Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Tunasubiri maoni ya wengineEpuka sana generalization, wengi wanaokuja kwako kwa kutaka hela kuna sehemu wanaenda kupeleka hisia,
Tuishi nao kwa akili; maandiko ndio yanasema hivyosasa itakuwaje
Ni vita ngumu, watu hawataki kuambiwa ukweliUtaiweza hiyo vita ulioianzisha?
Mahusiano yana utapeli mwingiHaya ndio yalimfanya rafiki yangu chinga aka chagamba kuomba afu tatu kutoka kwa yule Binti wa mwanza kweli asio kupenda achana nae skuizi naishia ku like tu ππ
Naunga mkono hoja π€£πMahusiano yana utapeli mwingi
Tukiwa tunawaambia ukweli tuache kutumia fedha kuwaweka karibu vinginevyo huu ugonjwa hautibiki.Ni vita ngumu, watu hawataki kuambiwa ukweli
kwa maaana iyo mm mwenye kipato kidogo nimtimue mapema tu ma mtu kabla hajanichoka maana raman zangu sizielew kabisa....au vp muungwana...?Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.
kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani...
πHaya ndio yalimfanya rafiki yangu chinga aka chagamba kuomba afu tatu kutoka kwa yule Binti wa mwanza kweli asio kupenda achana nae skuizi naishia ku like tu ππ
Nadhani pia teknolojia ya kuona watu wengine huko duniani wanaishije, labda ndio imepelekea warembo kutanguliza pesa/uchumi mbeleKuna wanawake wenye upendo ila kwa dunia yetu yasasa nguvu ya kiuchumi wanaizingatia sana, huna uwezo kiuchumi utapendwa kwa muda tu au inawezekana usipendwe kabisa.
Mkuu usicheke tumuombee π€£ππ
Kuna kitu anakifuatilia hapo, hakiona hakipo, anakutelekezamimi kanifata kwa ajili castle lite na ccm
Sababu ni nyingi kikubwa tutafute hela.Nadhani pia teknolojia ya kuona watu wengine huko duniani wanaishije, labda ndio imepelekea warembo kutanguliza pesa/uchumi mbele
Nacheka lakini naogopa πMkuu usicheke tumuombee π€£π