Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kwa dhambi ya UCHOYOHalafu na mbinguni hutaenda..š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa dhambi ya UCHOYOHalafu na mbinguni hutaenda..š¤£
Hawa ndio huwa wanapigwa na malaika wa Mungu na malaika wa shetani.Kwa dhambi ya UCHOYO
Kumbe ule ni uchafu?Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Nimewahi kutana na changamoto hii, nilipomuuliza akasema haoni zawadi kubwa ya kurudisha shukran kwangu isipokua yeye, hawa viumbe akili zao wanazijuaga wenyewe.Mimi nilijitolea kumsaidia kwa kiasi kikubwa sana huyu binti si kama binadamu mwenzangu na kiukweli niliplay part kubwa sana kumfanya awe sawa i thank God now yupo sawa.
Sasa tatizo limeanza mwishoni mwa mwaka jana analazimisha sana awe na mimi kimapenzi kama njia moja wapo ya kurudisha fadhila kwa wema niliomtendea na anajua kabisa nimeoa lakini mie nimemwambia haina haja ya kufanya ivyo coz me nilimsaidia kwa nia njema tu na si kwa lengo tofauti.
Wanawake sio kila mtu anaekusaidia anahitaji umpe penzi sote.
Ndio mkuu unazinije na mtu usiye mpenda aisee hapo ni kuchafua mwilimkuu kumbe ngono kwako ni uchafu?
[emoji23][emoji23][emoji23]ndio ni uchafu mkishavuliana kugombana na kukwepana dakika sifuri tu.Kumbe ule ni uchafu??
Wewe c hujamsaidiaNaomba namba yake mkuu please
Hivi mkuu yale mambo ni uchafu.Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Nilikuwa naona wakubwa wanafaidi kumbe cvyo wanafanya uchafu.[emoji23][emoji23][emoji23]ndio ni uchafu mkishavuliana kugombana na kukwepana dakika sifuri tu.
Huyo anagongwa na wanaume vimeoNilikuwa Naona wakubwa wanafaidi kumbe cvyo wanafanya uchafu.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]ndio ni uchafu mkishavuliana kugombana na kukwepana dakika sifuri tu.
safari moja huanzisha ingine!nimewahi kutana na changamoto hii, nilipomuuliza akasema haoni zawadi kubwa ya kurudisha shukran kwangu isipokua yeye, hawa viumbe akili zao wanazijuaga wenyewe.
Wewe seat yako mbinguni ipoHabari zenu wa JF moja kwa moja kwenye mada.
Nafanya kazi kwenye kampuni moja ya mawasiliano ni miaka mi4 sasa kuna staff mwenzangu mmoja miaka kadhaa nyuma alikuwa kwenye matatizo makubwa sana.
Ukamega sio?Nimewahi kutana na changamoto hii, nilipomuuliza akasema haoni zawadi kubwa ya kurudisha shukran kwangu isipokua yeye, hawa viumbe akili zao wanazijuaga wenyewe.