Silivian
Member
- Nov 13, 2022
- 64
- 103
- Thread starter
- #41
Mtazamo ndio kitu tunatofautiana hapoNdio wadada wanachanganyikiwa unaweza mla kimasihara Kisa simu tu sio hela ningekuwa mwanaume sijui
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtazamo ndio kitu tunatofautiana hapoNdio wadada wanachanganyikiwa unaweza mla kimasihara Kisa simu tu sio hela ningekuwa mwanaume sijui
Hayaa sawa
Unajali 🙂Yeah
Bora hata huyo anayerudisha sehemu ya ulichomhonga, kuna wengine unaweza kuhonga hata laki lakini huoni hata kitu cha afutatu anakununuliaMwanamke anakulipia hela ya kunyoa, alafu anakwambia kuhusu kukaribia kuisha kwa kodi yake ya pango..
Anakununulia boxer na t shirt, alafu anakukumbusha kuhusu zawadi kwenye siku ya kuzaliwa kwake..
Anakununulia vocha, kisha anakwambia ubovu na kuichoka simu yake ya sasa..
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Ehh umekuwa Dr mwezetu.Nyie nanyi msituchoshe!!! Hao wanawake wenu sio wawakilishi wetu!
We mzee upo?Ehh umekuwa Dr mwezetu.
National Anthem umekosa mwanamke msomi mwanawane
Tamuuuu hiyooooUshukuru akikupa hata iko kitu,maana hatutoi kitu chochote......ukila tamu nakuwa nimekupa vyote duniani,kama unabisha...kumbuka unavyoikojolea ukiwa peku how do you feel?
Nipo mrembo....mambo vipi? Andunje ajambo?
Mambo poa, andunje yuko poa pia. Unapotea sana bwanaNipo mrembo....mambo vipi? Andunje ajambo?
Huyo ni mumiani. Mwanamke mwema anajua uwezo wako, akikuona usoni anajua umefulia au una hela.Mwanamke anakulipia hela ya kunyoa, alafu anakwambia kuhusu kukaribia kuisha kwa kodi yake ya pango..
Anakununulia boxer na t shirt, alafu anakukumbusha kuhusu zawadi kwenye siku ya kuzaliwa kwake..
Anakununulia vocha, kisha anakwambia ubovu na kuichoka simu yake ya sasa..
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Ghafla tu!!🤣🤣🤣🤣🤣Ehh umekuwa Dr mwezetu.
National Anthem umekosa mwanamke msomi mwanawane
Sina hela mwanawane, Dr Lizzy na ukosefu wa hela ni kama mtu kuishi bila oxygen....Ehh umekuwa Dr mwezetu.
National Anthem umekosa mwanamke msomi mwanawane