Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Sawa mtani 🤣🤣🤣😂Sasa oa mwanamke mwingine usiyejua nasaba yake akuharibie tena maisha. Hivi mnapataga wapi wanawake wajinga hivyo. Msitangulize hisia wakati wa kutafuta mke kama unavyotafuta hawara. Kupata mke ni mchakato unaoanzia kwenu kwanza upate baraka za wazazi, kisha ushirikiane nao pamoja viongozi wa dini yako kuchagua mwanamke anayeendana na wewe.
Acha kabisa...yaani i felt my heart ripped into pieces. Mtu mwenyewe mie kibamia nikasema nimepata mrembo amekikubali kibamia changu wacha na mie nimuhudumie vilivyo....loh siku nipo jobless corner aisee mbwaaa yule hana shukhrani ata kidogo. Kweli hayo maneno i will never forget untill the day i am six feet under... Yaani amefanya i hate women with a passion though i love their punani with passion too.Hahahahahah mzee baba hio phrase ilikukong'oli kwelo kwelo kunako mtima 🤣
Hawa ni kuwakandamiza tuu....yaani mababu zetu waliona mbali. Mwanamke ni kumtawala kibabe tuu. Ukileta story za wadhungu women empowerment itakula kwako tuu.Kumbe sio bongo tu. Hata mbele watu wameshashtuka hii mambo ya kusomesha mpenzi/mke.
View: https://www.instagram.com/reel/Cz1kkzNgrgb/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
As we speak rumour has it that both holes are usable 🤣🤣🤣🤣Yeye ana mbele na nyuma?
Walijua kitambo! Mwanamke anakuliza Saa yoyote.. hawana huruma hawa watuHawa ni kuwakandamiza tuu....yaani mababu zetu waliona mbali. Mwanamke ni kumtawala kibabe tuu. Ukileta story za wadhungu women empowerment itakula kwako tuu.
Hee kazi kweliAs we speak rumour has it that both holes are usable 🤣🤣🤣🤣
Ana mbele na nyuma kweli maana tako analo na matiti na sura anayo mbwa yule
Hatari! They are dangerous balaaa. Weapon of mass destructionWalijua kitambo! Mwanamke anakuliza Saa yoyote.. hawana huruma hawa watu
Nyie tatizo u r soo selfish u only think for ur selves.Hee kazi kweli
Majority wako hivyo. Ila wapo wachache wenye unyenyekevuNyie tatizo u r soo selfish u only think for ur selves.
Kweli ni watamu and mgeongeza huo utamu wenu wa katikati ya mapaja na humility + kuwa na empathy the world would have been paradise
Majority wako hivyo. Ila wapo wachache wenye unyenye
Hahaha, usijali. Ila ile ramani ninayo hardcopy,soft copy naona ilifutika kwanye simu yangu.Uzuri wako wewe unajielewa na unasemaga ukweli.
Alafu ebu njoo pm unipe ramani ya ule mjengo wako bwana na mie nimepata zali la mil50 hapa wacha nijenge kabla hawa mbwaaa hawajaanza kuzila hela zangu
Nakazia mkuu. Awe makini sana, lakini pia mke hasomeshwi.Sasa oa mwanamke mwingine usiyejua nasaba yake akuharibie tena maisha. Hivi mnapataga wapi wanawake wajinga hivyo. Msitangulize hisia wakati wa kutafuta mke kama unavyotafuta hawara. Kupata mke ni mchakato unaoanzia kwenu kwanza upate baraka za wazazi, kisha ushirikiane nao pamoja viongozi wa dini yako kuchagua mwanamke anayeendana na wewe.
Na wananusa balaaUzuri wako wewe unajielewa na unasemaga ukweli.
Alafu ebu njoo pm unipe ramani ya ule mjengo wako bwana na mie nimepata zali la mil50 hapa wacha nijenge kabla hawa mbwaaa hawajaanza kuzila hela zangu
Hahahahah [emoji2]Subiri mke atarudi na utampokea tena kwa mikono miwili.
Pole ndugu..
Wengi tu wanafanya hivyo hata wanawake, na lazima tena kwa mara ya piliHahahahah [emoji2]
Yaani Kuna wanaume mafala sana.
Jamaa katemwa, kachanganywa akili ila demu atarudi na machozi jamaa atampokea na demu ataendelea kumwona jamaa fala sana.
Sisi wengine tukitemana kumrudia mtu ni kama kinyaa hivi.
Na ikitokea tukamrudi mtu jua Kuna unfinished business yaani kisasi.
na mama, bibi, shangazi na dada zako ndiyo wako top on the list.....Mijanamke mingi ni mijinga tuu isio na shukhrani.