Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Ngoja niwe mpenzi msomaji maana sidhani kama ni kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujumbe huu umeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kula mbakshie baba ...[emoji2957][emoji2957]
Sawa sawa mhenga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mawazo ya vijana 20-30, mwanamke kwao ni ngono tu . Kuanza nae uhusiano ili wafanye ngono, wanafunga ndoa sababu ni ngono n.k ndoa zitadumu vipi sasa,?
Ww si ndo yule uliyehitimisha kifo cha kiongozi wa nchi kwenye ule uzi wa alipo raisi?sawa sawa mhenga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndiyo mzee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jamaa kaharibu sana nchi yetu aende tuWw si ndo yule uliyehitimisha kifo cha kiongozi wa nchi kwenye ule uzi wa alipo raisi?
Hayo si ni maombi lakini? Yaani unaomba kwa miungu yako kuwa iwe hivyo.ndiyo mzee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jamaa kaharibu sana nchi yetu aende tu
Ameua wengi na yeye afe tu mbona fresh kabisaHayo si ni maombi lakini? Yaani unaomba kwa miungu yako kuwa iwe hivyo.
Daaah! hivi yule mfalme kawakoseeni nini mpaka mumchukie kiasi hiki!?ameua wengi na yeye afe tu mbona fresh kabisa
Kweli..hayo mawazo ya ngonontuachieni sie mabachelor.Sure.Nilichokuja kugundua ni kwamba kuna tofauti kubwa sana kwa kijana kabla hajaoa na akiwa ameoa in terms of mindset. Familia huja na majukumu mengi sana ambayo huitaji uongozi,busara,na maarifa hvyo huwezi kumkuta mtu mwenye majukumu anawaza ngono muda wote.
Sex is overratedMawazo ya vijana 20-30, mwanamke kwao ni ngono tu . Kuanza nae uhusiano ili wafanye ngono, wanafunga ndoa sababu ni ngono n.k ndoa zitadumu vipi sasa,?
Hatari sanaKweli..hayo mawazo ya ngonontuachieni sie mabachelor.
Ata ofisini naona diference kabisa wezangu mkisafiri mara wanunue vitunguu nyanya kuoeleka home....mie mwenzoa hela nilishamalizia kwenye papuchi zamaniiii
Na kama sina kitanda nalala chini je.Usidanganywe na demu kama anakupenda kabla hamjaingia kwenye ule uwanja wa sita kwa sita a.k.a uwanja wa dhambi.
Demu kwa mara ya kwanza anakuwa amekutamani tu na sio kweli kama anakupenda ndio maana ni vigumu kukuvulia kufuli bila kumpa chochote kitu.
Ila ukishamtafuna kiufundi na kumkuna vilivyo akikwambia anakupenda basi anamaanisha na wengi wao hawaoni hasara kukuhonga.
KUWA MACHO MADEMU WANAANZA KUPENDA KITANDANI.
Mtazame mermaid anaelekea upande upi
Mermaid ukitazama vizurii ndo kwanza amezuia njia ye anaenda huko hao emoji wengine wanakotokea.Mtazame mermaid anaelekea upande upi