Ndo ukweli sio nzuri alafu kunamaisha baada ya ujana na unywaji pombePombe kwa mtoto wa kike jau sana.
Sasa wale wanaoua kisa wamegongewa tunawaweka kundi gani?aliyegongwa si ndo ya kwake, uamuzi ni wake na ndiyo maana anatembea nayo. π
Akili zao mbofu mbofu.Sasa wale wanaoua kisa wamegongewa tunawaweka kundi gani?
ππ ingekua wote mko hivi mauaji yangepunguwa kama sio kuisha. Mtu hamuwezan achaneni kwa amani tu.akili zao mbofu mbofu.
Rafiki yako ni sholooooo!
Mkeo anaanzaje kuondoka Et akanywe pombe kisa mmepishana?
Kwamba anaanza kujiandaa, anavaa unusu utupu, na kimkoba, anajipodoa, anaweza wigi, huyo anatoka ..alafu anarudi usiku!
Eeehhh Naona wanaume tumebaki wachache sanaaa very very few
Hii haina tofauti na ile sikupi mpaka ndoa, inawezekana walikuwa sawa kipindi cha uchumba ila baada ya ndoa ndo unaonyesha rangi yako halisiNimejiuliza tu kuwa walivyokuwa wachumba hakujua ulevi wa mke mtarajiwa? Au ndo ile kujiaminisha nikimuweka ndani atabadilika
Aaahhh Nyinyi bado hamjawajua WanawakeJamaa anampenda sana mke wake. Na pia anajitahidi sana kwa uwezo wake kumpa mkewe maisha classy
heeeeeMwanamke hata kama hajaolewa kunywa pombe sio sawa kabisa. Kifupi mwanamke hatakiwi anywe pombe kabisa.
Ni sahihi kunywa ukiwa nyumbani na kiwango kisizidi...... Au kunywa ukiwa na huyo mume lkn ni kdg tena kwa heshima.Nina swali!
Ni sawa kwa mwanamke aliyeolewa kunywa pombe, kulewa na kuchelewa kurudi nyumbani?
Nina rafiki yangu ana ndoa ya muda wa mwaka mmoja. Mwanamke ameanza tabia ya ulevi. Wakipishana kauli mwanamke anaondoka nyumbani anaenda kulewa sana na anarudi usiku saa nyingine hadi anatapika.
Na mavazi anayovaa akienda kwenye pombe ndio ya hatari zaidi.
Wewe unakunywa ? Kama unakunywa acha kabisa haifai. .heeeee
Kwani yeye Mume anasemaje!!??Nina swali!
Ni sawa kwa mwanamke aliyeolewa kunywa pombe, kulewa na kuchelewa kurudi nyumbani?
Nina rafiki yangu ana ndoa ya muda wa mwaka mmoja. Mwanamke ameanza tabia ya ulevi. Wakipishana kauli mwanamke anaondoka nyumbani anaenda kulewa sana na anarudi usiku saa nyingine hadi anatapika.
Na mavazi anayovaa akienda kwenye pombe ndio ya hatari zaidi.
Nyinyi hata kuvaa Suruwali hamsitahili,sema Basi tu tunawavumilia kimtindo!!Wacha we!! Kwamba kunywa pombe ni jambo baya hivyo wanaume ndio mnastahili mambo mabaya tu!!!
Bia tamuuu[emoji446][emoji449][emoji448][emoji2788]
Mimi naona hakuna mume hapo, yaani huyo boya anadharaulika sana na mke wake.Hakuna mke hapo
Ukienda na stress lazima umwite mhudumu akae hapo, ale.Baadaye unamwambia mhudumu kaa hapa, umekula? unakunywa nini? π π π
Kreti 2Ngapi sasa [emoji2][emoji2]
Duh!Kreti 2
Wakipishana kauli mwanamke anaondoka nyumbani anaenda kulewa sana na anarudi usiku saa nyingine hadi