cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Yess ataweza, ndo maana yeye ke anauliza mapema hivyo, coz yeye binafsi uwezo anaoKwa mantiki hiyo ni kwamba mwanaume naye ana mahitaji yake!? Je ataweza kuhudumia!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yess ataweza, ndo maana yeye ke anauliza mapema hivyo, coz yeye binafsi uwezo anaoKwa mantiki hiyo ni kwamba mwanaume naye ana mahitaji yake!? Je ataweza kuhudumia!?
Au mwambie sasa hivi lengo ni kujuana na kufanya ngono, kama utanifaa na nitakufaa tutafunga ndoa.Anataka kujua utamuoa au utamtumia tu na kumuacha jibu lako unatakiwa umpe la kutojifunga wewe mjibu hivi nina malengo ya dhati kutoka ndani ya moyoni lakini pia inategemea tutakavyoishi ndani ya mahusiano yetu
Kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo jambo dogo kwake
Nipo timatu sana Mkuu! Huwa naongea nao kisha wanasikilizisha! One time kidogo kiumbe kitengenezwe kizembe zembe halafu kidada kinasema eti tuzae tu hakuna shida! Nina wanawake wawili sio timamu sana ndo huwa nawafanyia hivyo!Unazifanyia nini hizo sauti boss? Kama unawasikilizisha marafiki achana na hiyo tabia haina maana. Kuna kijana alijikuta amefall kwa mwanamke ambaye keshaonyesha marafiki picha zake za utupu, miaka imepita wana familia sasa na wale marafiki hawapo ila ndo hivyo.
Wachache MkuuYess ataweza, ndo maana yeye ke anauliza mapema hivyo, coz yeye binafsi uwezo anao
Ok mkuu, Ni sawa. Mnafurahia maisha yenu ya ngono na uzinzi muda wa kuishi duniani upite wengine waendelee maana hakuna jipya.Nipo timatu sana Mkuu! Huwa naongea nao kisha wanasikilizisha! One time kidogo kiumbe kitengenezwe kizembe zembe halafu kidada kinasema eti tuzae tu hakuna shida! Nina wanawake wawili sio timamu sana ndo huwa nawafanyia hivyo!
Appointments za kumtunza ama kuoa kabisa.Hivi wanakuwa wanamaanisha kitu gani?
Wote wanawezaa [emoji23][emoji23][emoji23]Wachache Mkuu
Sio kweli 😀Wote wanawezaa [emoji23][emoji23][emoji23]
kuuliza ni ujinga, muondoe ujinga mwenzio, acha kukwepa maswali ya msingiHivi wanakuwa wanamaanisha kitu gani?
Ndyoo wote wanaweza.Sio kweli 😀
Uhakika wa maisha ni siri ya muumbaAnatafuta uhakika wa Maisha ambao hata anaeulizwa haujui.
Tayari mtoto kashakataa mipango niliyonayo wacha niendelee na maisha yangukuuliza ni ujinga, muondoe ujinga mwenzio, acha kukwepa maswali ya msingi
Kwamba nitakununulia Rav 4 ya kwenda nayo kliniki😂Appointments za kumtunza ama kuoa kabisa.
Hapo sasa kidume kinaanza vijana wanasema 'kusomesha' ahadi za kikwete hadi demu anaanza kutoa kucha kwa meno kulaleki.
Yap!Kwamba nitakununulia Rav 4 ya kwenda nayo kliniki😂
Nimechelewa kuiona hii bonge moja la jibuUnamjibu tu vizuri na kwa upole kuwa binafsi nina mipango mingi ila mipango kati yangu na wewe inabidi tuanze kuipanga wawili
Si ndo hivyo.Uhakika wa maisha ni siri ya muumba