoja kaolewa juzi yupo 27 Tena ni mtu wa dini sana na mpole..ila have wengine Kuna aliyeolewa 35 akiwa ni single mother tayar ..ila Kuna kundi kama 6 wanazunguka tu hapa kwanza wana sura za makasiriko na hasira za haraka wako harsh sanaLoo umegonga penyewe kabisa jamaaa.Hapa nilipo wanawake wengi walioajiliwa ni ma single mothers.
Hawa viumbe wakipata pesa huwa na kiburi na dharau sana kwa waume zao.
Kwa maoni yangu ni bora kuoa mwanamke aliyeishia darasa la saba kuliko Hawa wasomi utajuta ukiwakimbilia hawa watu.
Kwa kifupi Mwanamke akiwa na power kumzidi mwanaume chances are hiyo ndoa itaparaganyikaHabari za jioni, tunashukuru Mungu kwa uzima aliotupa.
Katika ulimwengu huu tunaoishi katika dunia ya utandawazi ambayo imeonekana imejitosheleza katika kila sekta, ila kuna taasisi moja kubwa sana ambayo ni Nndoa, taasisi hii inaundwa na mwanamke na mwanaume matokeo ya muda mrefu hadi mfupi uzalisha kiumbe (mtoto).
Ila Tukirudi katika jamii ya sasa imeonekana ndoa nyingi sana zinazofungwa hazidumu kwa muda mrefu sana na hakuna sababu za msingi kwa kuwa kila mtu anajaribu kutoa sababu kwa mitazamo wake anaona ni sahihi maana hadi muda huu hakuna utafiti wa moja kwa moja uliofanyika na ukaleta majibu ya moja kwa moja sababu ya ndoa kuvunjika.
Katika hhapisho hili nitaweka mambo matatu ambayo kama mwanamke akipata ni ngumu sana ndoa yake kudumu kwa muda mrefu.
Jambo la kwanza Elimu
Hili jambo la kwanza inapotokea mwanamke akapata elimu na akashindwa kuitumia basi ni ngumu sana kudumu katika ndoa yake. Elimu ni jambo la msingi sana katika dunia ya sasa pasipo kuzingatia misingi ya kijinsia kama ilivyokuwa inafanyika awali ambapo mwanaume ndio alikuwa anapewa kipaumbele katika hili.
Ila kwa sasa tuna wasomi wengi sana ambayo ni jinsia ya kike lakini inapotokea mahusiano ya ndoa yanahusishwa katika msingi ya Elimu ni ngumu sana kwa jinsia ya kike kuweza kuisimamia, hali ya Kufahamu kila kitu, hali ya kujiona kipekee, hali ya kutaka kuthaminiwa, imewafanya wanawake waweke hali hii katika ndoa zao na kupelekea ndoa nyingi kuvunjika kwa ndoa.
Jambo la pili Cheo/Wadhifa
Mara nyingi inapotokea mwanamke anapopata nafasi katika eneo la kazi au cheo chochote katika masuala ya kisiasa inatokea ugumu sana kuweza kutofautisha majukumu yanayotokea kati ya anapokuwa katika eneo la kutekeleza majukumu ya cheo chake na anapokuwa katika majukumu ya ndoa yake.
Na inapotokea inabainika na kichwa cha familia ambaye ni mwanaume, basi unatokea mtafaruku na hali ya kujiona anajitosheleza katika kila kitu ndipo uonekana hapo. Hivyo husababisha mtafaruku na ndoa kushindwa kudumu.
Jambo la tatu Pesa
Kwa maisha ya sasa kuna umuhimu mkubwa sana wa wanandoa kumiliki pesa na kuwa na uchumi wa uhakika, ila kwa mwanamke hali inakuwa tofauti sana inapotokea ana kipato kikubwa kuliko mumewe.
Ni wanawake wachache wanaweza kuendeleza heshima pindi wanapokuwa vizuri kiuchumi. Mwanamke analomiliki pesa ya kutosha katika kila kitu hali ya kujihisi anajitosheleza inajitokeza na anadhani anaweza kuishi katika hali yoyote ile pasipo na mwanaume yeyote yule, hivyo upelekea kushindwa kumuheshimu mume wake.
Hitimisho
Siyo muafaka ya kuwa wanawake wakiwa na hivi vitu hawadumu kwa ndoa, ila kwa asilimia kubwa inakuwa hivi.
Niwatakie majukumu mema ya kazi kesho.
Mbona “mwalimu “😂Pesa ya mwanamke isipokusaidia kwenye kujenga nyumba ya kuishi, pesa hiyo haitakaa ikusaidie kwenye 'jambo lolote lile'.
In other words, kama umekwisha jenga nyumba ya kuishi ukiwa bachela, huna haja ya kuoa mwanamke msomi/ mwenye pesa. Oa tu mtoto wa std 7 au form four failure au mwalimu... uta enjoy maisha!
Utaoaje mwanamke anaekuzid akili.Habari za jioni, tunashukuru Mungu kwa uzima aliotupa.
Katika ulimwengu huu tunaoishi katika dunia ya utandawazi ambayo imeonekana imejitosheleza katika kila sekta, ila kuna taasisi moja kubwa sana ambayo ni Nndoa, taasisi hii inaundwa na mwanamke na mwanaume matokeo ya muda mrefu hadi mfupi uzalisha kiumbe (mtoto).
Ila Tukirudi katika jamii ya sasa imeonekana ndoa nyingi sana zinazofungwa hazidumu kwa muda mrefu sana na hakuna sababu za msingi kwa kuwa kila mtu anajaribu kutoa sababu kwa mitazamo wake anaona ni sahihi maana hadi muda huu hakuna utafiti wa moja kwa moja uliofanyika na ukaleta majibu ya moja kwa moja sababu ya ndoa kuvunjika.
Katika hhapisho hili nitaweka mambo matatu ambayo kama mwanamke akipata ni ngumu sana ndoa yake kudumu kwa muda mrefu.
Jambo la kwanza Elimu
Hili jambo la kwanza inapotokea mwanamke akapata elimu na akashindwa kuitumia basi ni ngumu sana kudumu katika ndoa yake. Elimu ni jambo la msingi sana katika dunia ya sasa pasipo kuzingatia misingi ya kijinsia kama ilivyokuwa inafanyika awali ambapo mwanaume ndio alikuwa anapewa kipaumbele katika hili.
Ila kwa sasa tuna wasomi wengi sana ambayo ni jinsia ya kike lakini inapotokea mahusiano ya ndoa yanahusishwa katika msingi ya Elimu ni ngumu sana kwa jinsia ya kike kuweza kuisimamia, hali ya Kufahamu kila kitu, hali ya kujiona kipekee, hali ya kutaka kuthaminiwa, imewafanya wanawake waweke hali hii katika ndoa zao na kupelekea ndoa nyingi kuvunjika kwa ndoa.
Jambo la pili Cheo/Wadhifa
Mara nyingi inapotokea mwanamke anapopata nafasi katika eneo la kazi au cheo chochote katika masuala ya kisiasa inatokea ugumu sana kuweza kutofautisha majukumu yanayotokea kati ya anapokuwa katika eneo la kutekeleza majukumu ya cheo chake na anapokuwa katika majukumu ya ndoa yake.
Na inapotokea inabainika na kichwa cha familia ambaye ni mwanaume, basi unatokea mtafaruku na hali ya kujiona anajitosheleza katika kila kitu ndipo uonekana hapo. Hivyo husababisha mtafaruku na ndoa kushindwa kudumu.
Jambo la tatu Pesa
Kwa maisha ya sasa kuna umuhimu mkubwa sana wa wanandoa kumiliki pesa na kuwa na uchumi wa uhakika, ila kwa mwanamke hali inakuwa tofauti sana inapotokea ana kipato kikubwa kuliko mumewe.
Ni wanawake wachache wanaweza kuendeleza heshima pindi wanapokuwa vizuri kiuchumi. Mwanamke analomiliki pesa ya kutosha katika kila kitu hali ya kujihisi anajitosheleza inajitokeza na anadhani anaweza kuishi katika hali yoyote ile pasipo na mwanaume yeyote yule, hivyo upelekea kushindwa kumuheshimu mume wake.
Hitimisho
Siyo muafaka ya kuwa wanawake wakiwa na hivi vitu hawadumu kwa ndoa, ila kwa asilimia kubwa inakuwa hivi.
Niwatakie majukumu mema ya kazi kesho.