Mwanamke aliyeolewa kunywa pombe ni sawa?

Mwanamke aliyeolewa kunywa pombe ni sawa?

Sio aliyeolewa tu bali kwa mwanamke kunywa pombe tayari ni tatizo na akiolewa ni worse zaidi sababu hatoweza kuwa mama bora kwa mtoto. imagine baba mlevi mama mlevi huyo mtoto atalelewa na nani na atajifunza wapi maadili mema kutoka kwa nani?
Hapo ndio mwanzo wa kutengeneza watoto hasara na wenye maadili mabovu.

Mwanamke mlevi kuna asilmia 90% atakuwa ni malaya na anagawa nje kwa walevi wenzake na kwa kila mtu mjanja, wanawake walevi ni rahisi na cheap zaidi ya professional whores. hafai kuwa mke wala mama just a damn priceless, goddamned cheap whore, a useless bitch.

Mwanamke anayekunywa pombe hana tofauti na sex worker kwangu ni kutumia na kutupa, kama nina mipango nae basi pombe ataacha kwa lazima na nitamnyoosha awe ninavyotaka mimi lakini hicho kitu hakitotokea sababu hakuna siku nitakuja kuwa na mipango ya maisha na mwanamke anayekunywa pombe/mlevi.

Seriously unaanzaje kuoa mwanamke anayekunywa pombe/mlevi? yaani mwanangu alelewe na mwanamke mlevi hell no siwezi hata kuimagine hicho kitu.
 
Imagine anakunywa mpaka anarudisha chenji. Huyo ni kapitiliza sana
Ni sahihi kunywa ukiwa nyumbani na kiwango kisizidi...... Au kunywa ukiwa na huyo mume lkn ni kdg tena kwa heshima.
Lkn kunywa na kurudi usiku sana hiyo si SawA huyo mwanamke anafaa apewe onyo kali na kipigo cha mbwa mwizi
 
Raha ya pombe unaenda kunywa ukiwa na furaha zako, sio unaenda kunywa ili ktpunguza stress.

Unaenda bar huna mawazo yoyote, unakaa kwenye kiti pembeni kabisa kule kisha muhudumu anakuja kukukaribisha. Unamwambia nipe safari ya baridi, anakuletetea safari kubwa inatoa jasho hivi.

Baadaye kidogo unampa ishara unamwambia niitie wa jikoni.

Anakuja, unamwambia niletee ile nzama nusu pilipili nyingi na mchicha. Hapo bia inakuwa tamu zaidi aisee! Kisha unaondoka zako na amani yote.
Mwanamke ana haki zote kama human being
 
Mkuu nadhani inatokana na kuchanganya vilevi. Ile mixer huwa ina vuruga tumbo[emoji23]
Mkuu kuna wengine hata anywe bila kuchanganya lazima atapike........ Me nkinywa kitu nkaona kinaniletea kichefuchefu au tumbo kuuma siwez kurudia..... Kuna siku nlitoka tukawa kama watu 6..... Tukaagiza konyagi na castle lite... Me hua sinywi konyagi kabisa na sijawai kunywa castle lite...... Weeeh sinikajifanya kisebengo nkanywa nyingi.... Asubui yake niliharisha sijawai kuona yani niliharisha hadi pale kweny tundu pakawa panauma kama pamechwanwa...... Sijawai kurudia hadi leo
 
Huyo mwanaume anakuwa wapi mkewe anatoka bila ruhusa [emoji2955]
 
Aaahhh Nyinyi bado hamjawajua Wanawake

Yaan kama unadhan kumbebisha Mkeo na kumpa Kila kitu anachotaka Kwa wakati wakeee kumdekeza sanaaaa na mablaaa blaaa ...Et ndo kumfanya Mkeo akuelewe zaidi..IMEKULA KWAKO BWASHEEEE !!.


Sasa jiulize kwann anamfanyia hayo na kumpenda sanaaa lkn ndo kwanza Mwanamke hakuheshim??......


Hawa viumbe hawataki hivo , MWANAMKE ANATAKA UTAWALA WA KIFAULME .

MWANAMKE USIMPE DEMOKRASIA .

MWANAMKE USIMFANYE AKUPENDE AU AKUHESHIM KWA MAZAGAZAGA UNAYOMPA .


YEYE ANAPASWA AKUHESHIM KWAKUA WEE NI MUME WAKE NA YEYE NI MWANAMKE WAKO.



Kuna Uzi mwembamba sana unaotenganisha Mwanamke na Mtoto
Vijana wa leo hawatakuelewa
 
Mkuu kuna wengine hata anywe bila kuchanganya lazima atapike........ Me nkinywa kitu nkaona kinaniletea kichefuchefu au tumbo kuuma siwez kurudia..... Kuna siku nlitoka tukawa kama watu 6..... Tukaagiza konyagi na castle lite... Me hua sinywi konyagi kabisa na sijawai kunywa castle lite...... Weeeh sinikajifanya kisebengo nkanywa nyingi.... Asubui yake niliharisha sijawai kuona yani niliharisha hadi pale kweny tundu pakawa panauma kama pamechwanwa...... Sijawai kurudia hadi leo
Hahaa mkuu kwahyo unahisi ilikuwa sababu ya kunywa bia hujaizoea?

Mimi Mungu kanijalia huwa nakunywa bia sirudishi chenji wala nini hata kama sijaizoea sababu wakati naanza sikustiki kwenye brand moja. Hayo ma kvant na konyagi huwa sigusi kabisa
 
Hahaa mkuu kwahyo unahisi ilikuwa sababu ya kunywa bia hujaizoea?

Mimi Mungu kanijalia huwa nakunywa bia sirudishi chenji wala nini hata kama sijaizoea sababu wakati naanza sikustiki kwenye brand moja. Hayo ma kvant na konyagi huwa sigusi kabisa
Ndio Mkuu me mwenyewe hua sitapiki kabisa... Lkn castle lite [emoji119][emoji119] sitarudia mana ilinipunguza uzito siku moja tu
 
Back
Top Bottom