Mwanamke anaanza kukupenda kitandani

Mwanamke anaanza kukupenda kitandani

Kwahiyo umeshahongwa na wangapi hadi sasa kwa sababu ya hicho kitanda?, unajisifia kuhongwa ?🤔
 
Usidanganywe na demu kama anakupenda kabla hamjaingia kwenye ule uwanja wa sita kwa sita a.k.a uwanja wa dhambi.

Demu kwa mara ya kwanza anakuwa amekutamani tu na sio kweli kama anakupenda ndio maana ni vigumu kukuvulia kufuli bila kumpa chochote kitu.

Ila ukishamtafuna kiufundi na kumkuna vilivyo akikwambia anakupenda basi anamaanisha na wengi wao hawaoni hasara kukuhonga.

KUWA MACHO MADEMU WANAANZA KUPENDA KITANDANI.

Hawa viumbe huwa ni chakula cha kila Mwenye Mkuyenge, jana Demu wangu amenipita sehemu bila yeye kuniona akiingizwa lodge na Lijamaa, kaja kuniona baada ya Masaa mawili wakati anatoka akiwa na hilo hilo jamaa, alihisi aibu haswa aliponiona
 
Mzinzi atakupima kwa uzinzi kwa kuwa ndio kipaumbele chake kwenye muunganiko huo......mwanamke mwerevu hutazama upendo kwani ndio nguzo kuu inayowafanya wapendanao waishi kwa furaha kwa nyakati zote......
 
Back
Top Bottom