Hao hawajielewi heri urafiki wa kukulana kumaliziana hamu zenu hivo hivo mkimisiana mnataftana sio hyo ya kuchoshana had kupigiana simu usiku mbona ni kero, unakula asali Hadi wataka kuchonga mzingasafari moja huanzisha ingine!
mkianza kulana utashtukia anakupigia simu usiku uko na mkeo yaani fulu mazoea!atakuganda..
wanawake huwa hawajui FRIEND WITH BENEFIT yaani sio wapenzi wala hatupendani ila tunapeana halafu tunapotezeana hadi NEXT TIME WHEN COME ACRROSS
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa naona wakubwa wanafaidi kumbe cvyo wanafanya uchafu.
Mpasue japo mara moja tu,siyo vizuri kumkazia hivyo.Habari zenu wa JF moja kwa moja kwenye mada.
Nafanya kazi kwenye kampuni moja ya mawasiliano ni miaka mi4 sasa kuna staff mwenzangu mmoja miaka kadhaa nyuma alikuwa kwenye matatizo makubwa sana.
Mimi nilijitolea kumsaidia kwa kiasi kikubwa sana huyu binti si kama binadamu mwenzangu na kiukweli niliplay part kubwa sana kumfanya awe sawa i thank God now yupo sawa.
Sasa tatizo limeanza mwishoni mwa mwaka jana analazimisha sana awe na mimi kimapenzi kama njia moja wapo ya kurudisha fadhila kwa wema niliomtendea na anajua kabisa nimeoa lakini mie nimemwambia haina haja ya kufanya ivyo coz me nilimsaidia kwa nia njema tu na si kwa lengo tofauti.
Hataki kunielewa ananisumbua mno nimemblock kwenye kila sehemu lakini bado ananisumbua coz tunaonana kila siku ofisini.
Wanawake sio kila mtu anaekusaidia anahitaji umpe penzi sote.
yeah.Ukamega sio?
[emoji23][emoji23][emoji23] yamekuwa hayo TenaHuyo anagongwa na wanaume vimeo
Sasa mbona mimi sikupi tafu lakini hutaki kutuliza hisia zangu!Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Sababu sijawa ready kuwa naweSasa mbona mimi sikupi tafu lakini hutaki kutuliza hisia zangu!
Asante kwa jibu zuri, ninaamini "you might be ready for me one of these days gal."Sababu sijawa ready kuwa nawe
It's depends with my moodAsante kwa jibu zuri, ninaamini "you might be ready for me one of these days gal."
Naona unajipigia pande mkuu😂 safiiAsante kwa jibu zuri, ninaamini "you might be ready for me one of these days gal."
Sure, I Will be waiting for the right moment cariha.It's depends with my mood
Hahahaaaa, Opportunist, yaani mtumia fursa.Naona unajipigia pande mkuu[emoji23] safii
Safi sana sifa wepesii na kimasihara tu unaweza jitwalia jimbo😂Hahahaaaa, Opportunist, yaani mtumia fursa.
anajua nina mke na siwezi kuwa nae i told herMi naona hata si kulipa fadhila ila tu amekupenda na amekuona una roho nzuri yaani you're a such a gentleman unayefaa kuwa naye[emoji2369]
Ambao huwa anaufanyaMkuu kumbe ngono kwako ni uchafu?