Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sasa kama alifanya mambo makubwa kiasi hicho kwa nini msiache hayo mambo makubwa yamtangaze?Kwa nini mnakaukiwa koo kwa kumpigia debe badala ya kuacha hayo mambo makubwa yamtangaze?Barabara hakujenga?!!..nazungumzia miundombinu ya barabara na mitaro huko kibada,maji matitu n.k
Kazi kafanya, hakuna anayekataa. Ila kukufanya yeye Mungu, msafi asie na chembe ya Ufisadi ndio ametukosea.Sawa,ila alivyofanya jiwe sidhani kama kuna kiongozi anaweza kufanya
Mbona yako wazi na kila mtu anajua!..nyie ndo mnatumia nguvu kubwa kumchafua..yaani utakuwa mnafiki kwa kweli kama huoni aliyoyafanya magu..nakuambia ndugu yangu,kazi ya magu inaonekana,na ndo maana tunashangaa tunapoyasikia haya tunayoyasikia..Sasa kama alifanya mambo makubwa kiasi hicho kwa nini msiache hayo mambo makubwa yamtangaze?Kwa nini mnakaukiwa koo kwa kumpigia debe badala ya kuacha hayo mambo makubwa yamtangaze?
Funguka mkuu tumechoka kuunga doti.Mimi sikuwa muumini wa Magufuli, lakini naomba kuwaeleza kwa body language ya mwanamke aliyekaa karibu na CAG inasema yote
ripoti ya CAG imejaa siri nzito na siku si nyingi tutaona kuna nini nyuma ya hii report
Huyo mama aliyekaa karibu na msoma repoti simfahamu lakini hisia zangu zinaenda mbali zaidi na kuniambia kuna kitu kwenye hii repoti
Mtazame vizuri utagundua!
View attachment 1747307
Siyo sisi tunamchafua bali ni ripoti ya CAG!Sisi ni nani hadi tumbishie CAG?🤣🤣🤣Mbona yako wazi na kila mtu anajua!..nyie ndo mnatumia nguvu kubwa kumchafua..yaani utakuwa mnafiki kwa kweli kama huoni aliyoyafanya magu..nakuambia ndugu yangu,kazi ya magu inaonekana,na ndo maana tunashangaa tunapoyasikia haya tunayoyasikia..
Sawa naelewa..ila kazi yake inaonekana,na sidhani kama kuna kiongozi anaweza kufanya kama aliyofanya jamaa,ndani ya miaka mitano kiwalani imebadilika jamaa, si utani..lami quality jamaa siyo ya kubahatisha,ndo maana tunaposikia haya maneno tunashangaaaKazi kafanya, hakuna anayekataa. Ila kukufanya yeye Mungu, msafi asie na chembe ya Ufisadi ndio ametukosea.
He was a thief just like others.. na yeye kwa roho mbaya alitaka kula pekeake na watu wake wa karibu
Sawa,ila mimi nimeelezea namna magu nitavyomkumbuka..sio mbaya,good!Siyo sisi tunamchafua bali ni ripoti ya CAG!Sisi ni nani hadi tumbishie CAG?🤣🤣🤣
Magufuli tutamkumbuka kupitia hii ripoti ya CAG ambayo ni official and legal historical document na wala siyo kupitia hizi blah blah za akina nyie ambae mlikuwa mnafaidi wizi pamoja na ufisadi wa dikteta.Sawa,ila mimi nimeelezea namna magu nitavyomkumbuka..sio mbaya,good!
Watanzania Nani aliyeturoga hivi mtu anakutengenezea barabara au daraja la bilioni 10 halafu yeye kachukua bilioni 30 huyo mtu Yuko sawa kweli .Ndio maana magu aliviweka vyombo vya habari mfukoni ili afanye mambo yake alikuwa hataki kukosolewa Kama Jk ndio maana ya Jk yalijulikana .Kiufupi km riport ya CAG inavyoeleza ametupiga Sana ndio maana mzunguko wa pesa ulikuwa mgumu Sana .Mungu tu amrehemu kule aliko lakini ametufanyia vitu vya ajabu kweli.Sawa naelewa..ila kazi yake inaonekana,na sidhani kama kuna kiongozi anaweza kufanya kama aliyofanya jamaa,ndani ya miaka mitano kiwalani imebadilika jamaa, si utani..lami quality jamaa siyo ya kubahatisha,ndo maana tunaposikia haya maneno tunashangaaa
Nina kazia tumepigwa kweli kweli!Watanzania Nani aliyeturoga hivi mtu anakutengenezea barabara au daraja la bilioni 10 halafu yeye kachukua bilioni 30 huyo mtu Yuko sawa kweli .Ndio maana magu aliviweka vyombo vya habari mfukoni ili afanye mambo yake alikuwa hataki kukosolewa Kama Jk ndio maana ya Jk yalijulikana .Kiufupi km riport ya CAG inavyoeleza ametupiga Sana ndio maana mzunguko wa pesa ulikuwa mgumu Sana .Mungu tu amrehemu kule aliko lakini ametufanyia vitu vya ajabu kweli.
Tupo wengi na mimi nimo kwenye kundi la watakaomkumbukaHv wewe mbona kila nyuzi unang'ang'ana tutamkumbuka? Tutamkumbuka na nani? Kwanini utumie umoja?😏
Kikwete alikuwa mwambaNi awamu ya JPM tu ambapo report ya CAG uwa inamchafua [emoji23][emoji23][emoji23] yani mnafurahisha sana.
Kama alijua hakuna madudu kwani alijitoa kwenye mikataba ya transparency? Nini alitaka kuficha?
Ingekuwa JK naye angekuwa kama awamu ya Magu hakika JK angeondoka madarakani akiwa msafi sana. Ni vile aliwaruhusu watu wajadili, vyombo vichambue, report ijadiliwe bungeni ndipo akaonekana fisadi.
Ila kikwete huyu huyu ndiye mwanzilishi wa shule za kata, umeme wa REA, kuunga barabara mikoa yote. Na ni kupitia project kama hizi ndipo watu walipiga pesa ila yeye alikuwa tayari mambo yajadiliwe.
Bullshit 😏Mimi sikuwa muumini wa Magufuli, lakini naomba kuwaeleza kwa body language ya mwanamke aliyekaa karibu na CAG inasema yote
ripoti ya CAG imejaa siri nzito na siku si nyingi tutaona kuna nini nyuma ya hii report
Huyo mama aliyekaa karibu na msoma repoti simfahamu lakini hisia zangu zinaenda mbali zaidi na kuniambia kuna kitu kwenye hii repoti
Mtazame vizuri utagundua!
View attachment 1747307
Yaan ras sikua najua we ni ccm kindakindaki aisee..leo nilisema nitakuuliza..duh..inakuaje best unakuwa na mapenzi ya aina hiyo? Umeisikia report?Tupo wengi na mm nimo kwenye kundi la watakaomkumbuka
Team mzoga ndio imeleta michezo michafu...Yaan ras sikua najua we ni ccm kindakindaki aisee..leo nilisema nitakuuliza..duh..inakuaje best unakuwa na mapenzi ya aina hiyo? Umeisikia report?
Sidhan best..mbn mom yuko njema?This
Team mzoga ndio imeleta michezo michafu...
we are going back to babylon system (corrupt system)
Mama yuko peke yake......Sidhan best..mbn mom yuko njema?