Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

ila hizi camera zinadanganya kichizi yan hapa kitaa kuna dem mweusi kama tairi ila huko insta ni mtoto wa kiarabu
Jichanganye upende rangi ya insta uone kama ukikutana nae utakubali ndo yeye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Ni kweli wana vi filter vyao wanavipenda vinawafanya waonekane smooth na weupe. Ukikutana nae sasa, sura kama fenesi. Ukimuuliza imekuwaje utofauti wa picha na muonekano wa live, utasikia hiyo picha ilikuwa zamani kidogo sasa hvi kuna lotion haijanipenda. Kumbe toka kazaliwa ana sura ngumu kama remmy ongala.

Mimi huwa naomba video call sehemu yenye muwangaza. Huyo ndio msema kweli.
Hapo inabd ale swali, kwann unitumie picha ya zamani wkt tumekutana sasa hivi? Hahah
 
Mbavu zanguuu hukuuuu nyieeee[emoji1787]!! Nani akubali kuonekana kiazi cherema thubutuuuu![emoji3526]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.
Tuanze kuvaa gaguroo kina baba tamu watatukimbiaaa.
 
Acha tutanue mapafu kipenzi jf full burudaani!! Usipocheka humu una matatizo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekuambia nifundishe kutumia filter, au hutaki na mie niwe smooth?? Vibaya hivyooo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekuambia nifundishe kutumia filter, au hutaki na mie niwe smooth?? Vibaya hivyooo

🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nakuja kukufundisha nawee uwake shougaaangu nani anataka kuonekana michunusi??😂🤠 Thubutuuuu!!
 
ondoa makasiriko ndugu. Chunusi si maradhi na punguza ku ji edit.

Maisha mafupi mno kuchukulia kila kitu serious dada yangu.

Mimi hakuna sehemu niliyosema ni mzuri ikizingatiwa mwanaume hajisifii uzuri.

43106a2b6530f478ea1d38be63eeaa83.jpeg

Picha yangu hiyo hapo no filter.
Kama ni maradhi unapata wapi nguvu ya kumcheka mgonjwa?
 
Kama ni maradhi unapata wapi nguvu ya kumcheka mgonjwa?
relax, mbona unachukulia huu uzi personal sana.

Na nimesema chunusi si maradhi. Hata sikujui sasa kama una michunusi yako huko na kuhisi comment zangu zinakulenga wewe basi bonyeza button ya ignore hutoona ninachoandika, kinyume na hapo nitakuwa sina msaada kwako maana mwisho wa siku natumia simu yangu, bundle langu na account yangu ya JF.

Tafute corner ujibanze utumbue michunusi hiyo achana na mimi.
 
Back
Top Bottom