Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
Mdau ana namna yako aliyoumbiwa ni ya tofauti. Sijioni popote nikishinda hilo jaribu.Ila Mimi nampongeza mleta mada Yuko matured na asimkule huyo mdada maana urafiki na wema utakufa, hafu mahusiano kazini huwa ni hatari Sana, nimempenda tu moyo wake wa utu wakumsaidia huyo dada bila kutaka ngono wanaume wengi huwa hawatusaidii wanawake hata misaada ya kiubinadamu bila kutaka ngono aisee, mleta mada ubarikiwe na kizazi chako chote aisee. Maana wengine usipo mpa ngono msaada haupati ng'o
Sasa hicho kindugai umepewa bure na mola unatunyimia nini sasa ?Nyie wanaume mmenifanya ndoto zangu kurudi nyuma some how why.
Ukitaka kazi nzuri nyapu.
Ukitaka karatasi ipitishe upate kitu cha muhimu nyapu.
Chochote nyapu.
So mtoto ameshaadhirika kiakili we kubali nyapu au mwambie huitaki nyapu kistaarabu.
Simsemeee mnakitaka??Sasa hicho kindugai umepewa bure na mola unatunyimia nini sasa ?
Hapana na ndioKwani kwenye ndoa ndio unapata kila kitu?!
Huyo Bado ana utu na kujielewa bana in short ana heshimu ethics and values kitu ambacho jamii kwa Sasa haiheshimu kabisa.Mdau ana namna yako aliyoumbiwa ni ya tofauti. Sijioni popote nikishinda hilo jaribu.
Tunasema sema mnamashauz mengi mnaona ugumu kukitoa licha ya kuwa mnapata raha hivi shida nini ?Simsemeee mnakitaka??
UongoooTunasema sema mnamashauz mengi mnaona ugumu kukitoa licha ya kuwa mnapata raha hivi shida nini ?
Sure. I agree kabisa. Nilikuwaga hivi zamani sijui kulitokea nini...Huyo Bado ana utu na kujielewa bana in short ana heshimu ethics and values kitu ambacho jamii kwa Sasa haiheshimu kabisa.
Mleta mada ajengewe sanamu pale posta ni mwadilifu mnoSure. I agree kabisa. Nilikuwaga hivi zamani sijui kulitokea nini...
Uongo wapi mtu unalazimishwa kuja ghetto unamzungusha mtu unatumiwa nauli hutokeiUongooo
Et!Sasa ulimsaidia..na yeye anataka kukusaidia..
Mbona hujui shukran?
Hii idea ya kuchukia ngono nafikiri itakuwa imetoka kwenye hizi dini zao.Bila ya huo uchafu walioufanya wazazi wake wakati huo sizani Kama angekuwepo leo kwenye hii dunia. Kupitia huo uchafu ndio yeye amezaliwa
MhhhhAfu wewe kababa mbona kaongo sana[emoji14], when did you called?
Ila ndio hivyo jamaa hataki sasa.Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Potelea mbali, sijali!Ukiendelea kumkazia Kuna siku utasikia kwa watu kwamba wewe huna nguvu za kiume.
Sijali, nitamuambia hata asipopanda mtungu ni wangu, aniache naye!Subiri kutangazwa kwamba jogoo anateleza kwenye mtungi.. hapandi
Weee..!! siyo rahisi hivyo...Sijali, nitamuambia hata asipopanda mtungu ni wangu, aniache naye!
Ni kweli, ila haikuhusu, chache nilizonazo zinanitosha na mke wangu.Hata ivo mbona huna nguvu za kiume