Mwanamke aliniharibia kabisa maisha yangu, hawa viumbe hatari sana

Mwanamke aliniharibia kabisa maisha yangu, hawa viumbe hatari sana

WaNawake ndio zenu hizo, you always think grasses greener on the other side. Hizo vurugu zote alishapata kabwana kengine ambako kana muhonga hela ilihali mumewe hana ata senti 10.

Ndio maana mwanamke mwenye tabia ya njaa simpendagi. Hata awe na hela hio tabia ako nayo tu. Salama ni kutembea na mwanamke mwenye independent lifestyle huyo ndio akikupenda anakuwa real sio tapeli.
Unakuta mwanamke anafanya kazi hachangii hata kumi nyumbani nampaka hela ya mafuta anaomba, huu ni ubinafsi wa hali ya juu. Mtu kama huyo ambaye hajazoea kuchangia majukumu ya familia siku mume akichacha lazima atamkimbia maana amezoea kuhudumiwa kwa kila kitu.

Mimi huo ukupe siutaki kabisa
Baba yangu alikuwa mwalimu, na mama alikuwa anafanya biashara ndogo ndogo, lakini tuliona mchango mkubwa sana wa mama. Yeye suala la mboga na mahitaji madogo madogo ilikuwa juu yake, baba yeye mausala ya ada na chakula kingine . Tumekuwa na hiyo dhana ya kujitegemea. Dada zangu wote walianza na waume wao wakiwa na hali ya chini kabisa , lakini walihakikisha wanachangia kwenye ustawi wa familia mpaka leo hii. Na wana maisha safi kabisa.

Mimi tu ndie nilipata bahati mbaya nikaangukia kwa gumegume.
 
Wakuu mu hali gani? Nashukuru mie mzima wa afya.

Kuna kisa nimekuwa nacho kwa muda mrefu, sikuwahi kushare humu. Niliandika kiufupi tu ila naona ni vizuri nikashare kwa ukubwa ili tupate kujifunza na wengine.

Sikuwahi kujua kama mwanamke anaweza kuwa chanzo cha kuharibika kwa maisha ya mtu, inawezekana ni sababu ya mapenzi anayokupa kabla mambo hayajaharibika, unaona kwa upendo anaokuonyesha hawezi akawa mbaya kwako.

Ni miaka kadhaa imepita, baada ya kumaliza kusoma nilibahatika kupata mkataba kufanya kazi kampuni X. Baada ya maisha kuanza kuwa kwenye mstari niliingia kwenye mahusiano na dada mmoja mrembo sana, mkarimu na mwenye kujali.

Familia aliyotokea ilikuwa ni ya kawaida tu, ilipambana kumsomesha lakini haikumfikisha kwenye level ya ndoto zake kulingana na hali ya kipato. Kwakuwa nilimpenda sana, nilifanya taratibu za kutaka kumuoa. Nilienda kwao nikatoa kiasi fulani cha pesa ili niishi na mtoto wao. Walinikubalia, tena kwa furaha kubwa sana. Kiasi cha mahari sikutoa chote, niliahidi nitamalizia baada ya muda fulani. Hilo likafanikiwa.

Nilimpenda sana binti, nae alirespond the same. In short niliona nimepata furaha ya moyo, tukapata mtoto wa kiume na kweli nilienjoy.

Siku zote Binti alikuwa akinieleza kwa uchungu namna alivyotamani kusoma ila uwezo wa kifedha haukuruhusu, huku akisisitiza bado anatamani kufikia lengo. Sikuona vibaya, kwakuwa tayari ni mke kwangu nikampeleka Chuo husika cha fani husika nikalipa ada na akaanza rasmi kusoma.

Siku hazikukawia alimaliza. Baada ya kumaliza tu, akawa amepata kazi pia kwenye shirika moja lisilo la kiserikali hapahapa mjini. Tuliendelea kuishi kwa furaha kama kawaida.

Kuna changamoto ilikuja kutokea pale kazini kwangu ambayo sitoitaja hapa, ilipelekea mimi na wafanyakazi wengine Watatu kupoteza kazi. Hapa ndipo mambo yalipoanza kuzua utofauti. Nilipambana sana kufix hilo jambo sababu limekuja ghafla sana pasipo mategemeo, ilikuwa ni case kubwa iliyopelekea kuyumba kuanzia uchumi hadi mahusiano. Nilipoteza sana fedha kwenye kufix hilo ila hakukuwa na mafanikio.

Rasmi nikaanza kuonekana mzigo kwa familia yangu. Sikuweza tena kutoa huduma kama ilivyokuwa mwanzo, nikashindwa kuyamudu majukumu yangu kama awali. Ilibidi mwanamke aanze kufukia baadhi ya mapungufu sasa sababu hakukuwa na namna.

Msiombe kufikia hatua hii wakuu, ni fedheha sana. Nilianza kudharaulika na mwanamke. Maneno yakawa mengi, ikafikia hatua akawaambia hadi kwao kuwa amechoka kuwa na mwanaume asiye na mchango wowote. Wazazi nao wakasahau kabisa hata mazuri yangu, wakaanza kumshinikiza aondoke kwangu. Akawa mjeuri na kunitishia kuondoka aone ntaishije, ina maana ninaishi sababu yake, bila yeye ntateseka sana.

Kuna pesa nilikuwa nikiihifadhi sehemu sikutaka kuigusa kwa hali yoyote ile sababu nilikuwa na lengo la kuja kufungua biashara. Pesa hiyo ilikuwa ni nje na akiba ambayo niliitumia kufix mambo ya kazini. Nilipoona nimeshindwa kuvumilia fedheha na maneno ndani, ikabidi nianze kuitumia kutafuta kazi nyingine kwa kuhonga sehemu tofauti tofauti ili niingizwe kwenye kazi kivyovyote, nadhani hapa nilifanya kosa kubwa.

Ni kwakuwa akili haikuwaza kwa utulivu, nilitaka solution ya haraka kumbe ndio naharibu. Nilijikuta napoteza hela zaidi na zaidi pasipo mafanikio. Nikaanza kuchanganyikiwa baada ya kuona hela ya mwisho ndio naiharibu vile bila mafanikio. Nilianza kukonda sasa. Mke hakunizingatia tena kama mumewe, nikawa rough sababu hanijali.

Kilipobaki kiasi kidogo nikaona sio kesi, ngoja nijilipue kwenda mikoani huko kupambana upya sababu kwa pale ingekuwa ngumu kwangu. Nikaacha kiasi kadhaa kwa wife nikamwambia naenda kupambana, nitarudi. Nikatembea.

Hazikupita hata siku tano tangu niondoke, nikaanza kupokea simu za majirani kuuliza mbona ninahama kimyakimya? Ikawa taarifa ya kushangaza sana kwangu, sababu sitambui hilo. Nikampigia simu wife, akadai anaondoka zake. Hawezi kukaa na mtu asiyeeleweka, eti hata akiugua serious mtoto au yeye au changamoto yoyote kubwa nitawasaidia vipi.

Aisee nililia, sikujua hata wapi anaelekea. Nikapiga simu kwao ila ni kama hakuna aliejali, ni kama walikuwa sehemu ya mpango huo. Nikapiga simu Nyumbani kumueleza mama na baba, kwakuwa walikuwa wanajua fukuto lililokuwepo kwangu tangu nipoteze kazi waliishia kunipa pole na kuniambia nikaze moyo, wala nisihangaike nae huyo mwanamke. Nipotezee tu. Ilikuwa ngumu. Hata nilipoenda sikufanya kilichonipeleka. Niliishia kurudi tena kwangu, nikakuta kimesombwa kila kitu. Hii isikie tu kwa mwenzako, hapo sina hata mia.

Hapo ndipo nikaamini ukipoteza kazi hakuna wa kuhangaika na wewe. Utapoteza kila kitu. Nilipoteza kuanzia mke, mali zangu na hata wale marafiki niliowahi kuwa nao sio nyumbani wala kazini. Niliishia kusemwa tu na hakuna aliyejaribu kunisaidia.

Naweza sema nilikuwa kama nimewehuka, nilikuwa mchafu, mzururaji, full kulia tu. Nilijuta kumjua yule mwanamke, sababu sidhani kama kupoteza kazi ndio alitakiwa kunifanyia vile. Alipaswa awe faraja yangu, atulize akili yangu ili niwaze kwa utulivu namna ya kupata tena kazi ila ndio akanivuruga nikarudi hadi zero tena.

Nilikaa almost 7 Months kwenye hali ile. Watu walijua nimeshachanganyikiwa japo mimi nilijua niko sawa kabisa. Hawakunizingatia isipokuwa wazazi wangu, nawashukuru sana. Sikukata tamaa.

Nilikuja kupata kazi kampuni nyingine kwenye Mradi wa Bwawa la Rufiji. Nilijiapiza kupiga kazi kwa uchungu sana. Nimefanya kwa takribani mwaka na nusu hadi kufikia mwezi wa nane mwaka huu nikamaliza. Nimerudisha maisha yangu kwenye mstari kabisa. Nina furaha na nguvu nyingi.

Muda wa kumaliza kule ulipokaribia, ni kama mwezi wa tano nilituma CV zangu jijini Mwanza kwenye kampuni moja ya ujenzi ambayo majibu yake yametoka almost 3 weeks ago na sasa nipo huku napiga kazi.

Kilichobaki ni mwanangu tu kumpata, sababu yule mwanamke nasikia yupo Uganda kwa sasa.
Pole sana, nimeisoma huku maumivu yakiniingia kama mimi ndio wewe vile.

Mtu umemtoa shimoni then anakuacha ukijikwaa bila kukuinua.

Hongera sana kwa kupambana na kuinuka tena. Mungu akutangulie.
 
Title inasema mwanamke kakuharibia maisha…

Ila ndani ni kama kuna wizi ulishiriki huko ofisni kwenu wakawatimua. Haya maofisi hakuna dhambi mbaya kama ya wizi.

Nyakati ngumu mara zote ndio zinatudhihirishia ni watu gani tumewahold… hata we waweza kuwa mfano mbaya katika nyakati ngumu ya fulani. Kwa kifupi tu, tumuombe Mungu atuepushe na hizo nyakati ngumu.

Kwa huyo dada nae hakufanya vyema kukukimbia. Ona ushajipata now akisikia atabaki na muhaho.
Sasa mwanamke asingesomba kila kiti ndani jamaa angepata pa kuanzia
 
Sijaona alichokufsnyia mwanamke hapo, kwanza, ulipoteza kazi, then ndio mwanamke akaanza vituko,akaondoka, sasa hapo bro! Chanzo sio mwanamke! Aliyoyafsnya ni matokeo ya wewe kupoteza kazi!
Angefanya vitu ambavyo vingeperekea wewe kuyumba hapo sawa, mfano, unamsomesha, anamaliza, anakimbia nyumba, anachukuliwa na njemba nyingine, na unagundua hata mtoto sio wako, unachanganyikiwa, ufanisi kazini unashuka! Then unapoteza kazi!
Lakini ulianza kupoteza kazi, mengine yakafata,sasa ulitegemea ni ni? Sio binadamu wote wanavumili shida, mi Bora Yule atakae nikimbia akaniachia watoto, kuliko abaki, aendelee kunisimanga, huku anapigwa pipe na wenye mishiko Yao kitaa,
 
Kwa kifupi nachoona huyo mkeo hakuwa chaguo lako! Wala wewe hukuwa chaguo lake!
Alikubali kuolewa na wewe ili atimize lengo lake la kusoma! Baada ya kutimiza malengo yake huenda bado angekuacha au angekuendesha anavyotaka!
Ndiyo hapo mnapoambiwa "Usioe Sura Oa mke"!
Anyway, hata hivyo bado machoni pa Mungu ni mkeo! Sahau yote ukimpata anza naye upya!
Changamoto iliyopo sisi kwetu wanaume, Kutokuwa na kazi siyo excuse ya kutotunza familia yako.Hilo wake zetu hawalitambui! Wanatuchekea kama tunaleta sukari, Unga, mchele,Mafuta, nk ndani ya nyumba! Ole wako vikosekane ndani UTAJUTA.
Sijui hata nikuite jina gani baya
 
Unakuta mwanamke anafanya kazi hachangii hata kumi nyumbani nampaka hela ya mafuta anaomba, huu ni ubinafsi wa hali ya juu. Mtu kama huyo ambaye hajazoea kuchangia majukumu ya familia siku mume akichacha lazima atamkimbia maana amezoea kuhudumiwa kwa kila kitu.

Mimi huo ukupe siutaki kabisa
Baba yangu alikuwa mwalimu, na mama alikuwa anafanya biashara ndogo ndogo, lakini tuliona mchango mkubwa sana wa mama. Yeye suala la mboga na mahitaji madogo madogo ilikuwa juu yake, baba yeye mausala ya ada na chakula kingine . Tumekuwa na hiyo dhana ya kujitegemea. Dada zangu wote walianza na waume wao wakiwa na hali ya chini kabisa , lakini walihakikisha wanachangia kwenye ustawi wa familia mpaka leo hii. Na wana maisha safi kabisa.

Mimi tu ndie nilipata bahati mbaya nikaangukia kwa gumegume.
Dah gume gume sio mchezo mkuu, mwanamke lazma awe na mchango kiuchumi na kijamii katika kukuza na kuendeleza kizazi cha familia husika.

Kuendekeza ubinafsi ndio kunaua dhana nzima ya ndoa. Mtu kujifanya yeye ni malkia eti alishwe avishwe na kupewa hela by 100% bila yeye ku engage kwa namna yeyote ndio kunaleta matatizo endapo sponsor mrija wa hela ukikata.

Ukiwa na vyanzo na neema hela haisumbui utaona maisha marahisi sana na unaweza oa mke yeyote tu ambaye macho yako yanavutiwa naye ila ukiwaza deep juu ya maisha yajayo utakuwa very keen kuchagua mwanamke ambaye ni sahihi kwa shida na raha na malezi bora ya watoto wako. Kwa bahati mbaya wengi hili wanaligundua mambo yakishaharibika.
 
Wakuu mu hali gani? Nashukuru mie mzima wa afya.

Kuna kisa nimekuwa nacho kwa muda mrefu, sikuwahi kushare humu. Niliandika kiufupi tu ila naona ni vizuri nikashare kwa ukubwa ili tupate kujifunza na wengine.

Sikuwahi kujua kama mwanamke anaweza kuwa chanzo cha kuharibika kwa maisha ya mtu, inawezekana ni sababu ya mapenzi anayokupa kabla mambo hayajaharibika, unaona kwa upendo anaokuonyesha hawezi akawa mbaya kwako.

Ni miaka kadhaa imepita, baada ya kumaliza kusoma nilibahatika kupata mkataba kufanya kazi kampuni X. Baada ya maisha kuanza kuwa kwenye mstari niliingia kwenye mahusiano na dada mmoja mrembo sana, mkarimu na mwenye kujali.

Familia aliyotokea ilikuwa ni ya kawaida tu, ilipambana kumsomesha lakini haikumfikisha kwenye level ya ndoto zake kulingana na hali ya kipato. Kwakuwa nilimpenda sana, nilifanya taratibu za kutaka kumuoa. Nilienda kwao nikatoa kiasi fulani cha pesa ili niishi na mtoto wao. Walinikubalia, tena kwa furaha kubwa sana. Kiasi cha mahari sikutoa chote, niliahidi nitamalizia baada ya muda fulani. Hilo likafanikiwa.

Nilimpenda sana binti, nae alirespond the same. In short niliona nimepata furaha ya moyo, tukapata mtoto wa kiume na kweli nilienjoy.

Siku zote Binti alikuwa akinieleza kwa uchungu namna alivyotamani kusoma ila uwezo wa kifedha haukuruhusu, huku akisisitiza bado anatamani kufikia lengo. Sikuona vibaya, kwakuwa tayari ni mke kwangu nikampeleka Chuo husika cha fani husika nikalipa ada na akaanza rasmi kusoma.

Siku hazikukawia alimaliza. Baada ya kumaliza tu, akawa amepata kazi pia kwenye shirika moja lisilo la kiserikali hapahapa mjini. Tuliendelea kuishi kwa furaha kama kawaida.

Kuna changamoto ilikuja kutokea pale kazini kwangu ambayo sitoitaja hapa, ilipelekea mimi na wafanyakazi wengine Watatu kupoteza kazi. Hapa ndipo mambo yalipoanza kuzua utofauti. Nilipambana sana kufix hilo jambo sababu limekuja ghafla sana pasipo mategemeo, ilikuwa ni case kubwa iliyopelekea kuyumba kuanzia uchumi hadi mahusiano. Nilipoteza sana fedha kwenye kufix hilo ila hakukuwa na mafanikio.

Rasmi nikaanza kuonekana mzigo kwa familia yangu. Sikuweza tena kutoa huduma kama ilivyokuwa mwanzo, nikashindwa kuyamudu majukumu yangu kama awali. Ilibidi mwanamke aanze kufukia baadhi ya mapungufu sasa sababu hakukuwa na namna.

Msiombe kufikia hatua hii wakuu, ni fedheha sana. Nilianza kudharaulika na mwanamke. Maneno yakawa mengi, ikafikia hatua akawaambia hadi kwao kuwa amechoka kuwa na mwanaume asiye na mchango wowote. Wazazi nao wakasahau kabisa hata mazuri yangu, wakaanza kumshinikiza aondoke kwangu. Akawa mjeuri na kunitishia kuondoka aone ntaishije, ina maana ninaishi sababu yake, bila yeye ntateseka sana.

Kuna pesa nilikuwa nikiihifadhi sehemu sikutaka kuigusa kwa hali yoyote ile sababu nilikuwa na lengo la kuja kufungua biashara. Pesa hiyo ilikuwa ni nje na akiba ambayo niliitumia kufix mambo ya kazini. Nilipoona nimeshindwa kuvumilia fedheha na maneno ndani, ikabidi nianze kuitumia kutafuta kazi nyingine kwa kuhonga sehemu tofauti tofauti ili niingizwe kwenye kazi kivyovyote, nadhani hapa nilifanya kosa kubwa.

Ni kwakuwa akili haikuwaza kwa utulivu, nilitaka solution ya haraka kumbe ndio naharibu. Nilijikuta napoteza hela zaidi na zaidi pasipo mafanikio. Nikaanza kuchanganyikiwa baada ya kuona hela ya mwisho ndio naiharibu vile bila mafanikio. Nilianza kukonda sasa. Mke hakunizingatia tena kama mumewe, nikawa rough sababu hanijali.

Kilipobaki kiasi kidogo nikaona sio kesi, ngoja nijilipue kwenda mikoani huko kupambana upya sababu kwa pale ingekuwa ngumu kwangu. Nikaacha kiasi kadhaa kwa wife nikamwambia naenda kupambana, nitarudi. Nikatembea.

Hazikupita hata siku tano tangu niondoke, nikaanza kupokea simu za majirani kuuliza mbona ninahama kimyakimya? Ikawa taarifa ya kushangaza sana kwangu, sababu sitambui hilo. Nikampigia simu wife, akadai anaondoka zake. Hawezi kukaa na mtu asiyeeleweka, eti hata akiugua serious mtoto au yeye au changamoto yoyote kubwa nitawasaidia vipi.

Aisee nililia, sikujua hata wapi anaelekea. Nikapiga simu kwao ila ni kama hakuna aliejali, ni kama walikuwa sehemu ya mpango huo. Nikapiga simu Nyumbani kumueleza mama na baba, kwakuwa walikuwa wanajua fukuto lililokuwepo kwangu tangu nipoteze kazi waliishia kunipa pole na kuniambia nikaze moyo, wala nisihangaike nae huyo mwanamke. Nipotezee tu. Ilikuwa ngumu. Hata nilipoenda sikufanya kilichonipeleka. Niliishia kurudi tena kwangu, nikakuta kimesombwa kila kitu. Hii isikie tu kwa mwenzako, hapo sina hata mia.

Hapo ndipo nikaamini ukipoteza kazi hakuna wa kuhangaika na wewe. Utapoteza kila kitu. Nilipoteza kuanzia mke, mali zangu na hata wale marafiki niliowahi kuwa nao sio nyumbani wala kazini. Niliishia kusemwa tu na hakuna aliyejaribu kunisaidia.

Naweza sema nilikuwa kama nimewehuka, nilikuwa mchafu, mzururaji, full kulia tu. Nilijuta kumjua yule mwanamke, sababu sidhani kama kupoteza kazi ndio alitakiwa kunifanyia vile. Alipaswa awe faraja yangu, atulize akili yangu ili niwaze kwa utulivu namna ya kupata tena kazi ila ndio akanivuruga nikarudi hadi zero tena.

Nilikaa almost 7 Months kwenye hali ile. Watu walijua nimeshachanganyikiwa japo mimi nilijua niko sawa kabisa. Hawakunizingatia isipokuwa wazazi wangu, nawashukuru sana. Sikukata tamaa.

Nilikuja kupata kazi kampuni nyingine kwenye Mradi wa Bwawa la Rufiji. Nilijiapiza kupiga kazi kwa uchungu sana. Nimefanya kwa takribani mwaka na nusu hadi kufikia mwezi wa nane mwaka huu nikamaliza. Nimerudisha maisha yangu kwenye mstari kabisa. Nina furaha na nguvu nyingi.

Muda wa kumaliza kule ulipokaribia, ni kama mwezi wa tano nilituma CV zangu jijini Mwanza kwenye kampuni moja ya ujenzi ambayo majibu yake yametoka almost 3 weeks ago na sasa nipo huku napiga kazi.

Kilichobaki ni mwanangu tu kumpata, sababu yule mwanamke nasikia yupo Uganda kwa sasa.
Huko mbele sitakuwa na muda mzuri kusoma michango yote.Ila kwanza nakupa pole na nakusifu kwa namna ulivyo na ufasaha wa kueleza kisa kirefu kwa njia nyepesi na kueleweka.
Kwa mtiririko uliokuja nao naamini mkasa wako kwa asilimia 95.Ama kuhusu wanawake ni kuwa kwa asilimia 90 huwa wanafanana katika kupenda mafanikio tu na kuwa ni wepesi wa kusahau inapokuja shida.Matusi na fedheha na vitisho ni kitu cha kawaida.
Jambo zuri kwako ni kuwa ulibaki na uhusiano mzuri na familia yako yaani wazazi wako na wao wakawa ni watu wa busara.Kama ingekuwa hukuwa na ukaribu na wazazi basi ungekuwa mwehu moja kwa moja,
Sasa nikuoneshe ulipokosea.Japo hukusema matatizo ya kazini kwako ni yepi lakini inaonekana huna uaminifu sana kazini kwako na ni mtu unayependa rushwa na huenda kwa mtindo wa rushwa uliwahi kudhulumu haki za wengine.Yale yaliyokupata ni matokeo ya masononeko ya uliowadhulumu.
Jengine ulianza mahusiano mabaya na huyo mke wako.Nimepata jibu la dini yako ni ipi.Ili upate baraka na utulivu kwenye ndoa basi usimguse mwenzako mpaka ndoa imeshafungwa.
Huko kazini uliko sasa jitahidi sana kuwa na uhusiano mzuri na wakubwa wako wa kazi.Na ukiona mwengine atakayekupendeza au atakayekufuata kijanja kwa kukupenda(hili la kufatwa na wanawake miaka hii ni maarufu sana) hata akiwa mzuri vipi fuata taratibu za kufunga naye ndoa kwanza.
Nakutakia maisha mema na mwisho mwema.
 
Eeh hiyo ndio inaotwa " when poverty enters through the door love escapes through the window" brother. Hawa wanawake nakwambia ni mama zetu na dada zetu ila ni mashetani kabisaaaa.
They are soo selfish. Yaani ni wakugegeda tuu na kutupa kule usijaribu kabisa kuwakumbatia utaumia sana. Mwenzio niliambuliwa kuambiwa "huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni"
Ila sasa bwana ukweli usemwe tuu....mbususu zao tamuuuuuu hizooooo.
Hahahahahah mzee baba hio phrase ilikukong'oli kwelo kwelo kunako mtima 🤣
 
Ambaye hajawahi kuishi na mwanamke akiwa na dhiki hawezi elewa. Ile mikauli ya kejeli na dharau na kukuona kama ng'ombe tu hizo ni kwa uchache tu akichafukwa zaidi anaweza enda hata kutombesha mkoani huko kwa safari zisizo na kichwa wala miguu na hutakiwi kuuliza kitu 🤣🤣🤣
Hao wanao achana nao hawakupitia michakato?

Mwanamke ni kiumbe kingine likija suala la kuyumba kiuchumib
 
Hili sio geni na nikupongeze kwa kuwa mtu mwenye bahati sana sababu wanawake wameumbiwa uvumilivu ila kwa kizazi cha facebook hiki ni ngumu sana mwanamke kuvumilia shida.

Wanawake wako very exposed na utanadawazi na starehe kiasi kwamba sign yeyote inayoashiria starehe inaelekea tamati huwa inawavuruga kishenzi. Sign mojawapo ni kusikia sponsor kafukuzwa kazi yani, hapo maana yake hela hamna tena na bata zimekufa. 🤣
Usiwasemee wanawake wote mbona wangu hayuko hivyo, niliyumba mpaka tukawa tunashindia maji lakini niko nae, nimenyanyuka bado niko nae na ana qualities zilezile hajabadilika. Kama mkeo anabadilika ukiyumba basi huyo sio mkeo unatunza mke wa mwenzio, mwanamke akikubali kukutii atakubali yote ikiwemo hali mbaya ya kifedha.
 
Ambaye hajawahi kuishi na mwanamke akiwa na dhiki hawezi elewa. Ile mikauli ya kejeli na dharau na kukuona kama ng'ombe tu hizo ni kwa uchache tu akichafukwa zaidi anaweza enda hata kutombesha mkoani huko kwa safari zisizo na kichwa wala miguu na hutakiwi kuuliza kitu 🤣🤣🤣
Haswaa. Kama mtu amepata mtu wa kula naye mkate na maji basi ashukuru
 
Hili sio geni na nikupongeze kwa kuwa mtu mwenye bahati sana sababu wanawake wameumbiwa uvumilivu ila kwa kizazi cha facebook hiki ni ngumu sana mwanamke kuvumilia shida.

Wanawake wako very exposed na utanadawazi na starehe kiasi kwamba sign yeyote inayoashiria starehe inaelekea tamati huwa inawavuruga kishenzi. Sign mojawapo ni kusikia sponsor kafukuzwa kazi yani, hapo maana yake hela hamna tena na bata zimekufa. 🤣
Naunga mkono hoja yako mkuu 100%
 
Wakuu mu hali gani? Nashukuru mie mzima wa afya.

Kuna kisa nimekuwa nacho kwa muda mrefu, sikuwahi kushare humu. Niliandika kiufupi tu ila naona ni vizuri nikashare kwa ukubwa ili tupate kujifunza na wengine.

Sikuwahi kujua kama mwanamke anaweza kuwa chanzo cha kuharibika kwa maisha ya mtu, inawezekana ni sababu ya mapenzi anayokupa kabla mambo hayajaharibika, unaona kwa upendo anaokuonyesha hawezi akawa mbaya kwako.

Ni miaka kadhaa imepita, baada ya kumaliza kusoma nilibahatika kupata mkataba kufanya kazi kampuni X. Baada ya maisha kuanza kuwa kwenye mstari niliingia kwenye mahusiano na dada mmoja mrembo sana, mkarimu na mwenye kujali.

Familia aliyotokea ilikuwa ni ya kawaida tu, ilipambana kumsomesha lakini haikumfikisha kwenye level ya ndoto zake kulingana na hali ya kipato. Kwakuwa nilimpenda sana, nilifanya taratibu za kutaka kumuoa. Nilienda kwao nikatoa kiasi fulani cha pesa ili niishi na mtoto wao. Walinikubalia, tena kwa furaha kubwa sana. Kiasi cha mahari sikutoa chote, niliahidi nitamalizia baada ya muda fulani. Hilo likafanikiwa.

Nilimpenda sana binti, nae alirespond the same. In short niliona nimepata furaha ya moyo, tukapata mtoto wa kiume na kweli nilienjoy.

Siku zote Binti alikuwa akinieleza kwa uchungu namna alivyotamani kusoma ila uwezo wa kifedha haukuruhusu, huku akisisitiza bado anatamani kufikia lengo. Sikuona vibaya, kwakuwa tayari ni mke kwangu nikampeleka Chuo husika cha fani husika nikalipa ada na akaanza rasmi kusoma.

Siku hazikukawia alimaliza. Baada ya kumaliza tu, akawa amepata kazi pia kwenye shirika moja lisilo la kiserikali hapahapa mjini. Tuliendelea kuishi kwa furaha kama kawaida.

Kuna changamoto ilikuja kutokea pale kazini kwangu ambayo sitoitaja hapa, ilipelekea mimi na wafanyakazi wengine Watatu kupoteza kazi. Hapa ndipo mambo yalipoanza kuzua utofauti. Nilipambana sana kufix hilo jambo sababu limekuja ghafla sana pasipo mategemeo, ilikuwa ni case kubwa iliyopelekea kuyumba kuanzia uchumi hadi mahusiano. Nilipoteza sana fedha kwenye kufix hilo ila hakukuwa na mafanikio.

Rasmi nikaanza kuonekana mzigo kwa familia yangu. Sikuweza tena kutoa huduma kama ilivyokuwa mwanzo, nikashindwa kuyamudu majukumu yangu kama awali. Ilibidi mwanamke aanze kufukia baadhi ya mapungufu sasa sababu hakukuwa na namna.

Msiombe kufikia hatua hii wakuu, ni fedheha sana. Nilianza kudharaulika na mwanamke. Maneno yakawa mengi, ikafikia hatua akawaambia hadi kwao kuwa amechoka kuwa na mwanaume asiye na mchango wowote. Wazazi nao wakasahau kabisa hata mazuri yangu, wakaanza kumshinikiza aondoke kwangu. Akawa mjeuri na kunitishia kuondoka aone ntaishije, ina maana ninaishi sababu yake, bila yeye ntateseka sana.

Kuna pesa nilikuwa nikiihifadhi sehemu sikutaka kuigusa kwa hali yoyote ile sababu nilikuwa na lengo la kuja kufungua biashara. Pesa hiyo ilikuwa ni nje na akiba ambayo niliitumia kufix mambo ya kazini. Nilipoona nimeshindwa kuvumilia fedheha na maneno ndani, ikabidi nianze kuitumia kutafuta kazi nyingine kwa kuhonga sehemu tofauti tofauti ili niingizwe kwenye kazi kivyovyote, nadhani hapa nilifanya kosa kubwa.

Ni kwakuwa akili haikuwaza kwa utulivu, nilitaka solution ya haraka kumbe ndio naharibu. Nilijikuta napoteza hela zaidi na zaidi pasipo mafanikio. Nikaanza kuchanganyikiwa baada ya kuona hela ya mwisho ndio naiharibu vile bila mafanikio. Nilianza kukonda sasa. Mke hakunizingatia tena kama mumewe, nikawa rough sababu hanijali.

Kilipobaki kiasi kidogo nikaona sio kesi, ngoja nijilipue kwenda mikoani huko kupambana upya sababu kwa pale ingekuwa ngumu kwangu. Nikaacha kiasi kadhaa kwa wife nikamwambia naenda kupambana, nitarudi. Nikatembea.

Hazikupita hata siku tano tangu niondoke, nikaanza kupokea simu za majirani kuuliza mbona ninahama kimyakimya? Ikawa taarifa ya kushangaza sana kwangu, sababu sitambui hilo. Nikampigia simu wife, akadai anaondoka zake. Hawezi kukaa na mtu asiyeeleweka, eti hata akiugua serious mtoto au yeye au changamoto yoyote kubwa nitawasaidia vipi.

Aisee nililia, sikujua hata wapi anaelekea. Nikapiga simu kwao ila ni kama hakuna aliejali, ni kama walikuwa sehemu ya mpango huo. Nikapiga simu Nyumbani kumueleza mama na baba, kwakuwa walikuwa wanajua fukuto lililokuwepo kwangu tangu nipoteze kazi waliishia kunipa pole na kuniambia nikaze moyo, wala nisihangaike nae huyo mwanamke. Nipotezee tu. Ilikuwa ngumu. Hata nilipoenda sikufanya kilichonipeleka. Niliishia kurudi tena kwangu, nikakuta kimesombwa kila kitu. Hii isikie tu kwa mwenzako, hapo sina hata mia.

Hapo ndipo nikaamini ukipoteza kazi hakuna wa kuhangaika na wewe. Utapoteza kila kitu. Nilipoteza kuanzia mke, mali zangu na hata wale marafiki niliowahi kuwa nao sio nyumbani wala kazini. Niliishia kusemwa tu na hakuna aliyejaribu kunisaidia.

Naweza sema nilikuwa kama nimewehuka, nilikuwa mchafu, mzururaji, full kulia tu. Nilijuta kumjua yule mwanamke, sababu sidhani kama kupoteza kazi ndio alitakiwa kunifanyia vile. Alipaswa awe faraja yangu, atulize akili yangu ili niwaze kwa utulivu namna ya kupata tena kazi ila ndio akanivuruga nikarudi hadi zero tena.

Nilikaa almost 7 Months kwenye hali ile. Watu walijua nimeshachanganyikiwa japo mimi nilijua niko sawa kabisa. Hawakunizingatia isipokuwa wazazi wangu, nawashukuru sana. Sikukata tamaa.

Nilikuja kupata kazi kampuni nyingine kwenye Mradi wa Bwawa la Rufiji. Nilijiapiza kupiga kazi kwa uchungu sana. Nimefanya kwa takribani mwaka na nusu hadi kufikia mwezi wa nane mwaka huu nikamaliza. Nimerudisha maisha yangu kwenye mstari kabisa. Nina furaha na nguvu nyingi.

Muda wa kumaliza kule ulipokaribia, ni kama mwezi wa tano nilituma CV zangu jijini Mwanza kwenye kampuni moja ya ujenzi ambayo majibu yake yametoka almost 3 weeks ago na sasa nipo huku napiga kazi.

Kilichobaki ni mwanangu tu kumpata, sababu yule mwanamke nasikia yupo Uganda kwa sasa.
Pole sana chief na hongera kwa kusimama tena.

Ila huyo mwanao usimtelekeze ukamsahau kabisa kabisa, bado atahitaji msaada wa baba yake kipindi kijacho.
Kilichoharibu maisha yako ni kufukuzwa kazi. Hayo mengine ni matokeo tu
Word....
Kilicho kuharibua maisha siyo mwanamke ni kukosa kipato.
Word.....
 
Huko mbele sitakuwa na muda mzuri kusoma michango yote.Ila kwanza nakupa pole na nakusifu kwa namna ulivyo na ufasaha wa kueleza kisa kirefu kwa njia nyepesi na kueleweka.
Kwa mtiririko uliokuja nao naamini mkasa wako kwa asilimia 95.Ama kuhusu wanawake ni kuwa kwa asilimia 90 huwa wanafanana katika kupenda mafanikio tu na kuwa ni wepesi wa kusahau inapokuja shida.Matusi na fedheha na vitisho ni kitu cha kawaida.
Jambo zuri kwako ni kuwa ulibaki na uhusiano mzuri na familia yako yaani wazazi wako na wao wakawa ni watu wa busara.Kama ingekuwa hukuwa na ukaribu na wazazi basi ungekuwa mwehu moja kwa moja,
Sasa nikuoneshe ulipokosea.Japo hukusema matatizo ya kazini kwako ni yepi lakini inaonekana huna uaminifu sana kazini kwako na ni mtu unayependa rushwa na huenda kwa mtindo wa rushwa uliwahi kudhulumu haki za wengine.Yale yaliyokupata ni matokeo ya masononeko ya uliowadhulumu.
Jengine ulianza mahusiano mabaya na huyo mke wako.Nimepata jibu la dini yako ni ipi.Ili upate baraka na utulivu kwenye ndoa basi usimguse mwenzako mpaka ndoa imeshafungwa.
Huko kazini uliko sasa jitahidi sana kuwa na uhusiano mzuri na wakubwa wako wa kazi.Na ukiona mwengine atakayekupendeza au atakayekufuata kijanja kwa kukupenda(hili la kufatwa na wanawake miaka hii ni maarufu sana) hata akiwa mzuri vipi fuata taratibu za kufunga naye ndoa kwanza.
Nakutakia maisha mema na mwisho mwema.
Mkuu umeeleweka kabisa. Ila tu kuhusu kazini nilieleza kwenye comments, team members walitaka tupige deal. Sikutaka kuwa sehemu ya mpango huo, walio ya tu nisije kuwareport maana endapo ingejulikana basi moja kwa moja ningekuwa ni mimi nimevujisha kwakuwa sikuwa sehemu ya mpango wao.

Bahati mbaya kwenye tathmini ya ofisi ilikuja kuonekana loss ya kutosha na imetokea kwenye team yetu. Moja kwa moja maboss hawakutaka kuelewa utetezi wangu kama sijahusika. Hapo ndipo msala ulipoanzia
 
Back
Top Bottom