Mwanamke anakulipia hela ya kunyoa, halafu anakwambia kuhusu kukaribia kuisha kwa kodi yake ya pango

Mwanamke anakulipia hela ya kunyoa, halafu anakwambia kuhusu kukaribia kuisha kwa kodi yake ya pango

Mwanamke anakulipia hela ya kunyoa, alafu anakwambia kuhusu kukaribia kuisha kwa kodi yake ya pango..

Anakununulia boxer na t shirt, alafu anakukumbusha kuhusu zawadi kwenye siku ya kuzaliwa kwake..

Anakununulia vocha, kisha anakwambia ubovu na kuichoka simu yake ya sasa..

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Bora hata huyo anayerudisha sehemu ya ulichomhonga, kuna wengine unaweza kuhonga hata laki lakini huoni hata kitu cha afutatu anakununulia
 
Mwanamke anakulipia hela ya kunyoa, alafu anakwambia kuhusu kukaribia kuisha kwa kodi yake ya pango..

Anakununulia boxer na t shirt, alafu anakukumbusha kuhusu zawadi kwenye siku ya kuzaliwa kwake..

Anakununulia vocha, kisha anakwambia ubovu na kuichoka simu yake ya sasa..

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Huyo ni mumiani. Mwanamke mwema anajua uwezo wako, akikuona usoni anajua umefulia au una hela.

Pia anajua ni wakati gani sahihi wa kukuomba kitu bila ya kukufanya uumie moyo
 
Back
Top Bottom