Mwanamke aliyekupendea hela unamfanyaje wewe kama Mwanaume?

Tuliza mawenge mkuu,take ur time umjue vzur yaan ww ndo kwanza amekukubalia tayr ushaanza kujishtukia umependewa pesa kwan ye kakwambia anataka umuoe mpk uanze kumuwazia ivo,cha kwanza mng'ate kwanza mara mbili tatu
 
Ulitoka kuwa mzee ukawa kijana,asa wanaume nao mnaenda mnapungua.
Ulimtongoza mwenyewe,we ndo ulishoboka naye iweje useme amekupendea pesa ikiwa ulimtafuta mwenyewe,inaonesha we ndo mwenye shida naye ko uamuzi uko juu yako ikiwezekana muoe tu na uache kumsingizia eti alikupendea pesa wakati ulimtafuta mwenyewe
Wanaume nyie mnaona hawana haki ya kukataliwa.kama umeshapata hela alafu unakosa kujiamini na kukosa maamuzi madogo kama haya basi kazi ipo

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
ASANTE kwa ushauri
 
Binafsi Mimi nikiwa na Pesa siwezi kupambana na wanawake be lazima ntatumia Muda huo kula vizuri kulala pazuri usafiri na kupanua Biashara zangu siwezi kuwa mtu wa kuangaika na mademu wabovu Tena so mtoa Mada Kama umepata invest katika wewe kwanza Maana mara nyingi watu hupenda kukaa karibu na waridi ili wanukie

Ukiwa na Maisha Makubwa na mazuri haitaji Tena kupoteza Muda kutongoza wanawake
 
kwahiyo unataka upendwe tu bila hela, msiwafanye wadada hawana akili aisee
 
Mi hua sinaga kinyongo na watoto wa kike, hv ww ungekutana na ww kipindi hicho ungejipenda? Elewa


Kama mdada wa watu kaamua kuset standard za mtu wa kumdate na Kwa wakati huo we hukua na hzo standard sioni kosa lake, ila leo umefikia vigezo anavovitaka ndo maana kaku-accept.


Cha kukusaidia kwa Sababu na ww leo umekua somebody na yy mpime kama ana vigezo ambavyo unawish ili umdinyie demu lazima awe navyo eq trakrol, titi 6:45, rangi unayoipenda n.k
 
Basi hafai
ni mtu mwenye dharau
 
Kwahio siku akitetereka kimaisha aachwe tena?
Utu ni muhimu

Hukumpenda then sasa kinakushtua nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…