Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Ndo ukweli sio nzuri alafu kunamaisha baada ya ujana na unywaji pombePombe kwa mtoto wa kike jau sana.
Kwanza tupo kwenye umri wa uzazi pili kuna malez ya watoto bado yanatuhitaji
Kuna kulea familia zetu na wazazi Bado tupate mda wa kunywa na pombe