Ah wee zisake dr lizzy akuzalie watoto wenye akiliSina hela mwanawane, Dr Lizzy na ukosefu wa hela ni kama mtu kuishi bila oxygen....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah wee zisake dr lizzy akuzalie watoto wenye akiliSina hela mwanawane, Dr Lizzy na ukosefu wa hela ni kama mtu kuishi bila oxygen....
Asante...moe hi andunje najua leo anasimamia kucha....wikend mwendo wa kula mbususuUsiniambie 😃😃 hongera zako
Muhimu uhai,Mwanamke anakulipia hela ya kunyoa, alafu anakwambia kuhusu kukaribia kuisha kwa kodi yake ya pango..
Anakununulia boxer na t shirt, alafu anakukumbusha kuhusu zawadi kwenye siku ya kuzaliwa kwake..
Anakununulia vocha, kisha anakwambia ubovu na kuichoka simu yake ya sasa..
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
dah🥲🥲 ndio nisha mkosa maana hata gari sinaAh wee zisake dr lizzy akuzalie watoto wenye akili
najua ndio maana natazama tu 😅😅Bila hela hakuna kula, kulala wala kuishi vizuri ujue 😏
😅😅 yoyote ili mradi awe anapumua tu
Dr Lizzy ndugu yetu anasema hana gari wee sii atatumia range rover yakodah🥲🥲 ndio nisha mkosa maana hata gari sina
Dr Lizzy ndugu yetu anasema hana gari wee sii atatumia range rover yako
Na mwanaume anafanya nini?Mwanamke anakulipia hela ya kunyoa, halafu anakwambia kuhusu kukaribia kuisha kwa kodi yake ya pango.
Anakununulia boxer na t-shirt, halafu anakukumbusha kuhusu zawadi kwenye siku ya kuzaliwa kwake.
Anakununulia vocha, kisha anakwambia ubovu na kuichoka simu yake ya sasa.
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Basi kaa na mkeo tafadhali achana na malayaTumechoka kuchunwa na kupigwa vizinga
Malaya wanaojiiza direct hawana shida wale maelewano tu. Tunazungumzia hawa malaya wa mitaani wanaojiuza indirect wanaojifucha kwenye kivuli cha kutunzwa