Mwanamke anaanza kukupenda kitandani

Mwanamke anaanza kukupenda kitandani

Fact
Ada, kodi, chakula, mavazi, usafiri, Afya, ulinzi. Hivi vyote ni vya mwanaume unatakiwa uhakikishe familia yako inapata. Ngono ni sehemu tu ya ndoa ila mambo yapo ni mengi sana mkuu.
 
Usidanganywe na demu kama anakupenda kabla hamjaingia kwenye ule uwanja wa sita kwa sita a.k.a uwanja wa dhambi.

Demu kwa mara ya kwanza anakuwa amekutamani tu na sio kweli kama anakupenda ndio maana ni vigumu kukuvulia kufuli bila kumpa chochote kitu.

Ila ukishamtafuna kiufundi na kumkuna vilivyo akikwambia anakupenda basi anamaanisha na wengi wao hawaoni hasara kukuhonga.

KUWA MACHO MADEMU WANAANZA KUPENDA KITANDANI.
Fact
 
Back
Top Bottom