Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

Mjinga Mmoja Muhaya mwenzio kama wewe, siku Moja kijiweni anatuhadithia.


Alituma Nauli Kwa mwanamke Arusha, mwanamke akatoka Arusha mpaka huku,


Jamaa alivyomuona Kwa mbali pale stend, akazima simu.


Er kisa mwanamke alikua chibonge, Mweusi.!!.



Ilibidi tumpopopee aache ushamba wa KIHAYA.


Mwanamke anapoanza kuacha Kula Hela yako ya Nauli, anaacha muda wake na majukum yake, haogopo wewe ni mtu mbaya au lah ,utamdhuru au lah, yeye alichoamin ni Hisia zake juu yako, angeweza kula Hela, ila akaamua kua mwaminifu, kajaaa... Kakuheshim Kwa kiasi gan??.

Sawa hajakupendeza, je Wewe umempendeza??

Unashindwa hata kuigiza Furaha Kwa kumuona?.

Mpokeee, mfikishe Lodge, akoge, Toka naye kula Chakula ,mpigishe Stori huko ,mrudi naye, mwambie Leo hatutassex, ila mara yapili ukija tutasex, kesho yake msindikize stend ,mpige mabusu ,nakama huna muda naye, Anza kumpunguzia muda ?.



By the way, huyo Muhaya mwenzio pamoja kwamba ni mwanaume mwenzangu, Jamaa ana Nuka mdomo Ile suguu yaan ananuka Mdogo Ile sugu ya kuzaliwa 🤣🤣🤣🤣🤣, alafu anatokea na jasho muda wote, yeye hata kuongea jasho mpaka unaona suruali matakon imeloa, Na ana lisura fulan ivi muda wote ni lisura lakulia, limevutikaaaaa na ule weusi
Bora umemnyoosha na yeye,kunawatu wanajikutaga malaika kukosoa wenzao wakat wao wenyewe wakawaida sanaaaa hata hawaeleweki
 
Mjinga Mmoja Muhaya mwenzio kama wewe, siku Moja kijiweni anatuhadithia.


Alituma Nauli Kwa mwanamke Arusha, mwanamke akatoka Arusha mpaka huku,


Jamaa alivyomuona Kwa mbali pale stend, akazima simu.


Er kisa mwanamke alikua chibonge, Mweusi.!!.



Ilibidi tumpopopee aache ushamba wa KIHAYA.


Mwanamke anapoanza kuacha Kula Hela yako ya Nauli, anaacha muda wake na majukum yake, haogopo wewe ni mtu mbaya au lah ,utamdhuru au lah, yeye alichoamin ni Hisia zake juu yako, angeweza kula Hela, ila akaamua kua mwaminifu, kajaaa... Kakuheshim Kwa kiasi gan??.

Sawa hajakupendeza, je Wewe umempendeza??

Unashindwa hata kuigiza Furaha Kwa kumuona?.

Mpokeee, mfikishe Lodge, akoge, Toka naye kula Chakula ,mpigishe Stori huko ,mrudi naye, mwambie Leo hatutassex, ila mara yapili ukija tutasex, kesho yake msindikize stend ,mpige mabusu ,nakama huna muda naye, Anza kumpunguzia muda ?.



By the way, huyo Muhaya mwenzio pamoja kwamba ni mwanaume mwenzangu, Jamaa ana Nuka mdomo Ile suguu yaan ananuka Mdogo Ile sugu ya kuzaliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], alafu anatokea na jasho muda wote, yeye hata kuongea jasho mpaka unaona suruali matakon imeloa, Na ana lisura fulan ivi muda wote ni lisura lakulia, limevutikaaaaa na ule weusi
[emoji23][emoji23][emoji23] ahsante studio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake weusi sijui kwann hawajiamini na demu mweusi ila kutwa ku edit picha yan picha anazopost zile alizotoka mweupe na mimi napenda mademu weusi....
Shida yenu wengi wenu sijui mnatongozaga wadada kwa mitandao mana kama umekutana na mtu live si unakua ushamuona anafananaje haiwez kukupa shida. Acheni kuwapenda watu wa kwenye picha hamtakutana na hizi kero.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora umemnyoosha na yeye,kunawatu wanajikutaga malaika kukosoa wenzao wakat wao wenyewe wakawaida sanaaaa hata hawaeleweki

Nadhan ifike Mahali watu tuheshimiane Kwa Ile hali ya "Utu wetu".

Ivi kama tumekutana JF, haya tumeonana, kwann umkimbie mtu?.

Yaan hata Ile hali tu huyu ni Binadam mwenzangu, Hauna ??.


Kujifanya Wee umekamilika sana au??


Watu wengine ovyoooo sana.
 
Wanawake hasa Hawa weusi hawajiamini wanatumia filter ili kuibia watu na kuwaachia majuto makubwa.

Hii imetokea Jana rafiki yangu kayakanyaga baada ya kumkimbia Mwanamke wake wa mtandaoni waliyekutana Facebook, hii imesababishwa na kakutana na sampuli mbili tofauti.

Hawa Wanawake weusi hawajitambui na hawana uhuru wa Fikra na hawajikubali na wanaingiza watu king sana.

This is stolen Generation
Alomwambia Facebook kuna wanawake ni nani?
 
Shida yenu wengi wenu sijui mnatongozaga wadada kwa mitandao mana kama umekutana na mtu live si unakua ushamuona anafananaje haiwez kukupa shida. Acheni kuwapenda watu wa kwenye picha hamtakutana na hizi kero.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengine wananunua wa kwenye mitandao yaani anategemea kama alivyomwona kwenye picha zake awe vile vile wakikutana
 
Back
Top Bottom